Kwanini miaka chini ya 2000 matikiti maji yalikua adimu?

Asante kwa jibu murua...

Kwa hiyo sasa tunakula tikiti chotara la maabara na asili, kama ilivyo btoiler chicken, ng'ombe wa kisasa n.k..
Hizi afya zetu zipo matatani...
 
Malapulapu umenikumbusha mbwa wangu
 
Hata maembe ya asili hakuna tenazamani msimu wa maembe ukienda sokoni utasikia harufu ya maembe ila sasa hayana harufu wala ladha yyaan maji tupu
 
Hata maembe ya asili hakuna tenazamani msimu wa maembe ukienda sokoni utasikia harufu ya maembe ila sasa hayana harufu wala ladha yyaan maji tupu
Hakuna tunda wala zao la nafaka ambalo halijaboreshwa yote ni matokeo ya maboresho hayo mbegu za asili za zamani kama zipo ni chache sana na matokeo yake ndiyo haya tunayaona kila leo afya kuzorota, magonjwa mengi nk maana vile tulavyo ni sumu za kutosha ingawa zinaumiza taratibu
 
Mpaka parachichi???
 
Hakukuwa na wazalishaji wengi. Tunda hili halikupewa umuhimu mkubwa. Nakumbuka mimi nikiwa mdogo, nyumbani tulikuwa tunakula matikiti mara moja ama mbili tu kwa mwaka. Ilikuwa bidhaa adimu sana
 


Mkuu "Tikitimaji" ni Tikiti la aina gani?
 
Mkuu hili nalo litapita na malapulapu kua ni mchesho kwa kweli yajayo yanafurahisha...kaa tayari siti za mbele
 
Ni katika suala la kutafuta fursa na uhamasishaji;mfano nyama ya sungura ni nzuri,nyama na mayai ya kware yanaongeza CD4,asali inaongeza nguvu za kiume n.k hiyo yote ni kutafuta fursa na mwisho wa siku wanawekeza huko na uzalishaji unaongezeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…