Unazungumzia Uniqu Ideas je mahitaji ya binadamu yamebadilika nakua Unique, mahitaji ni yaleyale ya kilasiku na hizo Everyday business ndio sisi watu tunatumia pesa.
Nikiamka asubui lazima nipande GARI sio DRONE, nikiwa job lazima nikale Wali (mama ntilie) what unique to give me food, nikila nanunua Juisi sihitaji Vending machine, nanunua Bando kuingia JF nimeuziwa na Mangi Kiduka.
Unique haina maana...Mosi.
Pili, Mtaji huezi fikiri kuleta kipya kwa mtaji wa Million 3 lazima ufanye cha kilasiku ndio kikupe pesa ya kuanzisha kipya, hapa nazungumzia Real Business kama kuanzisha Marketing Agencies, Fintech Startup nk hizi ndio idea nilitegemea nizione japonica zinahitaji mtaji ila wewe umeandika Vending Machine ipi potential ya Vending Machine nk