py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Mazoezi hayasaidii na hayatokusaidia
Acha kula hio ndio njia sahihi 100%
Mie kuna kipindi nilipanda uzito mpaka 80kg ila sio unene nikapunguza mpaka 68kg ndani ya wiki 2 ,
Nilikuwa nakunywa maji mengi mchana ,usiku kahawa na kashata basi
Enzi hizo nasakata ball
Acha kula hio ndio njia sahihi 100%
Mie kuna kipindi nilipanda uzito mpaka 80kg ila sio unene nikapunguza mpaka 68kg ndani ya wiki 2 ,
Nilikuwa nakunywa maji mengi mchana ,usiku kahawa na kashata basi
Enzi hizo nasakata ball