Kyalow
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,548
- 2,580
Naja kuchumbia kwenuHeheh
Wapo bana.
Sisi kwenye ukoo wetu nina babu Mjerumani kwa asili aliitwa Jurgen. Jina la ukoo sikutajii usije ukaniuza kwa wasiojulikana🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naja kuchumbia kwenuHeheh
Wapo bana.
Sisi kwenye ukoo wetu nina babu Mjerumani kwa asili aliitwa Jurgen. Jina la ukoo sikutajii usije ukaniuza kwa wasiojulikana🤣
Ukichezea dada zangu tunakuokotesha kopoNaja kuchumbia kwenu
Mimi sio mchezeaji bwasheeUkichezea dada zangu tunakuokotesha kopo
😆😁😄😃😃😀😀MakasirikoPunguza hasira mama
🤣firifiri babu Yako😏😂🤣😅😆😁😄😃😃😀😀 Firi Firi
Utawaambia Nini WakueleweNa hamna kitu inaniboa kwa wanyakyusa kama kujipiga mikorogo.
Mbona yule zuzu sa100 anajiona kuwa na akili kuliko Nyerere na magufuli kisa ni anajiona mwarabu koko hadi kazuia hotuba za nyerere na jpm zisisikike popote nchini na kumwona julias kambarage nyerere kuwa ni mpumbavu kwa kuzuia uchifu ...au hii hoja yako haihusu waarabu koko yaheeeeTufanye kweli hawapo, haya wasipo kuwepo wanapata hasara gani na wewe mweupe Unapata faida ipi?
Mataahira hawataisha Nchi hii.
Wajinga hawajuiWaafrika asili ni weusi. Ila bara letu la Afrika limetawaliwa sana na mataifa ya wazungu na waarabu . Hawa ndio wamechangia kuongeza vionjo vya rangi za Waafrika. Sehemu nyingi nchini/wilaya ambazo wamisionari, makanisa ya mwanzo, wagiriki, wahindi, wachina na waarabu wameishi au kupita utakuta waafrika wenye vionjo vya rangi mbalimbali ambazo siyo za asili- hii ndiyo Afrika yetu. WaTanzania hatuna kawaida ya kuringia au kuulizana rangi ya mtu. Huu ushamba wa kuulizana rangi unatoka wapi? Inatukumbusha ukoloni ambambo watu waliwekwa kwenye tabaka fulani kutokana na rangi ya ngozi yao.
Firi ni nini mkuu [emoji3][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji38][emoji16][emoji1][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3] Firi Firi
Unataka kusema hamna wanyak og weupe ?[emoji15] Niutoe wapi, mnyakyu original [emoji1732]
Wapo mkuuUnataka kusema hamna wanyak og weupe ?
Dah jamaa unazingua namfahamu huyo mtu! Alisoma CBG??Nimemkumbuka Mbwaga Mwakagali jamaa ni mweusi mkaa kuanzia ngozi, kucha, nyayo, viganja, hadi nyama za ndani za mdomoni najua yumo humu Jf