Kwanini mgeni akiulizwa "unaondoka lini" inakuwa nongwa?

Kwanini mgeni akiulizwa "unaondoka lini" inakuwa nongwa?

Waafrika tunapenda sana kitonga. Kuna kijana mmoja fundi kujenga hapo Dar-Chamanzi kaoa Mnyamwezi, wamepanga vyumba viwili hali ngumu ila mama mkwe na kaka wawili wa dada/mke wapo hapo mwaka wa pili unaisha. Sijui wanalalaje.

Kijana alijaribu kumuuliza mke wake mama na kaka zake wanaondoka lini palikuwa hapatoshi. Walimchangia wote wanne kuwa ni mbinafsi na mchoyo.
Mi watu wa hivi nafukuza mke yaani mnanikoromea kaka na mama kisa binti yenu na huyo binti fala.
Kijana ana hali ngumu, mi ninawaachia nyumba natokomea pasipo julikana.
 
Nyumbani kwako bila shaka umepazindika hutaki mtu afie kwako.
Nyumba zenu mkiuza utasikia hapakuwa pana kaliwa na mtu ndiyo maana maruweruwe
It's all about comforability ya watoto wangu. Nilichukia uigazi tangu utoto wangu.
Tulizaliwa 6 but ulikua ukija kwetu siku kuna watoto wachache ni 13 thus huduma nyingi tulikua hatupati ipaswavyo. Watu wazima ndo usisema.
 
It's all about comforability ya watoto wangu. Nilichukia uigazi tangu utoto wangu.
Tulizaliwa 6 but ulikua ukija kwetu siku kuna watoto wachache ni 13 thus huduma nyingi tulikua hatupati ipaswavyo. Watu wazima ndo usisema.
Sema nyumba ikiwa lundo la watu ni ghasia sana
 
Maisha magumu anataka kuhamia kwako.
 
Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za Kiafrika.

Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.

Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa 😂😂😂😂😂

Kweli kabisa mzehe,,,,hili liko wazi mbona, zaidi kwa waafrika wengi wana haka katabia acha kabisa,, tena huko dar mhhhhhhhhhhhh!!!!!!

2kienda kwa white people hususani waarabu ni watu wakarimu na wactaarabu mno cjapata kuona, kwanza awezi kukuuriza ilo swali la kinyambafu. Ukija kwenye menu/chakula utawekewa cha maana babaaa kilichoenda shule. Waarabu wako njema sana, tena wale waarabu pure nywele laini zinapepea acha kabisa babaaa. Wamejaariwa sana.
 
Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za Kiafrika.

Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.

Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenzako huwa hatuwaulizi bali tunamfamyia vitimbi mpaka anaomba po mwenyewe.
 
Mgeni wa aina gani!?? Kutoka upande upi wa familia yako???
 
Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za Kiafrika.

Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.

Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kamatia hapohapo, mgenia kuhamia ugenini ni ufala[emoji28]
 
Maisha Sasa hivi yamekuwa magumu Sana ,mtu analisha familia yake kwa 5000-10,000 kwa siku halafu we mgeni ukikaa mezani unapasua hotpot nusu kidogo inaleta utata
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Una life class A [emoji28][emoji28][emoji28] wakijua una vyumba vya kuwalaza kuanzia bibi, babu, shangazi, wakwe na wengine wengi hawatakaa wahame kwako. Yaani huruma nayo inatesa sana.
We utasikia nyumba yote hii yako na huko pia. Nani mwenye life class A anataka usumbufu hapa mjini [emoji855][emoji855][emoji855]
Una uwezo wa kusaidia, saidia tu.. Unachozungumza kina ukweli fulani.
 
Kuna mtoto wa shemeji kaletwa atakaa hadi amalize field
 
Mimi nikienda kwa ndugu yangu wa tumbo moja aniulize hili swali hata sitishiki maana mara nyingi lengo huwa ni kunishawishi nikae zaidi ila kwa mtu nje ya hapo mmmh
 
Back
Top Bottom