Kwanini Mchungaji Mtikila aliililia sana Tanganyika ambayo haipo badala ya Tanzania tuliyomo!

Tuliogopa Sana ushawishi wa mwarabu Zanzibar...tukatoa sadaka yetu mengi,Leo ndoano ipo kooni,maana wazanzibar wapo deep kwenye vyombo vya ulinzi na usalama,ulinzi wetu upo pia kwenye bahari ya Zanzibar..so ngumu kuvunja muungano inabidi tuendelee kuishi na hiyo ndoano
 
Naomba kuuliza kile kivuko matengenezo bilioni 7.5 na bei kivuko kipya bilioni 8.
Ulijibu
Zito kapewa pesa na wapemba ya kujenga ofisi "KAJENGA"

Mbowe kapewa pesa na Sabodo ya kujenga ofisi "KATAFUNA"

Afu wanataka 2025 tuwachague wakaifilisi kabisa chi yetu. Yani hata kile kidogo tunachokipata kama nchi kikaishie matumboni mwao.

Hivi wafuasi wa upinzani sijui mmelogwa na mchawi gani. Mbona wizi na ufisadi unaofanyika huko upinzani ni wa kishamba na kijinga afu mnashindwa kuuelewa?
 

Attachments

  • images (13).jpeg
    28.5 KB · Views: 9
  • images (12).jpeg
    28.5 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220912-125326.jpg
    62.8 KB · Views: 12
Mtikila alikuwa mpinzani wa kweli na halisi. Ila tatizo alikosa back up kubwa nyuma yake, matokeo yake akaishia kuonekana chizi na machizi wenye back up nyuma yao wakaishia kuonekana wenye akili.
Mtikila,mrema,Marando ni wamoja,wote vitengo,mtikila alikua busy Sana enzi akina Mandela wapo hapa
 
Tanzania ni muungano kati ya Tanganyika na Zimbabwe(sic) Zanzibar, bila Tanganyika hakuna Tanzania, hivyo ipo na itakuwepo daima.
Tanganyika Kama land mass ipo,pia historically..lakini Tanganyika Kama sovereign county haipo,ilishakufa Kama Lazaro,mpaka atokee masihi wa kuifufua
 
Mtikila,mrema,Marando ni wamoja,wote vitengo,mtikila alikua busy Sana enzi akina Mandela wapo hapa
Big No mkuu. I mean umekosea hapo kwa Mtikila muweke Mbowe.
Yani ni Mrema, Marando, Maalim Seif, Mbowe na wengineo ambao wanafahamika hadi sasa.

Mtikila hawezi kuwa kitengo afu afe kishamba vile.
 
Duh!fukunyu bin fukunyu mimi napita tu
 
Kama nakuelewa vile upo sawa kabisa
 
Ndio maana Tanganyika limekuwa shamba la bibi, no body cares! Ingekuwepo Tanganyika watu wangekuwa makini kuijenga nchi yao
 
Mtikila alikuwa mpinzani wa kweli na halisi. Ila tatizo alikosa back up kubwa nyuma yake, matokeo yake akaishia kuonekana chizi na machizi wenye back up kubwa nyuma yao wakaishia kuonekana wenye akili.
 
Mtikila alikuwa mpinzani wa kweli na halisi. Ila tatizo alikosa back up kubwa nyuma yake, matokeo yake akaishia kuonekana chizi na machizi wenye back up kubwa nyuma yao wakaishia kuonekana wenye akili.
 
Bado yupo huyu sabodo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…