mkuu nawew umenichkesha,et anachkachkaHAhahhahaha mkuu umenichekesha sana eti anaenda kucheza cheza
Kuna jamaa mmoja nae eti anataka kupunguza mwili anachofanya anazunguka uwanja wa mpira raundi moja zen anachekacheka tayari anaona kamaliza
asali niwanga kumbe, fafanua mkuuKamwe mazoezi hayatakusaidia kama diet yako ni mbovu na hauhitaji mazoezi kupunguza uzito kama ukiweka diet yako vizuri.
Kwa kkfupi njia rahisi ya kupjnguza uzito ni kuondoa vyakula vyene sukari na wanga kwa ujumla kwenye diet kama ukiondoa wanga kabisa <10 grams a day unaweza kula protein na mafuta bila limit.
Wanga ni soda,bia,vizi,wali,unga,asali etc.
Na huyu labda ndio wale walemkuu nawew umenichkesha,et anachkachka
Kabisa mazoezi yanataka moyo sanaMkuu hakuna kitu kigumu kama kufanya mazoezi ya kupunguza mwili!!......Asilimia 99 huwa wanakata tamaa then wanaanza kudai kuwa wanafanya mazoezi na hawapungui kumbe walishakata tamaa siku nyingi sana!!
Na ale matunda na mboga zaidi badala ya vyakula vya wanga na mafutaAcha kula vyakula vya mafuta, kula chupuchupu,then punguza kipimo cha kula
Habari wakuu wa humu JF,Mimi ni mnene sana Nina 105 kg nimepima Juzi.Najitahidi sana kufanya Mazoezi lakini sipungui,Kwa kweli nauchukia unene kuliko kitu chochote na mbaya zaidi Nina kisukari nashangaa wagonjwa wenzangu wakipungua na wako na mwili mzuri Je Kwanini Mimi Mazoezi hayanisaidii?
Mwambia Dr. atupie tu nondo humu. Utabarikiwa sana mkuuMkuu kuna Dr ntakuunganisha nae nakupa guarantee utapungua kilo zitafika hadi 70 km utafata nasharti yake has a kwny chakula