Kwanini Mbilikimo wengi wanapatikana kwenye Misitu ya DRC

Kwanini Mbilikimo wengi wanapatikana kwenye Misitu ya DRC

Zipi zilizotumika na zipi hazikutumika katika evolution?
Bora umefuta aisee comment yako, maana nilitaka nisiendelee tena kujadiliana na wewe mzee. Uwe unasoma kwanza uelewe kisha ndiyo hoji.
 
Kama waliruka 2 na 4 hao watu wa evolution walifahamuje viumbe mbali mbali vinafanana?

Walifanyaje analysis bila data?

Walifanya conclusion ya nini?

Kama 6 haipo wewe ulifahamu vipi theory ya evolution?

Umesoma Biology angalau ya O level katika nchi hii?
Zimetumika 1,3 na 5 wakarukia kwenye "Conclusion".
 
Kama waliruka 2 na 4 hao watu wa evolution walifahamuje viumbe mbali mbali vinafanana?

Kama 6 haipo wewe ulifahamu vipi theory ya evolution?
Unaelewa nini ukiambiwa uhalisia ? Wewe unakubali kwamba walifanya tafiti gani mpaka wakafikia hitimisho la kuwa binadamu alikuwa nyani ? Ndiyo maana katika ufahamu wao una makosa mengi juu ya hao viumbe, sababu waliruka vipengele hivyo.

Nimesoma vitabuni na kusikia kwa watu.
 
Hujawahi kusoma utafiti wowote unaohusu evolution ?

Unaweza kutaja makosa mawili yanayohusu huo ufahamu wao juu ya viumbe hao?

Theory gani ya kisayansi iliyo sahihi kuhusu uwepo wa binadamu kama aonekanavyo duniani?
Unaelewa nini ukiambiwa uhalisia ? Wewe unakubali kwamba walifanya tafiti gani mpaka wakafikia hitimisho la kuwa binadamu alikuwa nyani ? Ndiyo maana katika ufahamu wao una makosa mengi juu ya hao viumbe, sababu waliruka vipengele hivyo.

Nimesoma vitabuni na kusikia kwa watu.
 
Unaweza kutaja makosa mawili yanayohusu huo ufahamu wao juu ya viumbe hao?
Sio makosa mawili tu, bali "Evolution" yote ni makosa matupu.
Hujawahi kusoma utafiti wowote unaohusu evolution ?
Kulingana na hiki tunachokijadili swali linaonyesha maswali zaidi ya mawili, je una maanaisha tafiti za wana evolution kwa kuipa nguvu nadharia yao au wakosoaji au tafiti juu ya nadhari ya evolution ?
Theory gani ya kisayansi iliyo sahihi kuhusu uwepo wa binadamu kama aonekanavyo duniani?
Mpaka muda sijaiona ambayo iko sahihi, kama ipo niwekee hapa.
 
Hili hata akili iliyo salimika inalikataa. Ili kitu kipimwe uzito kinahitaji nini na nini ? Unawezaje kuujua uzito wa jua kiufasaha hali ya kuwa huwezi kulidiriki jua ?

Kuupuuza uhalisia ni kuukaribisha UONGO, na kuishi katika UONGO dahari kwa dahari.
😐🤔🤔
 
nami nataka jua.
Umeridhika Na Michango Mbalimbali Iliyolewa Na Kunufaika Ama Bado, Naamini Michango Iko Sawa Sawa
Kwakuwa Thread Iko Wazi Tutaendelea Kulimishwa/Kuelimika Kila Wakati
 
Swaali zuri sana;

Kwanza fahamu kuwa kuna mbilikimo wa aina mbili: mbilikimo wa asili (pygmy) na mbilikimo wa ugonjwa (dwarf). Wale wa kongo ni mbilikiko wa asili kwa maana ya kuwa maumbile yao ni asili yao na yanatokana na mazingira yao ya asili. Umbilikimo wa aina hii ni hereditary kwa maana ya kuwa huzaliwa na mbilikimo pia. Ni kama ambavyo maumbile ya asili ya waachina yalivyo tofauti na maumbile ya asili ya wazungu, na pia wachina huzaliwa na wachina tu.

Kuna mbilikimo wa aina nyingine ambao wanapata matatizo ya mwili kushindwa kutengeneza hormones zinazohitajika mwili kukua, na hivyo kubaki na umbo la kitoto maisha yao yote; hawa wanajulikana kama dwarfs. Mbilikimo wa aina hii huweza kutokea katika familia yoyote ile, wazazi wawili warefu wanaweza kuzaa mbilikimo wa aina ya dwarf.

