Kwanini mchungaji Leoni Kimaro asibadili dini na kuwa muslam au Roman Catholic?

Kwanini mchungaji Leoni Kimaro asibadili dini na kuwa muslam au Roman Catholic?

Anyway tumsamehe nae Ni binadamu atajirekebisha akimaliza likizo yake

Tukichukizwa Sana na yeye siyo sawa binadamu anakosea ila hamuondoi kuwa mchungaji ,mchangaji kakengekua tu ila ata kah sawa maisha yaendelee

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Viongozi wa dini ya kikristo wale wabobezi kabisa wanajua kuwa dini ya haq mbele ya mwenyezi mungu ni ipi sema wanaficha ukwel huo....na wanajua kwl kwl kimaro karopoka tu.

qur an inasema

الَّذِينَ آتَيْنَاهُمُ الْكِتَابَ يَعْرِفُونَهُ كَمَا يَعْرِفُونَ أَبْنَاءَهُمْ ۖ وَإِنَّ فَرِيقًا مِّنْهُمْ لَيَكْتُمُونَ الْحَقَّ وَهُمْ يَعْلَمُونَ

[ AL - BAQARA - 146 ]
Wale tulio wapa Kitabu(wakiristo na wahayudi)wanayajua haya kama wanavyo wajua watoto wao; na kuna kikundi katika wao huificha haki na hali wanajua.
 
Kauli ya kumaro nimeona adhar zake jusi nilukwenda kuomba Kaz sehemu jamaa nikamkoza ikabid nipigie simu na kumueleza kuwa Ni mm fln naomba msaada wako niweze kuingia pale kwenye kiwanda ,jamaa akanijibu nyinyi wachaga Ni wezi Sana ikabidi nimuambie kuwa mm siyo mchaga mmzee Ni mrangi. Ndipo akacheka aksema POA tutawsiliana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
🤔🤔 pole
 
Kuhusu uaminifu na tabia za udokozi nakubaliana nae asilimia nyingi sana.

Wenzetu waislam wana mapungufu yao Mengi ila hapo kwenye udokozi wameweza. Nenda nchi za arabuni wezi majambazi na wanyang’anyi ni wachache sanaaa tofauti na nchi zetu.
 
Kuhusu uaminifu na tabia za udokozi nakubaliana nae asilimia nyingi sana.

Wenzetu waislam wana mapungufu yao Mengi ila hapo kwenye udokozi wameweza. Nenda nchi za arabuni wezi majambazi na wanyang’anyi ni wachache sanaaa tofauti na nchi zetu.
Ila mtu mwema usimuangalie katika angle moja kama kimaro..inawezekana udokozi haujashamiri huko uarabuni kama sehemu zingine..Je,angle zingine vip..mfano waarabu wanaongoza kufukua njia ya vumbi sana iliyokatazwa na mwenyezi Mungu..Wanaweke huko kwao hawaruhusiwi kusoma mfano Afghanistan..na mambo mengine mengi...kubwa zaidi wamemkana christo..kimaro hamna kitu pale ni hewa
 
Hapo vip!!
Ukweli ni kwamba mtu mnafiki ni mbaya kuliko adui uliokwisha kumuweka mbali...mnafiki nanmchawi huwa wanafanana kitabia.

Moja kwa moja niende kwenye mada husika,ni hivi huyu mchungaji Kimaro wa kkt kijito nyama ni bora abadili dini na kuwa muslam au abadili dhehebu na kuwa Roman Catholic kwasababu zifuatazo:-

Kwanza kuna clips moja inasambaa sana mitandoni,akisikika akisema Roman Catholic ni dhehebu sahihi na la kweli kwa wa kristo,akasema haya madhehebu mengine tofauti na Roman Catholic ni madalali wa kuuza vitu..binafsi sijaele vitu gani tunauzwa...maana yake ni kwamba hata hao kkt ambao ndio waliomlea na kumkuza kiroho amewazalilisha kwa kuwaita madalali wa kuuza vitu.

Sasa kama kkt ni madalali anafanya nini kwa madalali kwa nini asiende kule kwenye dini ya kweli?

