Mimi mweupe mbona?Niko mbeya kwa muda sijaona mtu mweupe wala maji ya kunde.
Ukiona mwanamke mweupe ujue...
Kuna watu wachokozi jamani,mimi nilikuwa sijafuatilia hili kwa undani,ila baada ya kusoma hii thread, nimewatafakari jamaa zangu kama 10 hivi wa kutoka huko,nikagundua kuwa ni weusi tiii...Niko mbeya kwa muda sijaona mtu .
Tufanye kweli hawapo, haya wasipo kuwepo wanapata hasara gani na wewe mweupe Unapata faida ipi?Niko mbeya kwa muda sijaona mtu mweupe wala maji ya kunde...
Manyara ,morogoro,sio pwaniTanga pwani ujue. Mbeya umeona Kuna bahari au Iko ukanda wa Pwani?
Wanamaisha mazuri tu kuliko sehemu nyingi hapa nchiniMaisha yanawapiga sana uko, jua kali, na baridi kavu
Wakitoka uko wakaja Dar wanapendeza
Punguza hasira mamaTufanye kweli hawapo,haya wasipo kuwepo wanapata hasara gani na wewe mweupe Unapata faida ipi
Najuta kuzaliwa mbeya.mnatusema sana na rangi yetu
Bahati bukuku alikuwa mweusi tii album ya kwanza sasa hivi ni mzungu pori .usiwaamini sana wasaniiyule muimba gospel baraka mwakilinga mbona mweupe. au sio pure mnyakyusa?.
Nenda Kyela wamejaa kibao weupe, tena weupa kama warangi au wambuluNiko mbeya kwa muda sijaona mtu mweupe wala maji ya kunde.
Ukiona mwanamke mweupe ujue mkorogo umehusika
Ukiwauliza wanasema sababu ya baridi.
Mbona Kushoto na Arusha kuna baridi na watu ni weupe ?na ulaya je wasemeje?
Tupeni sababu za kisayansi.
Anhaaa sqwa bana ila all in all mkuu ni kweli mbeya weupe wapo ila ni wachache sana mbali na wale wazee wa mkorogo .A.K.A cocopulp iSimu za siku hizi zinaedit picha siziamini