Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Lugha ni mfumo wa sauti za nasibu.Hivi ni kwanini ikaitwa malaria, ilikuaje kuaje mpaka wakaamua kuita malaria.. ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha ni mfumo wa sauti za nasibu.Hivi ni kwanini ikaitwa malaria, ilikuaje kuaje mpaka wakaamua kuita malaria.. ?
Tafuta clip ya erik omondi uone orign ya viumbe kama tilapia na wengine (joke)Ni kwanini waliamua kuita hivyo, huyo aliyevipa majina alifikiria nini na alitumia vigezo gani. Na ninani basi mwanzilishi wa majina ya kijinsia na haya maungo ya kijinsia?