stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Ili chadema ionekane ni chama cha demokrasia nashauri mbowe aachie ngazi. Asigombee tena uenyekiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti gan wa ccm amekaa kama miaka ya mbowe?Nchi ya kidemokrasia na ccm IPO madarakani tangia Uhuru?🤔
Joined TuesdayIli chadema ionekane ni chama cha demokrasia nashauri mbowe aachie ngazi. Asigombee tena uenyekiti
chawaaaa mbowe atoke hatumtaki.Joined Tuesday
waulize ccm kwanza kwa nini wapo tokea uhuru au mpaka kikeke amuulize huyuIli chadema ionekane ni chama cha demokrasia nashauri mbowe aachie ngazi. Asigombee tena uenyekiti
kafe basi maana haondokiIli chadema ionekane ni chama cha demokrasia nashauri mbowe aachie ngazi. Asigombee tena uenyekiti
UWT fanyeni uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM taifaMuache mtu akae na mali yake
Mbowe hakusanyi kodi, mjinga wewe,Ili chadema ionekane ni chama cha demokrasia nashauri mbowe aachie ngazi. Asigombee tena uenyekiti
Wewe ni chawa! Kinakuuma Nini?Ili chadema ionekane ni chama cha demokrasia nashauri mbowe aachie ngazi. Asigombee tena uenyekiti
Hahahaha nayaona wanayashushaHili swali halinaga majibu, majibu yake ni matusi tu.....
Utatukanwa tu....Hahahaha nayaona wanayashusha
Chaggaphobia itakuuaNimemuona yeye na Lema wanasema wachaga wanaonewa na CCM hivyo waakikishe chama cha wachaga kinachukua nchi. Amefeli sana kufikiri uchaga utamfikisha popote