Kwanini mbunge Musukuma anapenda kuwadharau wasomi wetu?

Kwanini mbunge Musukuma anapenda kuwadharau wasomi wetu?

Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Hivi Tanzania ina wasomi au waganga njaa tu kushibisha matumbo yao.
 
Mpime Msomi kwa Kumpa Mtihani alioufaulu kisha usimpe nafasi aibie mtihani... Matokeo yake utacheka baadhi watatoboa ila wengi ujanja ujanja tu. so ndio maana hatuna Maendeleo Tanzania so heshima ya wasomi haina umuhimu
 
Hivyo tatizo la ajira isiwe lawama kwa wasomi tu ati ni uchwara, ni jambo pana linalohitaji fikra kubwa...
Ndiyo maana mlienda shule. Tulitegemea mje na hizo fikra kubwa. Sasa kama mmesoma halafu mna fikra ndogo kama za bibi yangu, nini tija ya kwenda shule???
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?

Ameenda bungeni sababu ya uchifu. Sio kisomo. Ndio maana anazuga sana
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Wasomi wengi wanaabudu pesa badala ya taaluma zao vile vile wanajaa unafiki kwa sababu ya vyeo,mfano, Palamangamba Kabudi na Mwakyembe.
 
Kabisa!. Fikiria msomi kama Lisu anaamisha watu kwamba yeye akichaguliwa kuwa rais ndio tatizo la ajira litaisha wakati bibi yako kapambana bila hata Lisu kuwa mwenyekiti wake wa kitongoji na amewasomesha!
Ujinga huu mlio nao ndio unaosababisha Musukuma awadharau nyambafu zenu.
 
Namkubali msukuma,anatumia udhaifu wa wasomi the way wanavyokuwa wanaharakati Bungeni.
Wasomi tujitafakari.
Tembo wapo wengi na nyumbu hadi wanaua watu.
Leo unaongeza kodi kwenye laini,so uuze baadhi ya wanyama ambao Mungu anawalisha.
Jina la msukuma ni maarufu kupitia ujinga wabaadhi ya watu
Hakika.Umenena vema.
 
Amegundua mnatumika visivyo na Wanasiasa wasio Wasomi Mnatunga Sheria za kipumbavu, Mnasifia Hovyo Viongozi mnajiita wa Majalalani
Umeongea jambo la msingi kuna kitu cha kujifunza kutoka kwa Musukuma tusimbeze hata kidogo ukiangalia matukio ya awamu ya tano faida na matumizi ya Elimu yalikuwa madogo sana,kitu kilichotawala ni sifa,ubabe,hofu,woga na kujipendekeza,mpaka zikatungwa sheria za kuwalinda Spika,Naibu Spika,Waziri Mkuu,Jaji Mkuu nk.

Kwa mantiki hiyo wasomi wanatukanwa au kubezwa kwa sababu ya matendo yao,kupenda sana vyama vyao vya siasa bila kujali uhalisia uliopo wakati huo,kuabudu pesa kuliko nchi yao,kutumika vibaya na viongozi wanaowachagua au kuwateua,kupenda kurubuniwa kama Covid 19 mbungeni,hata wale walioteswa na watawala kusalimu amri za kishenzi kishenzi na mambo mengine ya hovyo.

Musukuma yuko sahihi anafikisha ujumbe ili wasomi/wataalam wajitambue na kujiamini katika maamuzi yao.Asante.
 
Tunao wasomi wengi sana leo ktk nchi hii na hao hawatofautiani na huyo Masukuma.

Lakini, walioelimika ni wachache sana na hawa walioelimika Msukuma hawaongelei kwa sababu hawafanani naye. Kuna tofauti kubwa sana kati ya msomi na mwenye kuelimika japo wanaweza wawe na viwango sawa vya elimu.

Sasa anaowaongelea Msukuma ndio hao wasomi lakini ambao hawajaelimika na ndio anao huko bungeni na moja ya sifa kubwa ya hao wasomi ni kutoweza kusimamia kile wanachokiamini kwa sababu za kimaslahi na bila shaka Msukuma analifahamu hili na ndio chimbuko la dharau yake kwao.

