Kwanini Mbowe havai T-Shirts za Katiba Mpya?

Kama unataka kwenda kumvalisha tisheti ya Katiba mpya sema utapewa na nafasi ya kumvalisha boksa pia ili utimiziwe hitaji la moyo wako la muda mrefu.
Nafasi yako ipo ni wewe kusema tu mleta mada.
 
naona unaruka ruka tu kama umeukalia. Kwa hiyo ulitakaje,waje kwenye party wamenuna au wabebe visu.

Wewe ni hater mwandamizi well known. Uje na jipya
 
Weka ushahd we msoga gang
uhusiano wa Freeman Mbowe na CCM hatuuelewi kwa kweli.

CHADEMA wakiwa kwenye mitandao wanatuambia CCM ni watu watekaji, wauaji, wakandamiza haki, madhalimu.

wakati huo mwenyekiti wao anakesha kuomba vikao vya Siri na CCM/Ikulu.
 
naona unaruka ruka tu kama umeukalia. Kwa hiyo ulitakaje,waje kwenye party wamenuna au wabebe visu.

Wewe ni hater mwandamizi well known. Uje na jipya
Vipi bado bado mnavaa tshirt zenu mmeandika Rais Samia Dikteta?
 
uhusiano wa Freeman Mbowe na CCM hatuuelewi kwa kweli.

CHADEMA wakiwa kwenye mitandao wanatuambia CCM ni watu watekaji, wauaji, wakandamiza haki, madhalimu.

wakati huo mwenyekiti wao anakesha kuomba vikao vya Siri na CCM/Ikulu.
We ni msoga gang, kupata a Kwa CDM na CCM kwako ni kikwazo maana mlizoea kumchonganisha MTAWALA na upinzani Ili mfanye yenu....
 
Aliyekusomesha Bora hizo hela angehonga Malaya kuliko ununuzi unaoandika

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…