Kwanini miji ya Mecca na Medina inalindwa na Marekani kufuatia vitisho vya Yemen na Iran?

Kwanini miji ya Mecca na Medina inalindwa na Marekani kufuatia vitisho vya Yemen na Iran?

Wenyewe wanatuita mbwa

screenshot_20220521-114037_gallery-jpg.2240761
Hiyo ni picha hata mimi naweza kuweka picha ya Ruto hapo ikiwa na hayo , halafu ikiwa kweli hana mamlaka yeyote katika uislamu na kaongea bila kuweka maandiko bali kwa matamanio yake ya nafsi .
 
Takbiiiiiiiir. Sasa kumbe mna jambo la muhimu hivi na mnakaa nalo kimya....jamani tujitokeze siye waumini wa mwenyaaaazi tulithibitishe hilo
 
  • Thanks
Reactions: bCg
Wale wanalinda Maslahi yao nyumba ya Mungu haina ugomvi na mtu

Wametia maslahi yao kwenye ardhi ya miungu yenu, mzungu ni balaa isingekua kwa yeye hiyo miungu yenu ingekua maskini sana.
 
Hiyo ni picha hata mimi naweza kuweka picha ya Ruto hapo ikiwa na hayo , halafu ikiwa kweli hana mamlaka yeyote katika uislamu na kaongea bila kuweka maandiko bali kwa matamanio yake ya nafsi .

Tumeshuhudia matukio mengi sana ya hao miungu yenu waarabu wanavyotesa akina dada wa kazi hata waislamu, yaani sijui huwa mnayaabudu ya nini yalivyo makatili, huwa yanaona mwafrika kama mbwa tu, na misaada yao Afrika ni kujenga misikiti tu hamna lolote.
 
Kitu ambacho kajaaliwa mwanaadam ni uwezo wa kufikiri na kuamuwa. Hata malaika hawajapewa uwezo huo.

Mmarekani Saudia Arabia analinda maslahi yake. Ana hisa kubwa sana katika shirika kubwa duniani la uchimbaji mafuta, nalo lipo Saudi Arabia, linaitwa Saudi ARAMCO, Arabian American Company.

Umeelewa. Kijana? Uwepo wake kuilinda Saudi Arabia ni kwa naslahi yake 100%.
Aramco inamilikiwa asilimia 100 na Wasaudi wenyewe, King Faisal alishataifisha hilo shirika mda mrefu tu, hivyo si kweli kwamba Usa ana Hisa.

Kama anavyosema King faisal Marekani wanayahitaji zaidi Mafuta kuliko waarabu wanavyoyahitaji, hivyo lazima wayalinde kivyovyote vile.
 
Unataka kusema waarab wote hawana akili mpk wagombanishe maan nchi zote za kiarabu zina migogoro ya wao kwa wao misri vs Algeria , Libyia vs Misri , Saudia vs Yemen , Afghanstan vs Pakistan etc je hawa waarabu hawana akili mpk kila mgogoro wao uwe umeanzisha na USA
Afghanistan na pakistan si waarabu, na hizo nyingi ulizozitaja hazina migogoro, na kama ipo basi ni midogo kama zilivyo Nchi nyengine. Hakuna mgogoro pia Baina ya Yemen kama nchi na Saudia.

Na waarabu wangekua hawana akili Nchi zao zisingekua matajiri vile, Nchi kibao za Africa zina madini hadi unaokota barabarani ila hakuna maendeleo.

Leo hii Algeria, Morocco, Libya etc tayari zimeshajitenga kiuchumi Compare na Nchi nyengine za ki Africa, Libya wana Vita kila siku ila Bado pato la mtu mmoja mmoja ni usd 7000 na kipindi hawana vita walikuwa wanapita hadi 10,000 usd, sisi Huku tunasherehekea uchumi wa kati na 1000 usd.
 
Mbona na mikanzu yenu mumeshindwa kulinda nyumbani kwa miungu yenu....mumeacha mnaowaita kafir walinde......hehehe bure kabisa.
Hata hayo mafuta isingekua kwa akili za mzungu hamngeyapata.
We jamaa ni kilaza sana hilo neno "Petro Dollar" pamoja na Uchumi wake wote kuanzia Graph za Uchumi wa mafuta mpaka Assurance waliopewa wazungu kwamba mafuta hayatakuja kuchukua Uchumi wa Dunia yameandikwa na Mtu anaitwa Ibrahim Oweiss, Professor wa Egpty mwenye Uraia pacha na Usa.

Jamaa alikua ndio mshauri wa Uchumi wa Jimmy Carter raisi wa marekani wakati huo na pia alikua mwalimu wa Chuo wa Bill clinton, anakuwa Regarded kama Mchumi mkubwa wa zama zetu.

Hii hapa source kwamba "petrodollar" term imetengenezwa na Oweiss


Kutoka website ya Chuo cha George washighton

Hii hapa source ya graph yake

odc.jpg



Graph ipo tofauti kabisa na graph ya demand tulioizoea na hio ndio formula imatumika hadi leo kwenye uuzaji mafuta.

