Kwanini Mbeya hakuna watu weupe? Kama ni baridi hata Lushoto ipo

Kwanini Mbeya hakuna watu weupe? Kama ni baridi hata Lushoto ipo

Halafu mwanamke wa Mbeya huwa hadumu kwenye ndoa sababu ya ujuaji, na hawataki kujishusha hata aharibu vipi. Hivyo ukioa Mbeya ujue utakaliwa kichwani au muishi as per yaaani lakini sio eti ulete ile dhana ya Mume ni Kichwa
Sidhani kama kuna ukweli katika hili nimekaa kyela muda mwingi wengi wapo kwenye ndoa zao vijijini tena wakarimu kweli. Ila kwenye kuzinguana hawana mchezo.
 
Sidhani kama kuna ukweli katika hili nimekaa kyela muda mwingi wengi wapo kwenye ndoa zao vijijini tena wakarimu kweli. Ila kwenye kuzinguana hawana mchezo.
Sidhani kama kuna ukweli katika hili nimekaa kyela muda mwingi wengi wapo kwenye ndoa zao vijijini tena wakarimu kweli. Ila kwenye kuzinguana hawana mchezo.
Wavumilivu ila hawapendi ujinga
 
Waafrika asili ni weusi. Ila bara letu la Afrika limetawaliwa sana na mataifa ya wazungu na waarabu . Hawa ndio wamechangia kuongeza vionjo vya rangi za Waafrika. Sehemu nyingi nchini/wilaya ambazo wamisionari, makanisa ya mwanzo, wagiriki, wahindi, wachina na waarabu wameishi au kupita utakuta waafrika wenye vionjo vya rangi mbalimbali ambazo siyo za asili- hii ndiyo Afrika yetu. WaTanzania hatuna kawaida ya kuringia au kuulizana rangi ya mtu. Huu ushamba wa kuulizana rangi unatoka wapi? Inatukumbusha ukoloni ambambo watu waliwekwa kwenye tabaka fulani kutokana na rangi ya ngozi yao.
Hii nadharia yako sidhani kama ina ukweli,yaani watu wamekuwa weupe kwa sababu kuna wakoloni walipita huko ndio wakawa hivyo,vipi wale wahindi weusi kule India nako ni vipi mkuu,Sudan pia ilitawaliwa na waingereza nako unasemaje mkuu...!
 
Mikoa ya mbeya iringa inaitwa nyanda za juu kusini.. ukipima kutoka usawa wa bahari inaenda mpaka 2000m.. sasa imagine uko dar halaf upande gorofa lenye urefu wa kilomita 2 kwenda juu. Hilo jua lake si mcjezo na barid kali.. kwahyo ngozi inalinda mwili dhidi ya miozn ya jua kutengeneza kitu inaitwa melanin ambayo ndo rang yenyew nyeus sasa.. ndio mana watu waishio along ikweta ni weus sana sabab ya jua.. na ndomana huyo huyo mweus tii akiondoka maeneo hayo kwa muda akija ambako jua si kal.. utaona anaanza kungaa flani... Hilo ndo jibu sahih.. ishu si barid
 
Kama wewe ni mweupe basi mimi ni mwekundu. Ukiona mnyakyusa mweupe basi ujue mama alichepuka...
Heheh
Wapo bana.

Sisi kwenye ukoo wetu nina babu Mjerumani kwa asili aliitwa Jurgen. Jina la ukoo sikutajii usije ukaniuza kwa wasiojulikana🤣
 
Mikoa ya mbeya iringa inaitwa nyanda za juu kusini.. ukipima kutoka usawa wa bahari inaenda mpaka 2000m.. sasa imagine uko dar halaf upande gorofa lenye urefu wa kilomita 2 kwenda juu. Hilo jua lake si mcjezo na barid kali.. kwahyo ngozi inalinda mwili dhidi ya miozn ya jua kutengeneza kitu inaitwa melanin ambayo ndo rang yenyew nyeus sasa.. ndio mana watu waishio along ikweta ni weus sana sabab ya jua.. na ndomana huyo huyo mweus tii akiondoka maeneo hayo kwa muda akija ambako jua si kal.. utaona anaanza kungaa flani... Hilo ndo jibu sahih.. ishu si barid
Kama nakupata,umejibu kisayansi,vipi milima ya usambara
 
Heheh
Wapo bana.

