Niko Mbeya kwa muda sijaona mtu mweupe wala maji ya kunde.
Ukiona mwanamke mweupe ujue mkorogo umehusika. Ukiwauliza wanasema sababu ya baridi.
Mbona Lushoto na Arusha kuna baridi na watu ni weupe?
Na Ulaya je wasemeje?
Tupeni sababu za kisayansi.
Ukiona mwanamke mweupe ujue mkorogo umehusika. Ukiwauliza wanasema sababu ya baridi.
Mbona Lushoto na Arusha kuna baridi na watu ni weupe?
Na Ulaya je wasemeje?
Tupeni sababu za kisayansi.