Historia yake

 
Unataka kusema waarab wote hawana akili mpk wagombanishe maan nchi zote za kiarabu zina migogoro ya wao kwa wao misri vs Algeria , Libyia vs Misri , Saudia vs Yemen , Afghanstan vs Pakistan etc je hawa waarabu hawana akili mpk kila mgogoro wao uwe umeanzisha na USA
Afghanstan na Pakistan nu Waarabu toka lini?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mmarekani Saudia Arabia analinda maslahi yake. Ana hisa kubwa sana katika shirika kubwa duniani la uchimbaji mafuta, nalo lipo Saudi Arabia, linaitwa Saudi ARAMCO, Arabian American Company.
SI KWELI

Jitahidini kabla ya kupost jambo muwe mnafanya utafiti kwanza

Ukiwa jf epuka sana kuandika stori za vijiweni humu watu wanajua sana mambo sometimes wanapuuzia na kupita tu

USA hawana hisa Saudi Aramco
 
SI KWELI

Jitahidini kabla ya kupost jambo muwe mnafanya utafiti kwanza

Ukiwa jf epuka sana kuandika stori za vijiweni humu watu wanajua sana mambo sometimes wanapuuzia na kupita tu

USA hawana hisa Saudi Aramco
Arabian American Company.


Siyo tu wana hisa, waliianzisha hiyo kampuni. Kama US wameachia hisa zao Aramco, elewa ni siasa tu za funika kombe mwanaharamu apite, unafikiri Wamerekani wajinga kulinda maslahi yao? Au umeisahau "Arab spring".
Wasaudi hawathubutu kuwanyuma hisa na Mafuta Wamerskani, unafikiri hawajaona yaliyowapa Saddam na Ghaddafi kwa kubania mafuta na kuvunja mikataba inayohusu mafuta na US?
Soma japo kiduchu: The U.S. and Saudi Arabia Since the 1930s - Foreign Policy Research Institute

Mfano mzuri ni haoa Tanzania tulipojidai hatuwataki mabepari wachimbe dhahabu, tukapigwa mkwara tukakubali "Ficha pombe* Mwanaharamu apite".

Soma:

Screenshot_20230531_021256_Chrome.jpg
 
We jamaa ni kilaza sana hilo neno "Petro Dollar" pamoja na Uchumi wake wote kuanzia Graph za Uchumi wa mafuta mpaka Assurance waliopewa wazungu kwamba mafuta hayatakuja kuchukua Uchumi wa Dunia yameandikwa na Mtu anaitwa Ibrahim Oweiss, Professor wa Egpty mwenye Uraia pacha na Usa.

Jamaa alikua ndio mshauri wa Uchumi wa Jimmy Carter raisi wa marekani wakati huo na pia alikua mwalimu wa Chuo wa Bill clinton, anakuwa Regarded kama Mchumi mkubwa wa zama zetu.

Hii hapa source kwamba "petrodollar" term imetengenezwa na Oweiss


Kutoka website ya Chuo cha George washighton

Hii hapa source ya graph yake

View attachment 2640552


Graph ipo tofauti kabisa na graph ya demand tulioizoea na hio ndio formula imatumika hadi leo kwenye uuzaji mafuta.

Historia yake


Wacha kuteseka bana, bila akili za mzungu hao miungu wenu waarabu wangekua wanateseka kwa umaskini na kuvaa mikanzu na kuota mindevu kama ambavyo mnavyofanya wengi huko Pwani kwenye dini yao imezagaa.
 
Wacha kuteseka bana, bila akili za mzungu hao miungu wenu waarabu wangekua wanateseka kwa umaskini na kuvaa mikanzu na kuota mindevu kama ambavyo mnavyofanya wengi huko Pwani kwenye dini yao imezagaa.
Kama nyie Hapo Kenya na Huku Tanzania mnavyolishwa na kuvishwa na hao waisilamu?
 
Wacha kuteseka bana, bila akili za mzungu hao miungu wenu waarabu wangekua wanateseka kwa umaskini na kuvaa mikanzu na kuota mindevu kama ambavyo mnavyofanya wengi huko Pwani kwenye dini yao imezagaa.
Umasikini au utajiri hauleti mzungu. Kumbuka hilo.

Mbona hao miungu yako wa kizungu hawajakupa wewe huo utajiri na unawaabudu?
 
Umasikini au utajiri hauleti mzungu. Kumbuka hilo.

Mbona hao. Miubgu yako wa kizungu hawajakupa wewe huo utajiri na unawaabudu?

Wazungu ndio wamekusaidia utumie pedi wakati wa hedhi, kila ukitumia pedi hapo uwe unawashukuru, au hata mumeo anapotumia condom kuzuia kukutia mimba kila mwaka ujue ni akili ya mzungu, huyo huyo mzungu ndiye amewasaidia miungu yenu waarabu waneemeke kwenye mafuta, na huyo huyo mzungu ndio analinda hapo mecca nyumbani kwa allah wenu.
 
Back
Top Bottom