ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #41
Bashe mshenzi alikataa mpuuzi kabisa yule,aletwe Waziri MwingineKabisa. Nilijua lile eneo la shamba la uyole tayari liko mbioni kulifanya mji wa kisasa?. Tena ingependeza sana ksbb ni kubwa halafu liko usoni kabisa mwa mji. (Labda kweli wavutr subira kidogo na mimi nipate hela wakifikia kubinafsisha hapo na mimi niwe sehemu ya kukaba eneo hapo)
Magufuli alikuwa na roho mbaya sana yaani Arusha hakutaka kujenga stand ila Mwanza kapeleka miradi kibao japo bado mwanzo haizalishi hata nusu ya kipato cha ArushsMajiji yote makubwa na Mikoa Maarufu Ina Standi Kuu za Kisasa kabisa na Sasa Arusha inaenda Kujengwa Standi Kubwa lakini hakuna ambae anataja Mbeya.
On top of that Barabara za mitaani ndio kabisaa ni vumbi tupu.Nikajua Tactic itakuja na package nzuri ya Barabara za mitaa kumbe hole,eti Km 12 ni nini kwenye Jiji lililojaa vumbi Kila sehemu? Nikaangamia stand hakuna Cha maana zaidi ya blaa blaa ya kastendi Cha daladala Airport ya zamani.
Tanga Ina Standi kubwa ya Kange.
Mwanza ina Standi Kubwa 2.
Dodoma ina Standi Kubwa Nanenane.
Dar ndio usiseme kuna Magufuli, Mwenge nk
Morogoro kuna Msanvu.
Iringa Kuna Stand kubwa.
Sumbawanga Kuna Standi Kubwa ya Katumba
Arusha ndio hiyo inaenda kujengwa Pale Bondeni City
View attachment 2761477
Swali: Kwa nini Mbeya licha ya kuwa Jiji, Namba 3 kuchangia Uchumi Tanzania ila hakuna hata Mpango wa kujengwa Stand kubwa na ya Kisasa yenye hadhi ya Jiji? Kwa nini hakuwekwi Mpango wa Barabara za mitaa za kutosha?
My Take
Mbeya kuwa na kina Mwambukusi wengi isiwe ndio fimbo ya kuadhibu watu wake.
=====
"Pia kuna stendi za mabasi kwa sababu Miji inakuwa na mahitaji ya Stendi pia ni makubwa tunakwenda kujenda stendi za mabasi 26. Ile stend ya Mabasi ya Arusha ipo katikati ya Mji halafu ni ndogo sana. Mahitaji ni makubwa kwahiyo tunakwenda kujenga stendi kubwa sana Jijini Arusha" Humphrey Kanyeye - Mratibu wa Miradi ya Benk ya Dunia -TARURA
Nasikia mbeya mnaogopa kujenga maghorofaBashe mshenzi alikataa mpuuzi kabisa yule,aletwe Waziri Mwingine
Mbeya ya wapi hiyo wanaogopa? Hapa ni wapi? ππNasikia mbeya mnaogopa kujenga maghorofa
π π€£ π π mkuu sijafika mbeya kiukweli ila hizi hotels mbona ni kama zile kwa Arusha ni za alfu 30 hadi 35?!!!Mbeya ya wapi hiyo wanaogopa? Hapa ni wapi? ππView attachment 2910007View attachment 2910008View attachment 2910009View attachment 2910010View attachment 2910011View attachment 2910012
Huna hata uwezo wa Kulipia Bora usije utaaibikaπ π€£ π π mkuu sijafika mbeya kiukweli ila hizi hotels mbona ni kama zile kwa Arusha ni za alfu 30 hadi 35?!!!
Hatimaye Stand ya Mbeya mpyaa kujengwa ππMajiji yote makubwa na Mikoa Maarufu Ina Standi Kuu za Kisasa kabisa na Sasa Arusha inaenda Kujengwa Standi Kubwa lakini hakuna ambae anataja Mbeya.
On top of that Barabara za mitaani ndio kabisaa ni vumbi tupu.Nikajua Tactic itakuja na package nzuri ya Barabara za mitaa kumbe hole,eti Km 12 ni nini kwenye Jiji lililojaa vumbi Kila sehemu? Nikaangamia stand hakuna Cha maana zaidi ya blaa blaa ya kastendi Cha daladala Airport ya zamani.
Tanga Ina Standi kubwa ya Kange.
Mwanza ina Standi Kubwa 2.
Dodoma ina Standi Kubwa Nanenane.
Dar ndio usiseme kuna Magufuli, Mwenge nk
Morogoro kuna Msanvu.
Iringa Kuna Stand kubwa.
Sumbawanga Kuna Standi Kubwa ya Katumba
Arusha ndio hiyo inaenda kujengwa Pale Bondeni City
View attachment 2761477
Swali: Kwa nini Mbeya licha ya kuwa Jiji, Namba 3 kuchangia Uchumi Tanzania ila hakuna hata Mpango wa kujengwa Stand kubwa na ya Kisasa yenye hadhi ya Jiji? Kwa nini hakuwekwi Mpango wa Barabara za mitaa za kutosha?