Cha ajabu na kushangaza baada ya kupewa likizo na kuagizwa kuripo makao makuu ameanza kufanya harakati na wachagga wenzake na wafuata upepo unapovuma kuwachafua viongozi, ni kimaanisha maskofu,ya kwamba wanamuonea na ni dalili yakuondolewa pale.

Sasa kama yeye sio anatetea maslahi anayoyapata pale hizi harakati za nini...si amshukuru Mungu na kwenda kule kwenye dhehebu sahihi..unang'ang'ania pahala ambapo apako sio sahihi kwasababu gani..basi itakuwa ni kwa maslahi fulani fulani ndio tafsiri yake.

Pili namshauri abadili dini nakuwa muslam kwasababu kuna clip amesikika akisema vijana wa kristo sio waaminifu ni wezi..na ndio maana anapenda kufanya kazi na vijana wa kislam kwasababu ni waaminifu...ha!ha!ni jambo la kushangaza sana.

Sasa inakuwaja anashirikiana, na ana imani inayofafana na wezi?si akawafuate waaminifu...cha ajabu wanaompa sadaka ni hao wahizi..waliomstiri mpaka akafika hapo ni hao waahizi ndio walio mfikisha.

Nashauri apangiwe kazi nyingine au afukuzwe kabisa,hili la mahubiri sio, anaroho ya kiburi fulani hivi..atashetani alijiinua mbinguni akafukuzwa.

Inamaana hawa watoto wadogo wakisikiliza haya mahubiri yake ya kuponda wakristo si wataona uslam ndio dini yenye watu waaminifu...?wewe

Na ana ndugu yake (kama sio kaka ni mdogo ake )ni muislam na ki mdugu baba mmoja mama mmoja
 
Tatizo ni ukweli, Kimaro kasema ukweli. Wakristu ni wanafiki kuliko Waislamu. Mf.unajifanya umeoa mke mmoja kulingana na imani yako, kumbe mtaani nyumba ndogo kibao. Swala la kiimani, wao wanaamini katika Mungo mmoja, Allan, Wakristu wanaamini Mungu mmoja ila aliyegawanyika nafsi tatu, hapo imekaaje?
hakusema wanafiki. Alisema wezi. Usijitoe ufahamu.
 
Kusema wachungaji ni matapeli hali nae akiwa Mchungaji tena anategemea uchungaji Ili kuendesha uchumi wake hapo kapotoka kabisa.
Haijalishi hata kama alichokisema ni ukweli?
 
Tatizo ni ukweli, Kimaro kasema ukweli. Wakristu ni wanafiki kuliko Waislamu. Mf.unajifanya umeoa mke mmoja kulingana na imani yako, kumbe mtaani nyumba ndogo kibao. Swala la kiimani, wao wanaamini katika Mungo mmoja, Allan, Wakristu wanaamini Mungu mmoja ila aliyegawanyika nafsi tatu, hapo imekaaje?
Imekaa hivyo hivyo.
 
Hilo Kanisa mwaka jana walianza mbeya sijui Rwanda wakahamia Isanga migogoro yao leo wapo Kijitonyama safari yao haitaishia hapo wataendelea kuhamisha migogoro kila kwenye fursa....hayo maneno ni sababu tu watu wenye Iman zao hawawezi kusimama na maneno hayo wanapiga mwendo tuu na kuangalia wapi tatizo...
 
Vijana wa kikristo mna lugha chafu sana

😂😂

Anyway, Mimi Ni Muislam. Lakini aliyosema Kimaro yana usahihi ndani yake. Amezungumzia Waromani kuhusu ibada na ukusanyaji wa Sadaka. Kuna watu wanaanzisha makanisa ili wapate nufaika na hizo Sadaka za waumini. Kuna wachungaji ninaowafahamu ambao wengine wanajiita maaskofu,manabii, watumishi,wqchungaji,mitume n.k ambao hawana sifa za kufundisha dini au kuendesha ibada. Msingi wao mkubwa ni kipaji cha mdomoni! Wanauza maji na mafuta wanayoita

Don't cheat yourself brother, your at a wrong way....JESUS Christ is the only way to heaven..case closed.
 
Back
Top Bottom