Kwanini mbowe yuko madarakani muda mrefu? Aachie ngazi nashauri

Kwanini mbowe yuko madarakani muda mrefu? Aachie ngazi nashauri

Ili chadema ionekane ni chama cha demokrasia nashauri mbowe aachie ngazi. Asigombee tena uenyekiti
waulize ccm kwanza kwa nini wapo tokea uhuru au mpaka kikeke amuulize huyu
GSY2ZwAWwAAXivk.jpg
 
Nimemuona yeye na Lema wanasema wachaga wanaonewa na CCM hivyo waakikishe chama cha wachaga kinachukua nchi. Amefeli sana kufikiri uchaga utamfikisha popote
 
Nimemuona yeye na Lema wanasema wachaga wanaonewa na CCM hivyo waakikishe chama cha wachaga kinachukua nchi. Amefeli sana kufikiri uchaga utamfikisha popote
Chaggaphobia itakuua
 
Back
Top Bottom