Rosicky
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 1,202
- 2,045
Mbona ukienda kijijini uwe na shida usiwe na hawakuuliza wala kukuwazia utakaa siku ngapi??hiyo let say ni sababu tosha,na inajulikana mazingira yaliyomuweka ndugu na unajipanga namna ya kumsadia. Na unajua shida ikiisha ataondoka