Kwanini Mbeya hakuna watu weupe? Kama ni baridi hata Lushoto ipo

Kwanini Mbeya hakuna watu weupe? Kama ni baridi hata Lushoto ipo

Lushoto sio pwani.
Ni milimani kuliko hata Mbeya. Kinachofanya wanawake wa Mbeya ni weusi ni kwamba DNA Yao haina amplification of non toxic matter. Hata uki sex nao Hali hiyo unai feel.
Hebu dadavua unafeel what ukisex nao sijaelewa.
 
Nadhani ni suala la ki genetics (vinasaba) zaidi. Wamalila, Wasfwa na Wanyakyusa ni weusi sana na wana miili mikubwa.
Mimi nlikua na gf ana asili ya huko, wakati namdate 2014 alikua 22 yrs old mwembamba tu wa kawaida. Sasa hivi ni mnene mpaka ninamuogopa. Nawaza hivi yule angekuwa ndo mke wangu zama hizi ningewaambia nini watu? Maana kwa urefu alio nao plus mwili dahhh
 
Nadhani ni suala la ki genetics (vinasaba) zaidi. Wamalila, Wasfwa na Wanyakyusa ni weusi sana na wana miili mikubwa.
Mimi nlikua na gf ana asili ya huko, wakati namdate 2014 alikua 22 yrs old mwembamba tu wa kawaida. Sasa hivi ni mnene mpaka ninamuogopa. Nawaza hivi yule angekuwa ndo mke wangu zama hizi ningewaambia nini watu? Maana kwa urefu alio nao plus mwili dahhh
Ndio maana hakuna unyanyasaji kwa wanawake mbeya .
Niwapole na wavumilivu ila,ukimzingua zinapigwa na anakudunda.
 
Waafrika asili ni weusi. Ila bara letu la Afrika limetawaliwa sana na mataifa ya wazungu na waarabu . Hawa ndio wamechangia kuongeza vionjo vya rangi za Waafrika. Sehemu nyingi nchini/wilaya ambazo wamisionari, makanisa ya mwanzo, wagiriki, wahindi, wachina na waarabu wameishi au kupita utakuta waafrika wenye vionjo vya rangi mbalimbali ambazo siyo za asili- hii ndiyo Afrika yetu. WaTanzania hatuna kawaida ya kuringia au kuulizana rangi ya mtu. Huu ushamba wa kuulizana rangi unatoka wapi? Inatukumbusha ukoloni ambambo watu waliwekwa kwenye tabaka fulani kutokana na rangi ya ngozi yao.
Mleta mada anataka sababu za kisayansi sion sababu ya kutokwa na povu, kwani kuwa mweusi ni vibaya??
 
Ndio maana hakuna unyanyasaji kwa wanawake mbeya .
Niwapole na wavumilivu ila,ukimzingua zinapigwa na anakudunda.
Wanyakyusa ni wakarimu wake kwa waume. Unyanyasaji wa kijinsia ni matokeo ya mila mbovu za baadhi ya makabila.
 
Niko Mbeya kwa muda sijaona mtu mweupe wala maji ya kunde.

Ukiona mwanamke mweupe ujue mkorogo umehusika. Ukiwauliza wanasema sababu ya baridi.

Mbona Lushoto na Arusha kuna baridi na watu ni weupe?

Na Ulaya je wasemeje?

Tupeni sababu za kisayansi.

Genetics mzee , wale wasambaa weupe ni wa ukoo wa Kilindi wanaitwa wakilindi kwenye lineage ya Mbega na kina Kimweri wa Vuga
Inasemekana Mbega baba yake alikua mweupe akitokea kisimani Pemba akavuka moja Kwa moja mpaka Kilindi akaacha mbegu wilayani kilindi kule kwa wanguu/wazigua …. Baadae Mbega alipozaliwa akasafiri mpaka milima ya usanbaa maeneo ya vuga anbapo ndioo aliposambaza mbegu nyeupe kwa kina Kimweri nawasambaa wote weupe
 
Genetics mzee , wale wasambaa weupe ni wa ukoo wa Kilindi wanaitwa wakilindi kwenye lineage ya Mbega na kina Kimweri wa Vuga
Inasemekana Mbega baba yake alikua mweupe akitokea kisimani Pemba akavuka moja Kwa moja mpaka Kilindi akaacha mbegu wilayani kilindi kule kwa wanguu/wazigua …. Baadae Mbega alipozaliwa akasafiri mpaka milima ya usanbaa maeneo ya vuga anbapo ndioo aliposambaza mbegu nyeupe kwa kina Kimweri nawasambaa wote weupe
Ni kweli hiyo historia niliwahi kuisikia ila natamani kujua ilikuwa karne ya ngapi maana ili kizazi chote cha wasambaa wawe vile huo mchakato unahitaji miaka takribani mia sita ili na kuendelea
 
Ni kweli hiyo historia niliwahi kuisikia ila natamani kujua ilikuwa karne ya ngapi maana ili kizazi chote cha wasambaa wawe vile huo mchakato unahitaji miaka takribani mia sita ili na kuendelea
Wasambaa Nina hakina 60% ni weupe nenda lushoto uone weusi wachache sana kuna mpaka maalbino kibao kila kona
 
Hilo halina ubishi mkuu lushoto weusi wakuhesabu
Kuna jamaa chuo mpaka wanamkana wanamuita msambaa mweusi kwamba sio msambaa wenzie weupe kibao 😅😅

Mwambie afuatilie hao wakina shelukindo kama wazungu jamaa
 
Mikoa ya mbeya iringa inaitwa nyanda za juu kusini.. ukipima kutoka usawa wa bahari inaenda mpaka 2000m.. sasa imagine uko dar halaf upande gorofa lenye urefu wa kilomita 2 kwenda juu. Hilo jua lake si mcjezo na barid kali.. kwahyo ngozi inalinda mwili dhidi ya miozn ya jua kutengeneza kitu inaitwa melanin ambayo ndo rang yenyew nyeus sasa.. ndio mana watu waishio along ikweta ni weus sana sabab ya jua.. na ndomana huyo huyo mweus tii akiondoka maeneo hayo kwa muda akija ambako jua si kal.. utaona anaanza kungaa flani... Hilo ndo jibu sahih.. ishu si barid
Vipi milima ya usambara, upareni, uluguru, milima ya meru nk.?

Kuna factor nyingine hujaigusia hapo nayo ni humidity. Naomba uielezee hiyo pia mkuu.
 
Back
Top Bottom