Kwanini Mbagala haina hoteli ya kitalii au fukwe?

Ila we jamaa ni kima sana. Hivi una Christmass hapa mjini? Wakati mwingine jaribu kukaa kimya kuficha ujuha wako.
Yaani kama hujatokea Kigomaa wewe, basi utakuwa Muhaya
 
KImara na Madale kuna fukwe ngapi mkuu?
 
uku tunakaa wabeba tofar
 
Ila we jamaa ni kima sana. Hivi una Christmass hapa mjini? Wakati mwingine jaribu kukaa kimya kuficha ujuha wako.
Yaani kama hujatokea Kigomaa wewe, basi utakuwa Muhaya
Mamdogo jikite kwenye hoja acha mipasho. Wengine hatutumii hiyo bidhaa yako.

Taja kilichokosewa hapo we choko.
 
D
Kij

Pumbavu kumbe unakaa mbagala kwa wajinga
Sasa umeshaujua mji kidogo bwana mdogo?
Siku nyingine utachekwa. Nimesema huwa natokea Chekechea mikwambe sasa kama huko ndio mbagala basi waambie wakupe hela hao wanaokuelekeza.
 
Ila we jamaa ni kima sana. Hivi una Christmass hapa mjini? Wakati mwingine jaribu kukaa kimya kuficha ujuha wako.
Yaani kama hujatokea Kigomaa wewe, basi utakuwa Muhaya
Kanifurahisha anabisha Kwa confidence Kijichi hamna bahari ,hii nchi ngumu sana😅😅🤦
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…