Kwanini mchungaji Leoni Kimaro asibadili dini na kuwa muslam au Roman Catholic?

Kwanini mchungaji Leoni Kimaro asibadili dini na kuwa muslam au Roman Catholic?

Hapo vip!!
Ukweli ni kwamba mtu mnafiki ni mbaya kuliko adui uliokwisha kumuweka mbali...mnafiki nanmchawi huwa wanafanana kitabia.

Moja kwa moja niende kwenye mada husika,ni hivi huyu mchungaji Kimaro wa kkt kijito nyama ni bora abadili dini na kuwa muslam au abadili dhehebu na kuwa Roman Catholic kwasababu zifuatazo:-

Kwanza kuna clips moja inasambaa sana mitandoni,akisikika akisema Roman Catholic ni dhehebu sahihi na la kweli kwa wa kristo,akasema haya madhehebu mengine tofauti na Roman Catholic ni madalali wa kuuza vitu..binafsi sijaele vitu gani tunauzwa...maana yake ni kwamba hata hao kkt ambao ndio waliomlea na kumkuza kiroho amewazalilisha kwa kuwaita madalali wa kuuza vitu.

Sasa kama kkt ni madalali anafanya nini kwa madalali kwa nini asiende kule kwenye dini ya kweli?

Cha ajabu na kushangaza baada ya kupewa likizo na kuagizwa kuripo makao makuu ameanza kufanya harakati na wachagga wenzake na wafuata upepo unapovuma kuwachafua viongozi, ni kimaanisha maskofu,ya kwamba wanamuonea na ni dalili yakuondolewa pale.

Sasa kama yeye sio anatetea maslahi anayoyapata pale hizi harakati za nini...si amshukuru Mungu na kwenda kule kwenye dhehebu sahihi..unang'ang'ania pahala ambapo apako sio sahihi kwasababu gani..basi itakuwa ni kwa maslahi fulani fulani ndio tafsiri yake.

Pili namshauri abadili dini nakuwa muslam kwasababu kuna clip amesikika akisema vijana wa kristo sio waaminifu ni wezi..na ndio maana anapenda kufanya kazi na vijana wa kislam kwasababu ni waaminifu...ha!ha!ni jambo la kushangaza sana.

Sasa inakuwaja anashirikiana na ana imani inayofafana na waahizi?si akawafuate waaminifu...cha ajabu wanaompa sadaka ni hao wahizi..waliomstiri mpaka akafika hapo ni hao waahizi ndio walio mfikisha.

Nashauri apangiwe kazi nyingine au afukuzwe kabisa,hili la mahubiri sio, anaroho ya kiburi fulani hivi..atashetani alijiinua mbinguni akafukuzwa.

Inamaana hawa watoto wadogo wakisikiliza haya mahubiri yake ya kuponda wakristo si wataona uslam ndio dini yenye watu waaminifu...?wewe
Ametudhalilisha Sana huyo kiazi , dawa ni kumfuta uaskofu na hakuna kitu atafanya
 
Hiyo ni typing error!!kipimo cha mjinga pia ni mtu anayefocus sana na kuacha maadhui ya jambo fulani kwasababu za typing error..kwenda na utulie ibilisi.
Sabaya anaendeleje mkuu? 😂😂

Ulikuwa ukilia sana kutetea lile jambazi
 
Labda hata shetana anaweza kukaa madhabahuni tusiponkuwa makini..hii nini sasa?
Naona shetani alimpitia,thus alikuwa na jazba.
Atuombe radhi Wakristo,yeye kama ameshindwa kuitumia biblia kuwabadilisha vijana ni yeye na sio wachungaji wengine.
Yeye akatumie Quran labda itamsaidia
 
Tatizo ni ukweli, Kimaro kasema ukweli. Wakristu ni wanafiki kuliko Waislamu. Mf.unajifanya umeoa mke mmoja kulingana na imani yako, kumbe mtaani nyumba ndogo kibao. Swala la kiimani, wao wanaamini katika Mungo mmoja, Allan, Wakristu wanaamini Mungu mmoja ila aliyegawanyika nafsi tatu, hapo imekaaje?

Wewe ni mpumbavu,hujui kwamba kuishi na kimada ni dhambi???ina uhusiano gani na unafiki wa mtu kama sio ukengeufu wake tu??

Kwahiyo waislam kuoa wake wanne ni sababu inawafanya wawe watulivu??una waislam wangapi mtaani kwako wenye wake 2 tu achia mbali watatu au wanne??
Vipi waislam wanaokula nguruwe au utasema sio waislam hao!!!

