Kwanini miji ya Mecca na Medina inalindwa na Marekani kufuatia vitisho vya Yemen na Iran?

Kwanini miji ya Mecca na Medina inalindwa na Marekani kufuatia vitisho vya Yemen na Iran?

Japo hukuwaona hata hivyo umesema vizuri vizazi vilivyopita, tena huko uarabuni, sasa wewe hapo mpaka leo unang'ang'ania kuyavaa hayo mavitu umfanane huyo mzee aliyekua anagegeda katoto.
Hiyo picha ni ya Yesu, nenda kwa Wayahudi watakuonesha same thing, nenda kwa waarabu watakuonesha same thing.

Na uisilamu unafundisha uvae mavazi mazuri ndio maana tuna diversity kubwa tu.

Ukienda pakistan utakuta kurta/panjabi nzuri tu
images (30).jpg


Ukienda west Africa wana mavazi yao
images (31).jpg


Ukienda Indonesia wana Mavazi yao
images (32).jpg

Ukienda Ulaya kama Bosnia wana Mavazi yao
images (33).jpg

Hivyo sio lazima uvae kanzu, vazi lolote ambalo ni la kujistiri linafaa.

Na mbona Mapadri, makardinali na papa wanavaa kanzu hadi 2023 na huoni kama wanang'ang'ania wao?
 
Hiyo picha ni ya Yesu, nenda kwa Wayahudi watakuonesha same thing, nenda kwa waarabu watakuonesha same thing.

Na uisilamu unafundisha uvae mavazi mazuri ndio maana tuna diversity kubwa tu.

Ukienda pakistan utakuta kurta/panjabi nzuri tu
View attachment 2643034

Ukienda west Africa wana mavazi yao
View attachment 2643035

Ukienda Indonesia wana Mavazi yao
View attachment 2643037
Ukienda Ulaya kama Bosnia wana Mavazi yao
View attachment 2643038
Hivyo sio lazima uvae kanzu, vazi lolote ambalo ni la kujistiri linafaa.

Na mbona Mapadri, makardinali na papa wanavaa kanzu hadi 2023 na huoni kama wanang'ang'ania wao?

Picha ya Yesu ulimuona? Hata huyo mohammed mnayemuabu ulimuona? Hayo yote mnayasoma, hata jinsi mohammed alikua ananyonya kavulana mdomo tumesoma tu, alivyokua anagegeda katoto tumesoma tu, na hamna sehemu nimeona picha yake.
Hata hivyo kung'ang'ania kuvaa mikanzu ili ufanane naye ni ujuha...
 
Hakuna cha ulinzi hapo zaidi ya kijimwambafai tu basi. Vita ya Ukraine imishamvua pichu kuwa Patriot hakuna kitu zaisi ya midoli tu.

Yemen Saudia na iran zimeisha patana na sasahivk anatafutiwa sababu ya kutimuliwa hapo. USA alikuwa anapika sumu dhidi ya majirani ilo awe na uhakika wa kukaa hapo sasa kaishashitukiwa
Waarabu kupatana ni ngumu sn, ni upepo tu umetulia kwa muda lkn lazima uvume tena na nyeti za kuku zionekane.

Si umeskia Taleban ameaanza kukiamsha na Iran?

Yaani ni mwendo wa kata mti Panda mti.
 
Waarabu kupatana ni ngumu sn, ni upepo tu umetulia kwa muda lkn lazima uvume tena na nyeti za kuku zionekane.

Si umeskia Taleban ameaanza kukiamsha na Iran?

Yaani ni mwendo wa kata mti Panda mti.
Sema hivi shetani mkuu marekani hatakubali kuona waarabu wanapatana
 
Picha ya Yesu ulimuona? Hata huyo mohammed mnayemuabu ulimuona? Hayo yote mnayasoma, hata jinsi mohammed alikua ananyonya kavulana mdomo tumesoma tu, alivyokua anagegeda katoto tumesoma tu, na hamna sehemu nimeona picha yake.
Hata hivyo kung'ang'ania kuvaa mikanzu ili ufanane naye ni ujuha...
Bro, hizo ni picha za kitaalam ku portray kitu kilichotokea zamani, ni kama police wanavyochora picha ya mtu kutokana na maelezo ya Mashahidi wa Kesi, hio picha imechorwa kutokana na Maandiko ya Biblia.

-yesu alivaa makubazi
He walked in sandals, as implied in multiple Biblical passages (see Matthew 3:11; Mark 1:7, 6:9; John 1:27), and we now know what ancient Judaean sandals were like as they have been preserved in dry caves by the Dead Sea.

Biblia ilisema alivaa sandals na kuna Ushahidi wa sandals ambazo zipo toka kipindi cha Yesu anaishi zilikua vipi.

-Alivaa Kanzu Fupi
He wore a tunic (chitōn), which for men normally finished slightly below the knees, not at the ankles. Among men, only the very rich wore long tunics. Indeed, Jesus specifically identifies men who dress in long tunics (“stolai”, Mark 12:38) as wrongly receiving honour from people who are impressed by their fine attire, when in fact they unjustly devour widows’ houses.

-Alivaa Kanzu ambayo ni kitambaa kimoja
Jesus’s tunic was also made of one piece of cloth only (John 19:23-24). That’s strange, because mostly tunics were made of two pieces sewn at the shoulders and sides. One-piece tunics in first-century Judaea were normally thin undergarments or children’s wear. We shouldn’t think of contemporary underwear, but wearing a one-piece on its own was probably not good form. It was extremely basic.

Soma zaidi hapa

Ndio maana watu wanawadharau humu mnapoanza kuponda makubadhi na Kanzu fupi, sababu vyote hivi kafanya Yesu na ndio yalikua Maisha yake, ni Vazi la Mitume hivyo mtu wa Dini kuponda mitume inaonesha jinsi usivyo na akili.
 
Arabian American Company.


Siyo tu wana hisa, waliianzisha hiyo kampuni. Kama US wameachia hisa zao Aramco, elewa ni siasa tu za funika kombe mwanaharamu apite, unafikiri Wamerekani wajinga kulinda maslahi yao? Au umeisahau "Arab spring".
Wasaudi hawathubutu kuwanyuma hisa na Mafuta Wamerskani, unafikiri hawajaona yaliyowapa Saddam na Ghaddafi kwa kubania mafuta na kuvunja mikataba inayohusu mafuta na US?
Soma japo kiduchu: The U.S. and Saudi Arabia Since the 1930s - Foreign Policy Research Institute

Mfano mzuri ni haoa Tanzania tulipojidai hatuwataki mabepari wachimbe dhahabu, tukapigwa mkwara tukakubali "Ficha pombe* Mwanaharamu apite".

Soma:

View attachment 2640847
Uko vizuri sana mkuu,Wengine wanaendeshwa na mihemko ya kiimani,wanaukataa uhalisia,

Hizi Dini zetu zote ziko kimkakati zaidi,Unachotakiwa kama mwanadamu ni ku Muamini Mwenyezi MUNGU,Nje ya hapo unakuwa kama ujinga hivi,

Si Vatican wala mecca au Jerusalem kuliko na uhalisia Asilimia 100 kutokana na wenye maslahi binafsi kuingilia maeneo hayo na kutumia mianya iliyopo kuhalalisha wanachokihitaji,

Hatutakiwi kuwa na upofu kupindukia lucha ya Iman zetu
 
Bro, hizo ni picha za kitaalam ku portray kitu kilichotokea zamani, ni kama police wanavyochora picha ya mtu kutokana na maelezo ya Mashahidi wa Kesi, hio picha imechorwa kutokana na Maandiko ya Biblia.

-yesu alivaa makubazi
He walked in sandals, as implied in multiple Biblical passages (see Matthew 3:11; Mark 1:7, 6:9; John 1:27), and we now know what ancient Judaean sandals were like as they have been preserved in dry caves by the Dead Sea.

Biblia ilisema alivaa sandals na kuna Ushahidi wa sandals ambazo zipo toka kipindi cha Yesu anaishi zilikua vipi.

