Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,396
- 4,080
Watanzania tuache unafiki. Wakati Musiba anamtukana membe watu wote tulisikia na hao maaskofu walisikia.
Wananchi tulinyamaza hakuna aliyesimama kumkaripia au kumkataza musiba asimtukane membe na hata hao maaskofu walikaa kimya.
Mzee Membe na familia yake na marafiki zako walikubali aibu ya kutukanwa na musiba na kuamua kumshtaki na kushinda kesi. Mzee Membe bado alionesha uungwana wa kumtaka Musiba aombe msamaha lakini alikataa na wala hao maaskofu hawakutaka kumsihi Musiba akamwuombe msamaha mzee Membe bali walikaa kimya.
Najiuliza kwanini leo hao maaskofu ndio wanajitokeza kumtaka Membe amsamehe Musiba?
Kwanini kipindi Musiba anamtukana Membe walikaa kimya?
Kwanini Membe alipotaka musiba amwombe msamaha hawakumtaka Musiba aende?
Kwanini leo maji yamemfika Musiba shingoni ndio hao maaskofu wajitokeze?
Maaskofu acheni unafiki, Membe hamkumtendea haki na Musiba mwacheni apambane kama membe alivyopambana.
Unafiki ni dhambi.
Wananchi tulinyamaza hakuna aliyesimama kumkaripia au kumkataza musiba asimtukane membe na hata hao maaskofu walikaa kimya.
Mzee Membe na familia yake na marafiki zako walikubali aibu ya kutukanwa na musiba na kuamua kumshtaki na kushinda kesi. Mzee Membe bado alionesha uungwana wa kumtaka Musiba aombe msamaha lakini alikataa na wala hao maaskofu hawakutaka kumsihi Musiba akamwuombe msamaha mzee Membe bali walikaa kimya.
Najiuliza kwanini leo hao maaskofu ndio wanajitokeza kumtaka Membe amsamehe Musiba?
Kwanini kipindi Musiba anamtukana Membe walikaa kimya?
Kwanini Membe alipotaka musiba amwombe msamaha hawakumtaka Musiba aende?
Kwanini leo maji yamemfika Musiba shingoni ndio hao maaskofu wajitokeze?
Maaskofu acheni unafiki, Membe hamkumtendea haki na Musiba mwacheni apambane kama membe alivyopambana.
Unafiki ni dhambi.