Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Sasa utayaonea wapiMkoa: Dar es salaam
Wilaya: Kinondoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa utayaonea wapiMkoa: Dar es salaam
Wilaya: Kinondoni.
Dar inalimwa pesa hamna mashamba na kuna kila aina ya chakula...Sasa utayaonea wapi
Ni tikiti lenye maji...Mkuu "Tikitimaji" ni Tikiti la aina gani?
Zamani kilikua chakula cha wanyamaHivi hakuna watu wanaolima matikiti kwa ajili ya kulishia ng'ombe zao.?
Ni tikiti lenye maji...
Teknolojia imeongezeka sana siku hizi maana watu wanalima mwaka mzima sio kwa kusubiri majira kama zamani pia soko limekuwa kubwa kwa wingi wa watu hivyo chakula kilichokuwa kinawatosha watu mwaka 2000 mwaka 2018 hakiwezi kuwatosha
Ndio mkuu,kuna mengine yana mawe ndani mkuu.Alaaa!!, kumbe kuna tikiti lenye maji na lisilo na maji !??
Ndio mkuu,kuna mengine yana mawe ndani mkuu.
Ndio nikuulize wewe uliyeuliza tikiti maji ni tikiti la aina gani? We unajua matikiti aina ngapi?Alaaa!!, kumbe kuna tikiti lenye maji na lisilo na maji !??
Ndio nikuulize wewe uliyeuliza tikiti maji ni tikiti la aina gani? We unajua matikiti aina ngapi?
Huku kwetu tunaita tikitimajiMimi najua kuna tunda linaloitwa TIKITI, ila sijui kama kuna tunda linaloitwa TIKITI MAJI.
Mfano kuna chakula kinaitwa KIAZI KITAMU na kingine KIAZI MVIRINGO. vyote hivyo vinaitwa VIAZI, lakini tofauti iliyopo ni kimoja ni kitamu na kingine si kitamu bali umbo lake ni la mviringo.
kwa mantiki hiyo unaposema kuna TIKITI 'MAJI", maana yake kuna aina zingine za matikiti yasiyokuwa na maji !!??😁😁, au mfano mtu aseme kuna TANGO MAJI je hapo utamuelewa vipi??,