Wewe na mtume wako na waislam wenzako mnatakiwa mjue Mungu ni omnipresent katika form ya roho yake,alikuja duniani katika umbo la mtu mwana(Yesu),yuko mbinguni kama Mungu mwenyezi,logic simple kama hii mabichwa yanastuck mnawaza uji wa ukwaju tu.
 
Tatizo ni ukweli, Kimaro kasema ukweli. Wakristu ni wanafiki kuliko Waislamu. Mf.unajifanya umeoa mke mmoja kulingana na imani yako, kumbe mtaani nyumba ndogo kibao. Swala la kiimani, wao wanaamini katika Mungo mmoja, Allan, Wakristu wanaamini Mungu mmoja ila aliyegawanyika nafsi tatu, hapo imekaaje?
Tamaa ya mwanaume atosheki hata KWA kuoa wake wanne.
Manara KILA siku anaoa.
Nafsi tatu haimanishi Mungu ni watatu.
Nafsi ni hali utendaji.
 
Vijana wa kikristo mna lugha chafu sana

😂😂

Anyway, Mimi Ni Muislam. Lakini aliyosema Kimaro yana usahihi ndani yake. Amezungumzia Waromani kuhusu ibada na ukusanyaji wa Sadaka. Kuna watu wanaanzisha makanisa ili wapate nufaika na hizo Sadaka za waumini. Kuna wachungaji ninaowafahamu ambao wengine wanajiita maaskofu,manabii, watumishi,wqchungaji,mitume n.k ambao hawana sifa za kufundisha dini au kuendesha ibada. Msingi wao mkubwa ni kipaji cha mdomoni! Wanauza maji na mafuta wanayoita ya baraka!
MUNGU akimuita mtu haitaji kumpeleka shule wapo watumishi wengi wa kweli wa Mungu wakifanya utumishi vizuri zaidi kuliko hata hao waliopita kwenye huo utaratibu.Mungu hana mipaka.
Kama mtu anaponya na maji anatoa pesa yake tatizo lipo wapi
 
Tamaa ya mwanaume atosheki hata KWA kuoa wake wanne.
Manara KILA siku anaoa.
Nafsi tatu haimanishi Mungu ni watatu.
Nafsi ni hali utendaji.
Nakusapot kwa hili!! Tamaa ya wanawake inazidi Zaid unapokuwa na wanawake wengi na kujishughulisha na mambo ya ngono kwa sana Mfano mtu aliyeona na kusex daily Kuna uwezekano mkubwa sana wa kuchepuka kufauta wanawake wengi hata aoe wanne..


Kutulia kama Kijana either una mmoja au zaidi ya mmoja ni kuwa muadilifu tu na kuridhika then unakuwa bussy na ishu za kimaendeleo kama Mungu kashakujalia watoto tulia angali mbele.
 
Hana takwimu bali kashindwa kuhimili mihemko sababu ya maumivu yake binafsi ya kutendwa shambani kwake akayabeba jumla jumla na kuyaweka kama ndio jibu lake kwa mlinganisho wa vijana wote .
 
Hapo vip!!
Ukweli ni kwamba mtu mnafiki ni mbaya kuliko adui uliokwisha kumuweka mbali...mnafiki nanmchawi huwa wanafanana kitabia.

Moja kwa moja niende kwenye mada husika,ni hivi huyu mchungaji Kimaro wa kkt kijito nyama ni bora abadili dini na kuwa muslam au abadili dhehebu na kuwa Roman Catholic kwasababu zifuatazo:-

Kwanza kuna clips moja inasambaa sana mitandoni,akisikika akisema Roman Catholic ni dhehebu sahihi na la kweli kwa wa kristo,akasema haya madhehebu mengine tofauti na Roman Catholic ni madalali wa kuuza vitu..binafsi sijaele vitu gani tunauzwa...maana yake ni kwamba hata hao kkt ambao ndio waliomlea na kumkuza kiroho amewazalilisha kwa kuwaita madalali wa kuuza vitu.

Sasa kama kkt ni madalali anafanya nini kwa madalali kwa nini asiende kule kwenye dini ya kweli?

Cha ajabu na kushangaza baada ya kupewa likizo na kuagizwa kuripo makao makuu ameanza kufanya harakati na wachagga wenzake na wafuata upepo unapovuma kuwachafua viongozi, ni kimaanisha maskofu,ya kwamba wanamuonea na ni dalili yakuondolewa pale.

