#1. Importation ya bidhaa za brand name yako, ongea na wachina wakuletee, kuanzia nguo au hata vifaa vya manyumbani vidogo dogo wanakuletea kwa brand yakoKama milion 100 utafanyia kitu gani?
Huwezi kufanya majaribio kwa jina la ubunifu kwa milioni 2! Maji utaita mmaNadhani ishu ni ubunifu hapa na kujiongeza a little bit (kama mtaani wanavyosema). Biashara hizi hizi kama tukiwa na jicho la kuona kitu cha pekee (kua mbunifu) basi tutatoboa.
Sijakuelewa mkuu unamaanisha nini kwenye hii insha yako. Nadhani Kuna kazi ya ziada kwako kulipa tution Fee Kwa mtoa Mada Ili upate elimu kidogo. Au tuseme umekosa ubunifu?Unazungumzia Uniqu Ideas je mahitaji ya binadamu yamebadilika nakua Unique, mahitaji ni yaleyale ya kilasiku na hizo Everyday business ndio sisi watu tunatumia pesa.
Nikiamka asubui lazima nipande GARI sio DRONE, nikiwa job lazima nikale Wali (mama ntilie) what unique to give me food, nikila nanunua Juisi sihitaji Vending machine, nanunua Bando kuingia JF nimeuziwa na Mangi Kiduka.
Unique haina maana...Mosi.
Pili, Mtaji huezi fikiri kuleta kipya kwa mtaji wa Million 3 lazima ufanye cha kilasiku ndio kikupe pesa ya kuanzisha kipya, hapa nazungumzia Real Business kama kuanzisha Marketing Agencies, Fintech Startup nk hizi ndio idea nilitegemea nizione japonica zinahitaji mtaji ila wewe umeandika Vending Machine ipi potential ya Vending Machine nk
Mawazo kama haya hatuwezi kuendelea, pia acha kuaminisha Umma kuwa Ili ufanikiwe ninlazima uwe maarufuTwende taratibu, bodaboda Million 2 so unaweza enda China kuchapa T-shirt kama za JUX ukaja kuuza Tz kwa hio pesa...Mosi.
Pili je unajua kwanini JUX anaweza kuuza hizo T-shirt yeye ana Authority behind, wewe na Million 2 yako na si maarufu huezi kuuza hizo T-shirt kamwe.
Wewe inaonesha ndio ukipewa hio Million 2 week tu ushachoma ila atakayefungu Tigopesa atakuwa na Cashflow ya kueleweka.
Uzi ufungweUnazungumzia Uniqu Ideas je mahitaji ya binadamu yamebadilika nakua Unique, mahitaji ni yaleyale ya kilasiku na hizo Everyday business ndio sisi watu tunatumia pesa.
Nikiamka asubui lazima nipande GARI sio DRONE, nikiwa job lazima nikale Wali (mama ntilie) what unique to give me food, nikila nanunua Juisi sihitaji Vending machine, nanunua Bando kuingia JF nimeuziwa na Mangi Kiduka.
Unique haina maana...Mosi.
Pili, Mtaji huezi fikiri kuleta kipya kwa mtaji wa Million 3 lazima ufanye cha kilasiku ndio kikupe pesa ya kuanzisha kipya, hapa nazungumzia Real Business kama kuanzisha Marketing Agencies, Fintech Startup nk hizi ndio idea nilitegemea nizione japonica zinahitaji mtaji ila wewe umeandika Vending Machine ipi potential ya Vending Machine nk
🫂Napenda sana kufanya jambo linalofanywa na watu wachache likihusisha akili nyingi na umakini.
Kufanya biashara ambayo kila mtu ana uwezo wa kuanzisha, ni Uvivu wa kutofikiri.
Nalima mpungaKama milion 100 utafanyia kitu gani?