Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hata Mahenge kwa wapogoro hakuna wenye light skin.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bina sijakuelewa hata. 😅Roho mbaya moja ya mchangi wa ntu kuwa mweusi....
Zamani nikienda kijijini alikuwepo binti mzuri cheupe,aisee jamaa walivyokua wanajazana pale km nzi.Wapo mkuu
Akil yako ndogo sana mkuu... Soma nilichoandika mara mbil mbili.. umesoma hkl halaf unajifanya unajua.. aliesema kwamba ukienda juu joto linapungua nan.. nmekwambia.. kadiri unavyokwenda juu.. along ikweta unalikaribia zaid jua. Kwahyo linakuchoma zaid hata kama utasikia baridi ila jua litakuchoma zaid.. na lilikuchoma bas mwili utataka kujiprotect na hzo mionzi kwa kutengeneza melanin.Sio kweli kadiri unavyokwenda juu ya usawa wa bahari joto linapungua baridi inaongezeka. Watu walioko dar ndio wanatakiwa kuwa weusi zaidi kuliko walioko mbeya mzee acha kutupiga kamba. Hapa zinatakiwa sababu za kisayansi kuelezea huo mkanganyiko
Ukiangalia topography ya eneo hilo utaona liko karib kabisa na bahari.. mfano sis tunaopita na ndege from dar to arusha ukiangalia chin wakay uko juu unaona kabisa milima iko alongo ocean line .. so eneo hilo lina himidity nzur .. unyevu unafanya ngoz iwe na maj haikauk so pia inasaidia. Ingawa hata hvyo.. kule ndomana kunaitwa nyanda za juu kusini.. ni kwamba kule kuko juu kwelkwel.. imagini unasafir.. unapanda milima kibao na bado unaenda panda mlima kitonga unaelekea huko juu zaid na zaid... Humiditu pia ni factor inachangiaVipi milima ya usambara, upareni, uluguru, milima ya meru nk.?
Kuna factor nyingine hujaigusia hapo nayo ni humidity. Naomba uielezee hiyo pia mkuu.
Jurgen klopHeheh
Wapo bana.
Sisi kwenye ukoo wetu nina babu Mjerumani kwa asili aliitwa Jurgen. Jina la ukoo sikutajii usije ukaniuza kwa wasiojulikana🤣
Mwanamke mweusi hana soko afrikaZamani nikienda kijijini alikuwepo binti mzuri cheupe,aisee jamaa walivyokua wanajazana pale km nzi.
Ajabu mi nilikua najigongea tu migombani jioni nikifata maziwa.
Labda ugeni,na rangi brown mixer white vilisaidia
Sio Africa tu hata Huko nje ndo kabisaa vijana 80% wanataka waoshe na color tu,hata awe mfilipino,mchina,mpoland mradi cheupe twende.Mwanamke mweusi hana soko afrika
Huko Kyela watu ni weusi kwenda mbele..ukikuta..mweupe basi mkorogo umehusika...Tatizo la Mbeya siyo baridi. Baridi haileti weusi. Tatizo ni jua. Jua la Mbeya linachoma kama juu wameweka magnifying lens.
Linachoma namna hiyo. Sehemu kama Dar, humidity inasaidia sana kupunguza uchomaji wa jua.
Inaonekana Mbeya humidity ipo chini. Ukienda sehemu kama Kyela karibu na ziwa utakuta watu si weusi sana.
Kwa hiyo hakuna mwanamke mweusi ambaye ana boyfriend au aliyeolewa hapa duniani? Au una maana gani kusema hivyo?Mwanamke mweusi hana soko afrika
Baraka mpenja ana weupe Gani??[emoji38][emoji38][emoji38]Nenda umalila wapo weupe kibao.
Mfano. Baraka mpenja[emoji123][emoji123]
Nyie ndo mnafanya bangi iendelee kuwa haram🤣🤣🤣Jurgen klop
Tanzania iko tano bora uvutaji bangi africaNyie ndo mnafanya bangi iendelee kuwa haram🤣🤣🤣
Na takwimu unazo kabisaaaa🤣Tanzania iko tano bora uvutaji bangi africa
Na ukiangalia, unakuta mtu. Anaishi 2000m kutoka usawa wa bahari. Maana yake amepoteza 2km za atmosphere ambazo zinamlinda na jua kali. Hapo lazima awe mweusi tu.Ukiangalia topography ya eneo hilo utaona liko karib kabisa na bahari.. mfano sis tunaopita na ndege from dar to arusha ukiangalia chin wakay uko juu unaona kabisa milima iko alongo ocean line .. so eneo hilo lina himidity nzur .. unyevu unafanya ngoz iwe na maj haikauk so pia inasaidia. Ingawa hata hvyo.. kule ndomana kunaitwa nyanda za juu kusini.. ni kwamba kule kuko juu kwelkwel.. imagini unasafir.. unapanda milima kibao na bado unaenda panda mlima kitonga unaelekea huko juu zaid na zaid... Humiditu pia ni factor inachangia
Mbona wasafwa ni weupe tu....kkua wadada wasafwa nilisoma nao ni weupeeee peeee na wamekulia vijijini huku usafwani.Nenda Kyela wamejaa kibao weupe, tena weupa kama warangi au wambulu
Huyo Akibeba mtoto ..... Mtoto analala nju usiku umeingia.Nimemkumbuka Mbwaga Mwakagali jamaa ni mweusi mkaa kuanzia ngozi, kucha, nyayo, viganja, hadi nyama za ndani za mdomoni najua yumo humu Jf