Theories zinazonyesha kuwa evolutionary process iliyosababisha waafrika wakawa na ngozi nyeusi kutokana na mazingira ya joto la tropical, ndiyo pia iliyosababisha watu waliokuwa wakiishi kwenye misitu mizito kama vile Kongo kuwa wafupi kwa vile miili yao ilikuwa inakosa mwanga wa jua kutengeneza vitamin D; kwa hiyo miili yao ikawa haiwezi ku-absrob calcium ya kutosha, jambo liliosababisha wawe na mifupa midogo na hivyo kuwa na miili midogo. Misitu ya Kongo ndiyo yenye mbilikimo wengi wa aina hiyo ikifuatiwa na misitu ya Amazon huko Brazili. Kuna sehemu nyingine za dunia kama Papua New Guinea na Australia ambako pia kuna mbilikimo waliotokana na misitu mikubwa iliyokuweko maeneo hayo.
daaaaaaah umenipa mwangaza
Shukran mkuu
 
Swaali zuri sana;

Kwanza fahamu kuwa kuna mbilikimo wa aina mbili: mbilikimo wa asili (pygmy) na mbilikimo wa ugonjwa (dwarf). Wale wa kongo ni mbilikiko wa asili kwa maana ya kuwa maumbile yao ni asili yao na yanatokana na mazingira yao ya asili. Umbilikimo wa aina hii ni hereditary kwa maana ya kuwa huzaliwa na mbilikimo pia. Ni kama ambavyo maumbile ya asili ya waachina yalivyo tofauti na maumbile ya asili ya wazungu, na pia wachina huzaliwa na wachina tu.

Kuna mbilikimo wa aina nyingine ambao wanapata matatizo ya mwili kushindwa kutengeneza hormones zinazohitajika mwili kukua, na hivyo kubaki na umbo la kitoto maisha yao yote; hawa wanajulikana kama dwarfs. Mbilikimo wa aina hii huweza kutokea katika familia yoyote ile, wazazi wawili warefu wanaweza kuzaa mbilikimo wa aina ya dwarf.

Theories zinazonyesha kuwa evolutionary process iliyosababisha waafrika wakawa na ngozi nyeusi kutokana na mazingira ya joto la tropical, ndiyo pia iliyosababisha watu waliokuwa wakiishi kwenye misitu mizito kama vile Kongo kuwa wafupi kwa vile miili yao ilikuwa inakosa mwanga wa jua kutengeneza vitamin D; kwa hiyo miili yao ikawa haiwezi ku-absrob calcium ya kutosha, jambo liliosababisha wawe na mifupa midogo na hivyo kuwa na miili midogo. Misitu ya Kongo ndiyo yenye mbilikimo wengi wa aina hiyo ikifuatiwa na misitu ya Amazon huko Brazili. Kuna sehemu nyingine za dunia kama Papua New Guinea na Australia ambako pia kuna mbilikimo waliotokana na misitu mikubwa iliyokuweko maeneo hayo.
Safi sana
 
Wakuu jamii ya Mbilikimo wengi wamekuwa wakipatikana katika misitu ya Jamhuri ya Congo, ingawaje hata hapa Tanzania kuna wachache mfano kuna Dada mmoja ktk kundi la VITUKO SHOW.

Sasa mwenye kujua hasa kule Kongo kwanini huwa wanapatikana kwa idadi kubwa anaweza tujuza.

Mwanamuziki hayati PEPE KALE nae alikuwa anawashirikisha katika kazi zake za muziki enzi za uhai wake.

====
Majibu
Asante!
 
Wakuu jamii ya Mbilikimo wengi wamekuwa wakipatikana katika misitu ya Jamhuri ya Congo, ingawaje hata hapa Tanzania kuna wachache mfano kuna Dada mmoja ktk kundi la VITUKO SHOW.

Sasa mwenye kujua hasa kule Kongo kwanini huwa wanapatikana kwa idadi kubwa anaweza tujuza.

Mwanamuziki hayati PEPE KALE nae alikuwa anawashirikisha katika kazi zake za muziki enzi za uhai wake.

====
Majibu
Jua kua mbilikimo hawapatikani Kongo pekee
Wanapatikana Cameroon,Zambia na central africa
 
Back
Top Bottom