Sasa kama yeye sio anatetea maslahi anayoyapata pale hizi harakati za nini...si amshukuru Mungu na kwenda kule kwenye dhehebu sahihi..unang'ang'ania pahala ambapo apako sio sahihi kwasababu gani..basi itakuwa ni kwa maslahi fulani fulani ndio tafsiri yake.

Pili namshauri abadili dini nakuwa muslam kwasababu kuna clip amesikika akisema vijana wa kristo sio waaminifu ni wezi..na ndio maana anapenda kufanya kazi na vijana wa kislam kwasababu ni waaminifu...ha!ha!ni jambo la kushangaza sana.

Sasa inakuwaja anashirikiana na ana imani inayofafana na waahizi?si akawafuate waaminifu...cha ajabu wanaompa sadaka ni hao wahizi..waliomstiri mpaka akafika hapo ni hao waahizi ndio walio mfikisha.

Nashauri apangiwe kazi nyingine au afukuzwe kabisa,hili la mahubiri sio, anaroho ya kiburi fulani hivi..atashetani alijiinua mbinguni akafukuzwa.

Inamaana hawa watoto wadogo wakisikiliza haya mahubiri yake ya kuponda wakristo si wataona uslam ndio dini yenye watu waaminifu...?wewe
Naunga mkono hoja, aende kuwa ustaadh naamini atapewa cheo huko na atafutahia uaminifu wa wanachama
 
Nakusapot kwa hili!! Tamaa ya wanawake inazidi Zaid unapokuwa na wanawake wengi na kujishughulisha na mambo ya ngono kwa sana Mfano mtu aliyeona na kusex daily Kuna uwezekano mkubwa sana wa kuchepuka kufauta wanawake wengi hata aoe wanne..


Kutulia kama Kijana either una mmoja au zaidi ya mmoja ni kuwa muadilifu tu na kuridhika then unakuwa bussy na ishu za kimaendeleo kama Mungu kashakujalia watoto tulia angali mbele.

True pia mtu aliyebize na maendeleo hana huo mda wa kuwaza ngono, kuchepuka au kuwaza kuoa wake wengi.
Saa ngapi awaze hayo kwake mda ni kitu chenye thamani na muhimu Sana kuliko ngono.
Masikini ndio uwaza ngono mda wote kama liwazo na sio tajiri ambae kwake ngono sio first priority.
 
Fanya Yako kinachowasha ni Nini, sema wanaume wakifanyie kazi, by the way ni wivu na umasikini, unaokusumbua
 
Hapo vip!!
Ukweli ni kwamba mtu mnafiki ni mbaya kuliko adui uliokwisha kumuweka mbali...mnafiki nanmchawi huwa wanafanana kitabia.

Moja kwa moja niende kwenye mada husika,ni hivi huyu mchungaji Kimaro wa kkt kijito nyama ni bora abadili dini na kuwa muslam au abadili dhehebu na kuwa Roman Catholic kwasababu zifuatazo:-

Kwanza kuna clips moja inasambaa sana mitandoni,akisikika akisema Roman Catholic ni dhehebu sahihi na la kweli kwa wa kristo,akasema haya madhehebu mengine tofauti na Roman Catholic ni madalali wa kuuza vitu..binafsi sijaele vitu gani tunauzwa...maana yake ni kwamba hata hao kkt ambao ndio waliomlea na kumkuza kiroho amewazalilisha kwa kuwaita madalali wa kuuza vitu.

Sasa kama kkt ni madalali anafanya nini kwa madalali kwa nini asiende kule kwenye dini ya kweli?

Cha ajabu na kushangaza baada ya kupewa likizo na kuagizwa kuripo makao makuu ameanza kufanya harakati na wachagga wenzake na wafuata upepo unapovuma kuwachafua viongozi, ni kimaanisha maskofu,ya kwamba wanamuonea na ni dalili yakuondolewa pale.

Sasa kama yeye sio anatetea maslahi anayoyapata pale hizi harakati za nini...si amshukuru Mungu na kwenda kule kwenye dhehebu sahihi..unang'ang'ania pahala ambapo apako sio sahihi kwasababu gani..basi itakuwa ni kwa maslahi fulani fulani ndio tafsiri yake.

Pili namshauri abadili dini nakuwa muslam kwasababu kuna clip amesikika akisema vijana wa kristo sio waaminifu ni wezi..na ndio maana anapenda kufanya kazi na vijana wa kislam kwasababu ni waaminifu...ha!ha!ni jambo la kushangaza sana.