Ukirudi nyuma utakuta huyu huyu Msukuma anatumia au ametumia pesa nyingi sana kusomesha watoto wake akitaka wasije wakawa kama yeye katika ulimwengu huu unaobadilika kwa haraka na hapendi waishie darasa la saba kama yeye kwani hata yeye utakuta kuna sababu tu zilizomfanya aishie hapo, haikua mapenzi yake.
 
Tena Jenista ni mbunge jimboni kwetu, lakini mambo anayofanya ni ujinga plus upumbavu mtupu. Halafu mroho wa madaraka hataki kuachia wengine. Msieeeew zake, tena ana Diploma tyuuh. Hovyoooooh
Hata mimi huyu mama Jenista kakaa siku nyingi sana vizara mbalimbali lakini sijajua kwa nini wanampa nafasi sana mwisho wa siku hawezi kutumia taluma yake atakuwa anaangalia vyeo tu lakini matokeo sifuri.
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Anajisikia vibaya sana kutosoma (kutopata elimu ya juu). Tatizo kama hili unaweza kuliita 'projection' (yaani tatizo lako au ulilonalo unaliona kwa wengine) au 'inferiority complex' (yaani tatizo lako au ulilonalo linakufanya ujione muda wote kuwa mtu wa chini au usiye na kitu/thamani mbele ya watu wengine).
 
Mwendazake ndo alisababisva wasomi tuonekane hamna kitu kabisa, mama inabidi apobeshe hichi kidonda
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Kwangu mimi nataka nichangie kama ifuatavyo, Kwanza kabisa napingana na tabia ya Musukuma kudharau elimu kwa sababu inaweza kusababisha vijana wengi walioko mtaani kupuuzia sauala la elimu kwa kuwa yeye anaongea mbele ya media na ikizingatiwa ni mbunge. It doesn't make sense. Pili nataka kuja kwa upande wa wasomi hapa nchi kwetu , Wasomi wa nchi hii kwa sehemu kubwa hawana uwezo wa kukataa lawama nyingi juu yao kama ifuatavyo
.Wasomi wa nchi hii ndio walioingiza nchi katika mikataba mibovu ya akina mangungo,fikiria mtu ni waziri anaitwa ulaya analala hotel anasaini mkataba usiokuwa na maslahi kwa taifa hapo tunaweza kusema hawa ni wasomi kweli kwenye nchi yetu?
.Wasomi wetu wengi wamekuwa watu wa kuendeshwa na wanasisa na kushindwa kusimamia taluma zao kikamilifu kwa mfano sakata la CAG na spika kipindi kile.
.Vijana wengi wasomi wamekuwa ani watu wanaotaka sana kupata mali mapema na kupelekea kukosa ubunifu katika mambo mengi ya kiserkali kwa mfano malalamiko yasiyoisha wa wafanyakazi wa TRA na maeneo mengine serkalini. Kwa sababu chache hizo usomi katika nchi yetu unakuwa hauna maana yeyote zaidi ya kila mtu kutumikia tumbo lake tu na kuchana na maslahi mapamna ya taifa.
 
Tena Jenista ni mbunge jimboni kwetu, lakini mambo anayofanya ni ujinga plus upumbavu mtupu. Halafu mroho wa madaraka hataki kuachia wengine. Msieeeew zake, tena ana Diploma tyuuh. Hovyoooooh
Mkuu huyo ameshidwa kuikuza Paramiho ambao ilikuwa inajulikana Afrika Mashariki kwa shughuli zake za maendeleo miaka ya zamani sasa unadhani ataweza nini, ameshindwa kabisa kuipusha.
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Leo namtetea Mbunge Msukuma kwani kama tu Mbunge tena mwenye ' Doctorate ' yake Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba ' amewasilisha ' Bajeti iliyojaa ' Upuuzi ' mwingi kwanini sasa ' the so called Intellectuals ' wasidharaulike hivi?
 