My Take
Mbeya kuwa na kina Mwambukusi wengi isiwe ndio fimbo ya kuadhibu watu wake.
=====
"Pia kuna stendi za mabasi kwa sababu Miji inakuwa na mahitaji ya Stendi pia ni makubwa tunakwenda kujenda stendi za mabasi 26. Ile stend ya Mabasi ya Arusha ipo katikati ya Mji halafu ni ndogo sana. Mahitaji ni makubwa kwahiyo tunakwenda kujenga stendi kubwa sana Jijini Arusha" Humphrey Kanyeye - Mratibu wa Miradi ya Benk ya Dunia -TARURA
We chalii wa Arusha hakuna kitu unajua zaidi ya kuvaa maviatu Yale ya matajiri yenu makuuubwa ππToka lini mbeya imekuwa no3 kwa kuchangia uchumi?
Tz ni yetu sote pimbi we hakuna mwenye kwao.Sasa kama sio kwenu nini kinakuuma? Achana nao wakae kwenye kijiji kikubwa kilichochangamka!
Huwa anapambana bwana japo kigogo ndio yupo peke yakeYule mama akson anachekacheka tuπππ wakati wenzake wote wanaangalia kwao tu yaani amezubaa sana
Sema nnachoupendea mkoa wa mbeya ni kwamba uchumi upo Kila wilaya,ukienda kyela,rungwe chunya mbarali kote kunajiweza na Kuna fursa nyingi,tofauti na mikoa mingine yani mkoani ndio kunakuwa vzuri na uwiano na wilaya zake haipo,lakin mkoa wa mbeya ni wilaya zote tu zinajiwezaHuwa anapambana bwana japo kigogo ndio yupo peke yake
Mwanza Airport ngojera hadi leo.TAA pamoja na kukabidhiwa bado bureMwanza yenyewe imepata juzi tu, haikuwa na stand ya maana jumlisha na ile airport ambayo ujenzi huwa hauishi kwa miaka kiasi songwe ulijengwa hadi ukamalizika lakini hamna kitu. Na usishangae hata msalato utauacha pia
Japo baadhi ya mikoa mfano mbeya kuwa overlooked sio story mpya. Anko magu kidogo ndo aliwekeza jicho mkoani tofauti na enzi za kila kitu dar
Hiyo ndio tofauti ya Mbeya na Mikoa mingine.Sema nnachoupendea mkoa wa mbeya ni kwamba uchumi upo Kila wilaya,ukienda kyela,rungwe chunya mbarali kote kunajiweza na Kuna fursa nyingi,tofauti na mikoa mingine yani mkoani ndio kunakuwa vzuri na uwiano na wilaya zake haipo,lakin mkoa wa mbeya ni wilaya zote tu zinajiweza
Ngonjepa wapi wakati mama amemwaga pesa kazi ya new terminal building na Upanuzi wa runway ikiwemo ujenzi wa cold rooms na hotel unaendelea?Mwanza Airport ngojera hadi leo.TAA pamoja na kukabidhiwa bado bure
Mkuu zile viatu vikubwa ni culture sio kuwa hatuna hela hata billionaire laizer anava mbona π π€£ π π π.We chalii wa Arusha hakuna kitu unajua zaidi ya kuvaa maviatu Yale ya matajiri yenu makuuubwa ππ
Usilete mchezo na Mbeya ni Moja ya Mkoa ambayo uchumi wake unaenda kujenga Dar,Dom na Arusha huko ambako bila mbeleko ya Serikali hakuna kitu.
Takwimu hizi hapa kutoka BoT ππView attachment 2911774View attachment 2911775
Na Kwa taarifa Yako tuu takwimu za 2023 zikitoka tunaingia kwenye kundi la Mikoa 3 iliyovuka GDP ya over 10 Trilion.
Mkuu Mbeya mmepewa international Airport bure lakin nyie mnagombania new force na sauli π π€£ π π wangetupa Arusha hiyo sisi pale flights 150 kwa sikuNgonjepa wapi wakati mama amemwaga pesa kazi ya new terminal building na Upanuzi wa runway ikiwemo ujenzi wa cold rooms na hotel unaendelea?
Mwanza Ina GDP kubwa kulinganisha na Mikoa mingine apart from Dar lakini Kwa idadi Ile ya watu walitakiwa wawe ya GDP karibu na Dar ndio ingefanya maisha mazuri yaani wawe na average ya per Capita kuanzia 4M kwenda Juu.Mkuu zile viatu vikubwa ni culture sio kuwa hatuna hela hata billionaire laizer anava mbona π π€£ π π π.
Hapo kwenye GDP per capital ndio naelewa Mbeya maisha ni ya nafuu sana kupita mikoa mingi naelewa. Unegundua per capita na domestic product sehemu nyingi hazi correlate?? Angalia Mwanza kwa mfano GDP kubwa na Umaskini mkubwa vile vile Kudos Mbeya kwa hilo