Sasa inakuwaja anashirikiana na ana imani inayofafana na waahizi?si akawafuate waaminifu...cha ajabu wanaompa sadaka ni hao wahizi..waliomstiri mpaka akafika hapo ni hao waahizi ndio walio mfikisha.

Nashauri apangiwe kazi nyingine au afukuzwe kabisa,hili la mahubiri sio, anaroho ya kiburi fulani hivi..atashetani alijiinua mbinguni akafukuzwa.

Inamaana hawa watoto wadogo wakisikiliza haya mahubiri yake ya kuponda wakristo si wataona uslam ndio dini yenye watu waaminifu...?wewe
Ataishia kusifia lakini kwenda huko ni ndoto atawekwa ghalani asisikike tena.. RC hawamaindi kabisa swaga kama zake
 
Hapo vip!!
Ukweli ni kwamba mtu mnafiki ni mbaya kuliko adui uliokwisha kumuweka mbali...mnafiki nanmchawi huwa wanafanana kitabia.

Moja kwa moja niende kwenye mada husika,ni hivi huyu mchungaji Kimaro wa kkt kijito nyama ni bora abadili dini na kuwa muslam au abadili dhehebu na kuwa Roman Catholic kwasababu zifuatazo:-

Kwanza kuna clips moja inasambaa sana mitandoni,akisikika akisema Roman Catholic ni dhehebu sahihi na la kweli kwa wa kristo,akasema haya madhehebu mengine tofauti na Roman Catholic ni madalali wa kuuza vitu..binafsi sijaele vitu gani tunauzwa...maana yake ni kwamba hata hao kkt ambao ndio waliomlea na kumkuza kiroho amewazalilisha kwa kuwaita madalali wa kuuza vitu.

Sasa kama kkt ni madalali anafanya nini kwa madalali kwa nini asiende kule kwenye dini ya kweli?

Cha ajabu na kushangaza baada ya kupewa likizo na kuagizwa kuripo makao makuu ameanza kufanya harakati na wachagga wenzake na wafuata upepo unapovuma kuwachafua viongozi, ni kimaanisha maskofu,ya kwamba wanamuonea na ni dalili yakuondolewa pale.

Sasa kama yeye sio anatetea maslahi anayoyapata pale hizi harakati za nini...si amshukuru Mungu na kwenda kule kwenye dhehebu sahihi..unang'ang'ania pahala ambapo apako sio sahihi kwasababu gani..basi itakuwa ni kwa maslahi fulani fulani ndio tafsiri yake.

Pili namshauri abadili dini nakuwa muslam kwasababu kuna clip amesikika akisema vijana wa kristo sio waaminifu ni wezi..na ndio maana anapenda kufanya kazi na vijana wa kislam kwasababu ni waaminifu...ha!ha!ni jambo la kushangaza sana.

Sasa inakuwaja anashirikiana na ana imani inayofafana na waahizi?si akawafuate waaminifu...cha ajabu wanaompa sadaka ni hao wahizi..waliomstiri mpaka akafika hapo ni hao waahizi ndio walio mfikisha.

Nashauri apangiwe kazi nyingine au afukuzwe kabisa,hili la mahubiri sio, anaroho ya kiburi fulani hivi..atashetani alijiinua mbinguni akafukuzwa.

Inamaana hawa watoto wadogo wakisikiliza haya mahubiri yake ya kuponda wakristo si wataona uslam ndio dini yenye watu waaminifu...?wewe
Ataishia kusifia lakini kwenda huko ni ndoto atawekwa ghalani asisikike tena.. RC hawamaindi kabisa swaga kama zake
 
Awe muislam au mkatoliki? Huko ni kudumbukia kwenye kina kirefu kwenye upotevuni. Afadhali awe mtume na nabii au awe na huduma yake kama mwakasege
 
Sabaya anaendeleje mkuu? 😂😂

Ulikuwa ukilia sana kutetea lile jambazi
kwa hili wachagga mmetumia ukabila wenu mweusi na wakishamba kumanipulate mama tazo..hana uwezo wa kuona beyond the box kama Magu..ila shujaaa anapitia kwenye moto kama dhahabu
 
Kauli ya kumaro nimeona adhar zake jusi nilukwenda kuomba Kaz sehemu jamaa nikamkoza ikabid nipigie simu na kumueleza kuwa Ni mm fln naomba msaada wako niweze kuingia pale kwenye kiwanda ,jamaa akanijibu nyinyi wachaga Ni wezi Sana ikabidi nimuambie kuwa mm siyo mchaga mmzee Ni mrangi. Ndipo akacheka aksema POA tutawsiliana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom