Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani inao wanajeshi 3000 nchini Saudi Arabia kulinda miji inayoitwa mitakatifu. Nilidhani Allah ndio alipaswa kuilinda miji hiyo dhidi ya Iran na Yemen
View attachment 2639739
Mkuu Marekani ni mshirika mkubwa Allied wa Saudi Arabia, Bahrain, Kuwait, Qatar gulf state. Kote huko ana majeshi.Marekani inao wanajeshi 3000 nchini Saudi Arabia kulinda miji inayoitwa mitakatifu. Nilidhani Allah ndio alipaswa kuilinda miji hiyo dhidi ya Iran na Yemen
View attachment 2639739
Hakuna cha ulinzi hapo zaidi ya kijimwambafai tu basi. Vita ya Ukraine imishamvua pichu kuwa Patriot hakuna kitu zaisi ya midoli tu.Marekani inao wanajeshi 3000 nchini Saudi Arabia kulinda miji inayoitwa mitakatifu. Nilidhani Allah ndio alipaswa kuilinda miji hiyo dhidi ya Iran na Yemen
View attachment 2639739
Hayo unayoongea Saudi Arabia hawayajui. Kwenye Gulf war Saudi Arabia wenyewe waliita Marekani ije kuilinda dhidi ya Saddam Hussein na Marekani ikamtimua Kuwait alikokuwa ashateka nchi.Hakuna cha ulinzi hapo zaidi ya kijimwambafai tu basi. Vita ya Ukraine imishamvua pichu kuwa Patriot hakuna kitu zaisi ya midoli tu.
Yemen Saudia na iran zimeisha patana na sasahivk anatafutiwa sababu ya kutimuliwa hapo. USA alikuwa anapika sumu dhidi ya majirani ilo awe na uhakika wa kukaa hapo sasa kaishashitukiwa
Wapi kumeandikwa kwenye hicho ulicholeta kwamba wanalinda Mecca? Mecca pia hakuruhusiwi watu wa sio waisilamu kwenda.Marekani inao wanajeshi 3000 nchini Saudi Arabia kulinda miji inayoitwa mitakatifu. Nilidhani Allah ndio alipaswa kuilinda miji hiyo dhidi ya Iran na Yemen
View attachment 2639739
Urafiki wa Saudia na Iran ni sawa na urafiki wa simba na ng'ombe. Sasa usiniulize simba ni nani na ng'ombe ni nani. Marekani atawamiliki sana ninyi ndg zetu na adui wa muislam ni muislam.Hakuna cha ulinzi hapo zaidi ya kijimwambafai tu basi. Vita ya Ukraine imishamvua pichu kuwa Patriot hakuna kitu zaisi ya midoli tu.
Yemen Saudia na iran zimeisha patana na sasahivk anatafutiwa sababu ya kutimuliwa hapo. USA alikuwa anapika sumu dhidi ya majirani ilo awe na uhakika wa kukaa hapo sasa kaishashitukiwa
Alikuwa anawagombanisha saudia na iran hili apate tenda ya kuuza silaha na kujifanya anaweka ulinzi sasa hv nchi za saudia na iran zimepatana anahangaika tu.Marekani inao wanajeshi 3000 nchini Saudi Arabia kulinda miji inayoitwa mitakatifu. Nilidhani Allah ndio alipaswa kuilinda miji hiyo dhidi ya Iran na Yemen
View attachment 2639739
Mara ngapi Saudia anapatanishwa na warabu au na waajemi lakini yy anakuwa wa kwanza kuwageuka. Nasema ivi Saudia ni chawa mkubwa wa US pale Asia akisaidiana na Israel Japan South Korea Kuwait TurkeyAlikuwa anawagombanisha saudia na iran hili apate tenda ya kuuza silaha na kujifanya anaweka ulinzi sasa hv nchi za saudia na iran zimepatana anahangaika tu.
FaizaFoxy yani Allah anashindwa kuilinda miji jake jamani,,,, halafu na nyie wala urojo ndo mnataka kututawala wakati hata kujilinda hamuweziMarekani inao wanajeshi 3000 nchini Saudi Arabia kulinda miji inayoitwa mitakatifu. Nilidhani Allah ndio alipaswa kuilinda miji hiyo dhidi ya Iran na Yemen
View attachment 2639739
Kitu ambacho kajaaliwa mwanaadam ni uwezo wa kufikiri na kuamuwa. Hata malaika hawajapewa uwezo huo.Marekani inao wanajeshi 3000 nchini Saudi Arabia kulinda miji inayoitwa mitakatifu. Nilidhani Allah ndio alipaswa kuilinda miji hiyo dhidi ya Iran na Yemen
View attachment 2639739
Tofauti ya mwarabu na mtu mweusi ni uvaaji tu😁😁😁