Ni ushamba tu, ni kuamini pesa ndio kila kitu, na hapa jukwani kuna watakaomuinga mkono na hao pia elimu zao ni za hapa na pale
 
Nchi imeongozwa na masomo toka mwanzo,
Wanaoharibu uchumi wa nchi ni wasomi haohao,
Wezi kwenye mabenki yetu ni wasomi,
Walioruhusu shule za matajiri zifundishe kwa kiingereza na za maskini zifundishe kwa kiswahili ni wasomi haohao.
Wanaoodoa na kuweka vikokotoo ni wasomi haohao.
Wanaotamani watanzania wenzao wawe maskini ili wawatawale ni wasomi haohao.
Wanaoshinda kwa waganga ili wawe watawala wa milele ni wasomi haohao.
Waliopanda ndege kwenda madagaska ni wasomi haohao.
Waliokwamisha katiba mpya ni wasomi haohao.
Waliosema Magufuli atawale milele na Leo amekufa wamegeuka ni wasomi haohao. Yako mengi ya kuandika.
Msukuma yuko sahihi
Mkuu hapo kwenye KATIBA ndipo wasomi ninapo watilia shaka na usomi wao. Kweili!! miaka zaidi ya 60, toka Tupate UHURU eti hutaki kufanyia marekebisho ya KATIBA. Wakati vimikataba, vihati vinafanyiwa marekebisho, tena ndani muda mdogo tu miaka kama 3 - 5. Miongo inapita, tekinologia inaingia, Nchi tulizopata pamoja Uhuru zinarekebisha Katiba zao, azimio la Arusha na la Zanzabar, vyama vingi vya Siasa vinaingi ect, wasomi wetu bado hawaoni sababu ya MAREKEBISHO NDANI YA KATIBA. Nadhani itoshe kusema viongozi na wale wa kujikomba kuteuliwa wana masilahi mapana na KATIBA tuliyo nayo japo kuwa wanajua fika kwamba kwa KATIBA tuliyonayo MAENDELEO tutayasikiaga nchi jirani.
 
Tatizo matarajio ya wasomi wetu ni makubwa, wanatamani kama wangeweza wabebe degree zao kichwani zionekane huku miguu ikiwa imepauka na kunuka vikwapa. Msomi asiejua kutatua changamoto zake mwenyewe ni bure kabisa, hauwezi fanana na darasa la saba mwenye uwezo wa kuboresha hali yake.
 
Kwangu mimi nataka nichangie kama ifuatavyo, Kwanza kabisa napingana na tabia ya Musukuma kudharau elimu kwa sababu inaweza kusababisha vijana wengi walioko mtaani kupuuzia sauala la elimu kwa kuwa yeye anaongea mbele ya media na ikizingatiwa ni mbunge. It doesn't make sense. Pili nataka kuja kwa upande wa wasomi hapa nchi kwetu , Wasomi wa nchi hii kwa sehemu kubwa hawana uwezo wa kukataa lawama nyingi juu yao kama ifuatavyo
.Wasomi wa nchi hii ndio walioingiza nchi katika mikataba mibovu ya akina mangungo,fikiria mtu ni waziri anaitwa ulaya analala hotel anasaini mkataba usiokuwa na maslahi kwa taifa hapo tunaweza kusema hawa ni wasomi kweli kwenye nchi yetu?
.Wasomi wetu wengi wamekuwa watu wa kuendeshwa na wanasisa na kushindwa kusimamia taluma zao kikamilifu kwa mfano sakata la CAG na spika kipindi kile.
.Vijana wengi wasomi wamekuwa ani watu wanaotaka sana kupata mali mapema na kupelekea kukosa ubunifu katika mambo mengi ya kiserkali kwa mfano malalamiko yasiyoisha wa wafanyakazi wa TRA na maeneo mengine serkalini. Kwa sababu chache hizo usomi katika nchi yetu unakuwa hauna maana yeyote zaidi ya kila mtu kutumikia tumbo lake tu na kuchana na maslahi mapamna ya taifa.
Mkuu sawa, lakini ebu niambie tu kwamba, kweli miaka yetu yote zaidi ya 60 toka tupate UHURU, sifa ya kuwa MBUNGE WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ni kujua KUSOMA NA KUANDIKA. Haya kama sifa ni hizo UNATEGEMEA TAIFA LA AINA GANI?
 
Back
Top Bottom