Mi watu wa hivi nafukuza mke yaani mnanikoromea kaka na mama kisa binti yenu na huyo binti fala.Waafrika tunapenda sana kitonga. Kuna kijana mmoja fundi kujenga hapo Dar-Chamanzi kaoa Mnyamwezi, wamepanga vyumba viwili hali ngumu ila mama mkwe na kaka wawili wa dada/mke wapo hapo mwaka wa pili unaisha. Sijui wanalalaje.
Kijana alijaribu kumuuliza mke wake mama na kaka zake wanaondoka lini palikuwa hapatoshi. Walimchangia wote wanne kuwa ni mbinafsi na mchoyo.
It's all about comforability ya watoto wangu. Nilichukia uigazi tangu utoto wangu.Nyumbani kwako bila shaka umepazindika hutaki mtu afie kwako.
Nyumba zenu mkiuza utasikia hapakuwa pana kaliwa na mtu ndiyo maana maruweruwe
Sema nyumba ikiwa lundo la watu ni ghasia sanaIt's all about comforability ya watoto wangu. Nilichukia uigazi tangu utoto wangu.
Tulizaliwa 6 but ulikua ukija kwetu siku kuna watoto wachache ni 13 thus huduma nyingi tulikua hatupati ipaswavyo. Watu wazima ndo usisema.
Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za Kiafrika.
Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.
Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa 😂😂😂😂😂
Wenzako huwa hatuwaulizi bali tunamfamyia vitimbi mpaka anaomba po mwenyewe.Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za Kiafrika.
Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.
Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha haMi watu wa hivi nafukuza mke yaani mnanikoromea kaka na mama kisa binti yenu na huyo binti fala.
Kijana ana hali ngumu, mi ninawaachia nyumba natokomea pasipo julikana.
Au nitawakomoa mkuuHa ha ha
Unakuta wameshakupa madawaAu nitawakomoa mkuu
Shida huanzia hapo.Unakuta wameshakupa madawa
Kamatia hapohapo, mgenia kuhamia ugenini ni ufala[emoji28]Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za Kiafrika.
Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.
Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mgeni asikufanye mtumwa kwakokwa nini asiulizwe? sababu ni nini,labda mwenyeji anataka kuandaa nauli asije kushtukizwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maisha Sasa hivi yamekuwa magumu Sana ,mtu analisha familia yake kwa 5000-10,000 kwa siku halafu we mgeni ukikaa mezani unapasua hotpot nusu kidogo inaleta utata
Una uwezo wa kusaidia, saidia tu.. Unachozungumza kina ukweli fulani.Una life class A [emoji28][emoji28][emoji28] wakijua una vyumba vya kuwalaza kuanzia bibi, babu, shangazi, wakwe na wengine wengi hawatakaa wahame kwako. Yaani huruma nayo inatesa sana.
We utasikia nyumba yote hii yako na huko pia. Nani mwenye life class A anataka usumbufu hapa mjini [emoji855][emoji855][emoji855]
Couldn't agree moreKwa sababu tupo negative sana
Hahaha kizazi cha serpent tenaIkiwa unapata ujasiri wa kuuliza mgeni unaondoka lini oooh my friend wewe miongoni mwa kizazi Che serpent.
Unaanza Anza aje kwanza? 😂