Kwanini Mbeya hakuna watu weupe? Kama ni baridi hata Lushoto ipo

Kwanini Mbeya hakuna watu weupe? Kama ni baridi hata Lushoto ipo

Sio kweli kadiri unavyokwenda juu ya usawa wa bahari joto linapungua baridi inaongezeka. Watu walioko dar ndio wanatakiwa kuwa weusi zaidi kuliko walioko mbeya mzee acha kutupiga kamba. Hapa zinatakiwa sababu za kisayansi kuelezea huo mkanganyiko
Inazungumzwa jua kali si joto. Hii ni kama ilivyo kwa watibet wa Himalaya. Wako juu milimani. Kuna baridi kali na barafu mwaka mzima. Ila ukiwafananisha na wakazi wa China wa uwanda wa chini utaona watibeti wana weusiweusi. Kule juu japo kuna baridi lakini jua lake ni la kuchoma.

Maeneo ya uwanda wa chini au pwani jua halichomi sababu ya humidity.
 
Inazungumzwa jua kali si joto. Hii ni kama ilivyo kwa watibet wa Himalaya. Wako juu milimani. Kuna baridi kali na barafu mwaka mzima. Ila ukiwafananisha na wakazi wa China wa uwanda wa chini utaona watibeti wana weusiweusi. Kule juu japo kuna baridi lakini jua lake ni la kuchoma.

Maeneo ya uwanda wa chini au pwani jua halichomi sababu ya humidity.
Vipi kuhusu Lushoto iko milimani kabisa ila watu wana kaweupe
 
Bahati bukuku alikuwa mweusi tii album ya kwanza sasa hivi ni mzungu pori .usiwaamini sana wasanii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mke anapokuwa mbabe hata maana ya mke inafutika. Yaani unaishi tu na mdau mwenzako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii nadharia yako sidhani kama ina ukweli,yaani watu wamekuwa weupe kwa sababu kuna wakoloni walipita huko ndio wakawa hivyo,vipi wale wahindi weusi kule India nako ni vipi mkuu,Sudan pia ilitawaliwa na waingereza nako unasemaje mkuu...!
Ukitaka kujua uhalisia wa vinasaba lazima uvipime - hapa naelezea mchango wa kutawaliwa na utumwa katika kubadilisha muonekano wa rangi za Waafrika. Kumbuka mwanaume mmoja tu anayekula vizuri chakula ( wageni walikuwa na utajiri sana) anaweza kuzalisha wanawake wengi sana. Hawa wanaume wa Kizungu au Kiarabu walikuwa wanakuja peke yao huku Afrika- enzi zile wanawake wa Afrika walikuwa wanajifunika majani tu - unategemea nini kilikuwa kinatokea ukifikiria mwili wa mwanamke wa Kiafrika ulivyoumbika - maziwa na chuchu nje , ilikuwa kamata kamata isiyo na kipimo .
 
Tanga pwani ujue. Mbeya umeona Kuna bahari au Iko ukanda wa Pwani?
Lushoto sio pwani.
Ni milimani kuliko hata Mbeya. Kinachofanya wanawake wa Mbeya ni weusi ni kwamba DNA Yao haina amplification of non toxic matter. Hata uki sex nao Hali hiyo unai feel.
 
Back
Top Bottom