Mbwa anaanzaje kuranda mtaani, akingata mtu nani anawajbika? Mbwa asiye na wenyewe anapaswa kuuwawa na afisa wanyama na kwenda kuchimbiwa. Hatuhitaji mifugo bila mpangilio. Hata wanyama pori wanalindwa wasiingie kwenye makazi ya binadamu. Punguza ujinga
Yaani hawa ndo wanabamizwa mpaka huruma!Ushawahi kutana na Ng'ombe au Punda anayebeba mizigo na kufungwa nira anavyochapwa fimbo?
🤣🤣🤣🤣Kama sisi watanganyika tunafokewa na viongozi tuamie Burundi na kejel kibao unategea tupeleke wapi makasiriko wewe bichwa komwe.
Mkuu una hasira sana!Tena nyie ndo WACHAFU kuliko mbwa.
Ukipita DAR kila sehemu pananuka MAVI YA BINADAMU, mnakunya kwenye mitaro, mnakojoa hovyo, MAVI KILA PAHALA.
Mavi ya mbwa hayana hata harufu ukilinganisha na MAVI YENU nyie WAKAZI WA DAR.
Nipo TORONTOKwa I wewe upo wapi? Najuaga siku zote upo Dar.
WELL SAID.Binafsi huwa nina huruma sana na viumbe. Huwa naona kabisa, maisha ya mwanadamu hayatofautiani sana na ya viumbe wengine. Tumepewa utashi, ila haimaanishi tunapaswa kufanya mambo pasipo kutumia weledi kwenye fikra zetu.
Yule ni mnyama, anahitaji chakula, maji n.k kama ambavyo sisi tunahitaji. Hao wa kuzurura mtaani muda mwingine unakuta ni mazingira tu. Hata ingekuwa ni watoto hawapati matunzo majumbani, lazima wataonekana watoto wa mtaani. Watazurura ili wapate mahitaji yao.
wanyama wana uhai pia, na wao hufa kama ambavyo binadamu anakufa. Si jambo zuri kuwatesa wanyama. Wana hisia za maumivu pia, japo hawezi kusema lakini utagundua tu
Nduo wapi? Tabor kwa mwanri au?Nipo TORONTO
Okay, endelea kushusha chakula na glass ya mavi.kuna wengine wakiona mavi ya binadamu chakula kinashuka wakiona mavi ya mbwa chakula hakishuki,
Hao watoto BABA ZAO ndio NYIE MMEJIBANZA MITANDAONI mnasikilizia upepo.Sory mleta mada vip kuhusu watoto wa Mtaani ujawaona wew unaona mbwa kweli ...pale karikoo wale watoto wanaolala nje kwenye ule ukuta so sad....
Mbwa ana hakii ila Tungeaanza kupenda sis binadam kwanza mbwa ndo afuate
Ukatili sana.Oyaaa askuambie mtu zamani home kulikua na mbwa jike ikifika msimu wa kupandana tunampiga cheni usiku hatumuachii sasa kuna siku mbwa wa mtaani huko akasoma ramani kuna kidem hapo ndani akapambana kwenye fensi akaingia jike hana hiyana akampa si vikanasa alafu wasaidizi wa shetani tupo tunaona aloooo nilienda na fimbo nzito nikapiga pale kati paaaaahhh jike alitoa mlio sjawahi sikia dume alipita sehemu ambayo hawezi kupita akiwa timamu maana fensi ya boganvilia imeshona vizuri ila hakuhangaika kutafuta alipoingilia.
Nilimuhurumia baada ya kumcheka sana.
Ulivyoandika umenikumbusha matukio ya kizamani alafu ya kikatili
mbwa wasio na makazi maalum wakajisaidie wapi?Mimi kinachonifanya nisimpende mbwa ni kule kujisaidia saidia hovyo kwenye kona za mitaa.
Namchukulia kama kiumbe mchafu sana.
Ndo nashangaa?mbwa wasio na makazi maalum wakajisaidie wapi?
Saint Anno II anajikuta haelewi..Ndo nashangaa?
Labda kuna VYOO VYA MBWA!
Sema ukweli tabia ya kupiga hao mbwa inanikera sana hana kosa haja kudhuru unampiga wa nini kibaya kingine hii tabia inarithishwa vizazi hadi vizazi utavikuta vitoto vya shule ya msingi vinamponda mbwa utadhani mbwa kala daftari lakeeSijui ni desturi ya huko Tanganyika ama ni nini? Mtu akimuona mbwa lazima amtupie jiwe!
Nafikiri hii pia ni mojawapo ya zile "tamaduni za kitanganyika" ambazo zinapigiwa makelele mpaka wameamua kuunda programu maalumu ya kwenye redio ili KUHUBIRI na KUTANGAZA UTAMADUNI WA KITANGANYIKA.
Na nimesikia hapo mwakani kutakuwa na somo la UTAMADUNI WA KITANGANYIKA huko mashuleni. Hili nalo liingizwe.
Mbwa wengi wamegeuka kuwa mbwa-koko kwa sababu ya kupigwa hovyo, kurushiwa mawe, kufokewa na kunyanyaswa.
Mtu akiona mbwa tu ni kama anapata mtikisiko wa neva, unashangaa anaokota jiwe anambonda nalo! Kwa hakika huu nao ni UTAMADUNI WA KITANGANYIKA. Inashangaza.
Sijawahi kuona watu huko Tanganyika wakiwaheshimu wanyama hususani mbwa! Kama wapo basi ni wachache sana.
Unashtukia tu mtu ameokota kajiwe kake anamrushia mnyama! Akimkosa anaongeza la pili, ni kama JUHUDI fulani hivi!
Kuna haja ya mitaala shuleni kuanza kufundisha watoto tabia ya kuheshimu wanyama! Haya mambo ya UTAMADUNI WA KITANGANYIKA wa KUWABAMIZA WANYAMA hebu tuachane nayo!
Naamini hili nalo wahusika wa Jamiiforums watalichukua na kulisambaza mitandaoni ili kueneza hii elimu ya dharura! Wanyama wanaumizwa sana na hakuna wa kuwasemea!
Huwa naonaga Jamiiforums wanasambaza taarifa zao huko facebook kwa kuwanukuu "WADAU" mambo waliyoyapost humu. Na hili nalo mlichukue na MKALITIZAME.
Asante.
Ni mbaya sana.Sema ukweli tabia ya kupiga hao mbwa inanikera sana hana kosa haja kudhuru unampiga wa nini kibaya kingine hii tabia inarithishwa vizazi hadi vizazi utavikuta vitoto vya shule ya msingi vinamponda mbwa utadhani mbwa kala daftari lakee
Mkuu nikifikiriaga dah namuomba tu Mungu anisamehe maana niliyoyafanya kwa wanyama ni unyama sana tena uliopitiliza.Ukatili sana.
Wewe mwenyewe ukibinywa vikorodani vyako unapiga mayowe kama fisi, sembuse kutandikwa na fimbo!
Usirudie.