Sisi kwenye ukoo wetu nina babu Mjerumani kwa asili aliitwa Jurgen. Jina la ukoo sikutajii usije ukaniuza kwa wasiojulikana🤣
Kadi ya NIDA unacho
 
Niko Mbeya kwa muda sijaona mtu mweupe wala maji ya kunde.

Ukiona mwanamke mweupe ujue mkorogo umehusika
Ukiwauliza wanasema sababu ya baridi.

Mbona Lushoto na Arusha kuna baridi na watu ni weupe? Na Ulaya je wasemeje?

Tupeni sababu za kisayansi.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kuna Mwanafyare mmoja hapa Kanda ya ziwa ni mweupe bana au alibadilika baada ya kukaa sana huku?! Lakini ukweli kutoa huyo jamaa nikimuangalia Mwakalambile, Mwanjabe, Mzee Ndile na hata wale madem Tusajigwe na Anganile wote weusi tii asee!! 🤣
 
Niko Mbeya kwa muda sijaona mtu mweupe wala maji ya kunde.

Ukiona mwanamke mweupe ujue mkorogo umehusika
Ukiwauliza wanasema sababu ya baridi.

Mbona Lushoto na Arusha kuna baridi na watu ni weupe? Na Ulaya je wasemeje?

Tupeni sababu za kisayansi.
Ni mbegu tu Mpwa
 
Mikoa ya mbeya iringa inaitwa nyanda za juu kusini.. ukipima kutoka usawa wa bahari inaenda mpaka 2000m.. sasa imagine uko dar halaf upande gorofa lenye urefu wa kilomita 2 kwenda juu. Hilo jua lake si mcjezo na barid kali.. kwahyo ngozi inalinda mwili dhidi ya miozn ya jua kutengeneza kitu inaitwa melanin ambayo ndo rang yenyew nyeus sasa.. ndio mana watu waishio along ikweta ni weus sana sabab ya jua.. na ndomana huyo huyo mweus tii akiondoka maeneo hayo kwa muda akija ambako jua si kal.. utaona anaanza kungaa flani... Hilo ndo jibu sahih.. ishu si barid
Sio kweli kadiri unavyokwenda juu ya usawa wa bahari joto linapungua baridi inaongezeka. Watu walioko dar ndio wanatakiwa kuwa weusi zaidi kuliko walioko mbeya mzee acha kutupiga kamba. Hapa zinatakiwa sababu za kisayansi kuelezea huo mkanganyiko
 
Niko Mbeya kwa muda sijaona mtu mweupe wala maji ya kunde.

Ukiona mwanamke mweupe ujue mkorogo umehusika
Ukiwauliza wanasema sababu ya baridi.

Mbona Lushoto na Arusha kuna baridi na watu ni weupe? Na Ulaya je wasemeje?

Tupeni sababu za kisayansi.
Weupe wa asili wapo nilikua na Goma mitaa ya Soweto ng'aring'ari
 
Kuna Mwanafyare mmoja hapa Kanda ya ziwa ni mweupe bana au alibadilika baada ya kukaa sana huku?! Lakini ukweli kutoa huyo jamaa nikimuangalia Mwakalambile, Mwanjabe, Mzee Ndile na hata wale madem Tusajigwe na Anganile wote weusi tii asee!! 🤣
Alibadilika huyo
 
Na huwezi kumpiga kofi ,yananguvu kama madume,ukizingua useme mpigane anakupiga.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom