Kwanini Mbeya licha ya kuwa namba 3 kwa kuchangia Uchumi Tanzania ila hakuna hata Mpango wa kujengwa stendi ya Kisasa?

Kwanini Mbeya licha ya kuwa namba 3 kwa kuchangia Uchumi Tanzania ila hakuna hata Mpango wa kujengwa stendi ya Kisasa?

Mwanza Ina GDP kubwa kulinganisha na Mikoa mingine apart from Dar lakini Kwa idadi Ile ya watu walitakiwa wawe ya GDP karibu na Dar ndio ingefanya maisha mazuri yaani wawe na average ya per Capita kuanzia 4M kwenda Juu.

Mwisho Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ndio GDP Ina uhusiano na life directly maana huku hatutegemei GGM au Ngorongo Bali tunalima na pesa Zinaenda kwetu Moja kwa Moja.

My Take: Kacha zingine ni za kisengerema 🤣🤣
Culture is always good as long as it doesn't harm labda ukeketaji ndio Culture mbaya ila kubeba sime hatuachi mwanaume huwezi ukatembea huna silaha huku unajiamini.
Niko nyanda za juu kusini kwa sasa from my observation huku maisha ya mtu mmoja mmoja yana unafuu kupita sehem nyingi za Tanzania. Maeneo mengi ni agrarian ( hamna viwanda/mara nyingi viwanda hugusa baadhi tu ya watu) kilimo huku cha uhakika mvua haigomi sana.
 
Majiji yote makubwa na Mikoa Maarufu Ina Standi Kuu za Kisasa kabisa na Sasa Arusha inaenda Kujengwa Standi Kubwa lakini hakuna ambae anataja Mbeya.

On top of that Barabara za mitaani ndio kabisaa ni vumbi tupu.Nikajua Tactic itakuja na package nzuri ya Barabara za mitaa kumbe hole,eti Km 12 ni nini kwenye Jiji lililojaa vumbi Kila sehemu? Nikaangamia stand hakuna Cha maana zaidi ya blaa blaa ya kastendi Cha daladala Airport ya zamani.

Tanga Ina Standi kubwa ya Kange.

Mwanza ina Standi Kubwa 2.

Dodoma ina Standi Kubwa Nanenane.

Dar ndio usiseme kuna Magufuli, Mwenge nk

Morogoro kuna Msanvu.

Iringa Kuna Stand kubwa.

Sumbawanga Kuna Standi Kubwa ya Katumba

Arusha ndio hiyo inaenda kujengwa Pale Bondeni City

View attachment 2761477

Swali: Kwa nini Mbeya licha ya kuwa Jiji, Namba 3 kuchangia Uchumi Tanzania ila hakuna hata Mpango wa kujengwa Stand kubwa na ya Kisasa yenye hadhi ya Jiji? Kwa nini hakuwekwi Mpango wa Barabara za mitaa za kutosha?

My Take
Mbeya kuwa na kina Mwambukusi wengi isiwe ndio fimbo ya kuadhibu watu wake.

=====


"Pia kuna stendi za mabasi kwa sababu Miji inakuwa na mahitaji ya Stendi pia ni makubwa tunakwenda kujenda stendi za mabasi 26. Ile stend ya Mabasi ya Arusha ipo katikati ya Mji halafu ni ndogo sana. Mahitaji ni makubwa kwahiyo tunakwenda kujenga stendi kubwa sana Jijini Arusha" Humphrey Kanyeye - Mratibu wa Miradi ya Benk ya Dunia -TARURA

Appreciation
Kelele zimesaidia ,Hatimaye tenda ya ujenzi imetangazwa 👇 👇 View attachment 2911776
CCM wanawaadhibu wana Mbeya
 
Culture is always good as long as it doesn't harm labda ukeketaji ndio Culture mbaya ila kubeba sime hatuachi mwanaume huwezi ukatembea huna silaha huku unajiamini.
Niko nyanda za juu kusini kwa sasa from my observation huku maisha ya mtu mmoja mmoja yana unafuu kupita sehem nyingi za Tanzania. Maeneo mengi ni agrarian ( hamna viwanda/mara nyingi viwanda hugusa baadhi tu ya watu) kilimo huku cha uhakika mvua haigomi sana.
Arusha kwenyewe watu Wana maisha magumu wanajifariji Kwa bange 😁😁

Uko Mkoa gani?
 
Nao ni wajinga kukomaa na siasa zisizo na Tija kwao.

Wanawaiga Arusha wanasahau kwamba Arusha ni kitovi Cha Utalii na diplomasia so lazima tuu maendeleo Serikali ipeleke.
Mbeya upinzani ndio asili ýao, ni mkoa mgumu tangu zama za Nyerere. Uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, upinzani ulichukua jimbo la Mbeya Mjini. Polisya Sikumbula Mwaisyeje alibeba jimbo
 
Arusha kwenyewe watu Wana maisha magumu wanajifariji Kwa bange 😁😁

Uko Mkoa gani?
Nao ni wajinga kukomaa na siasa zisizo na Tija kwao.

Wanawaiga Arusha wanasahau kwamba Arusha ni kitovi Cha Utalii na diplomasia so lazima tuu maendeleo Serikali ipeleke.
Mikoa ambayo ccm imetamalaki ndio inaongoza kwa umaskini na ujinga

Tabora
Singida
Shinyanga
Dodoma etc
Never blame upinzani unaleta muamko na sehem zenye upinzani ndio zina unafuu wa Miasha over
 
Back
Top Bottom