Kwanini Mchungaji Mtikila aliililia sana Tanganyika ambayo haipo badala ya Tanzania tuliyomo!

Kwanini Mchungaji Mtikila aliililia sana Tanganyika ambayo haipo badala ya Tanzania tuliyomo!

Kile kifo chake ndiyo kimethibitisha bila shaka alikua ulimwengu huo,yaani ajali ya gari akatoka kwenye Siti yake,fumua kioo Cha mbele,anguka mbali huko lakini USO Hauna mchubuko Wala tone la damu!!!?..mtikila aliwakaribisha viongozi wa fdlr nyumbani kwake,raia wa kawaida anaweza fanya Hilo,kwa misingi ipi!?
Kwa hao fdrl aliyakanyaga, aliingilia ugomvi usiomhusu bila maslah yoyote
 
Back
Top Bottom