-Alivaa Kanzu Fupi
He wore a tunic (chitōn), which for men normally finished slightly below the knees, not at the ankles. Among men, only the very rich wore long tunics. Indeed, Jesus specifically identifies men who dress in long tunics (“stolai”, Mark 12:38) as wrongly receiving honour from people who are impressed by their fine attire, when in fact they unjustly devour widows’ houses.

-Alivaa Kanzu ambayo ni kitambaa kimoja
Jesus’s tunic was also made of one piece of cloth only (John 19:23-24). That’s strange, because mostly tunics were made of two pieces sewn at the shoulders and sides. One-piece tunics in first-century Judaea were normally thin undergarments or children’s wear. We shouldn’t think of contemporary underwear, but wearing a one-piece on its own was probably not good form. It was extremely basic.

Soma zaidi hapa

Ndio maana watu wanawadharau humu mnapoanza kuponda makubadhi na Kanzu fupi, sababu vyote hivi kafanya Yesu na ndio yalikua Maisha yake, ni Vazi la Mitume hivyo mtu wa Dini kuponda mitume inaonesha jinsi usivyo na akili.

Picha za kitaalam kivipi hehehe yaani mtu ameandikwa na hamna sehemu imesema alifanana vipi, mimi mwenyewe nimesoma Biblia mpaka mwisho hamna sehemu imesema alikua mrefu, mfupi au alifanana vipi, na nategemea hata hiyo quran haijatoa maelezo ya huyo mohammed alifanana vipi sasa wewe mswahili kwenye karne ya leo umejitwika likanzu eti ufanane na mohammed, kwanza makanzu yenyewe meupe na mlivyo wazembe wa kufua, michafu balaa.
 
Picha za kitaalam kivipi hehehe yaani mtu ameandikwa na hamna sehemu imesema alifanana vipi, mimi mwenyewe nimesoma Biblia mpaka mwisho hamna sehemu imesema alikua mrefu, mfupi au alifanana vipi, na nategemea hata hiyo quran haijatoa maelezo ya huyo mohammed alifanana vipi sasa wewe mswahili kwenye karne ya leo umejitwika likanzu eti ufanane na mohammed, kwanza makanzu yenyewe meupe na mlivyo wazembe wa kufua, michafu balaa.
We jamaa kilaza kweli, hivi tunaongelea urefu na ufupi hapa? Tunaongelea sura ya yesu hapa ama mfanano wa Sura yoyote?
 
We jamaa kilaza kweli, hivi tunaongelea urefu na ufupi hapa? Tunaongelea sura ya yesu hapa ama mfanano wa Sura yoyote?

Mbona unakua tahira, urefu au ufupi au unene au sura au chochote havipo kwenye hivyo vitabu, hivyo kujifanya unawachora ni ujinga.
Hiyo mikanzu mnavaa huko mfanane na hilo lizee liarabu lililokua linagegeda watoto na kunyonya wavulana midomo ni ujuha sana, na muwe mnayafua, maana kanzu nyeupe halafu mzembe kwenye usafi linatia kichefuchefu.
 
Mbona unakua tahira, urefu au ufupi au unene au sura au chochote havipo kwenye hivyo vitabu, hivyo kujifanya unawachora ni ujinga.
Hiyo mikanzu mnavaa huko mfanane na hilo lizee liarabu lililokua linagegeda watoto na kunyonya wavulana midomo ni ujuha sana, na muwe mnayafua, maana kanzu nyeupe halafu mzembe kwenye usafi linatia kichefuchefu.
Hizo picha hazijachorwa kuonesha sura za watu bali mavazi yao, mkuu una safari ndefu sana, ngoja nimwachie Faizafoxy na wengine muendelee kuchambana maana logic ndogo kwako ni Shida.
 
Hizo picha hazijachorwa kuonesha sura za watu bali mavazi yao, mkuu una safari ndefu sana, ngoja nimwachie Faizafoxy na wengine muendelee kuchambana maana logic ndogo kwako ni Shida.

Kama hiyo michoro ndio husababisha mvae hiyo mikanzu basi huo ni ujuha uliopitiliza, hehehe bado nacheka nikikumbuka ule uzi mwingine mliagizwa eti msiwe mnatizama uchi wa mwanamke wakati mnagegeda, yaani.....
 
Back
Top Bottom