OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #21
kwa mimi sisubiri niulizwe,nitasema kabla hata sijafikaMfano ww unaenda kusalimia sehem umefika unaulizwa lini unaondoka si utajisikia vibaya sana.Haya tuwaachie wazungu sisi tusiige kila kitu mkuu.