Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hakyanane?Wana iq ya juu sana.Ili iwe mizito ndio maana wanatia mchanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakyanane?Wana iq ya juu sana.Ili iwe mizito ndio maana wanatia mchanga
Kuna mda kula mikate ni dalili ya kuficha umasikini. Mkate wa buku unauwakika wa kula siku 3-4 ila magimbi/gombi la buku unaweza kula siku 1-2 kwa maeneo ya mjini.Mnapenda sana na kuendekeza anasa kwa kula kula mikate hovyo hovyo wakati kuna mbadala magimbi, mihogo na viazi. Endeleeni tu kuparamia iyo mikate mwishowe appendix itajaa michanga mtaingia matatizoni na gharama kwenda kutoa appendix.
Badilikeni aseeh!
Tatizo mda wa kupika hayo magimbiMnapenda sana na kuendekeza anasa kwa kula kula mikate hovyo hovyo wakati kuna mbadala magimbi, mihogo na viazi. Endeleeni tu kuparamia iyo mikate mwishowe appendix itajaa michanga mtaingia matatizoni na gharama kwenda kutoa appendix.
Badilikeni aseeh!
MargaritaUnapaka na tanbond
Bidhaa nyingi za ndani ziko chini ya kiwango ukilinganisha na zile za Kenya.Wakuu habarini za usiku,
Ni muda nimekuwa mtumiaji mzuri wa mkate katika kifungua kinywa cha asubuhi, lakini nime-kutana na changamoto ya kitafunwa hichi kuwa na chembe chembe za michanga ndani yake. Nimejaribu kubadili brand mbali mbali lakini naona hali ni ile ile.
Je, hali hii inasabishwa na mazingira ya uandaji wa mikate hii kabla ya kumfikia mlaji, au ni ngano wakati wa kuvuna na kusaga, au ni viwanda bubu vya mtaani ambavyo havina mazingira rafiki ya uzalishaji, au ni vyombo vinavyotumika huko viwandani au shida ni nini, au ni mamlaka husika kutokufanya ukaguzi kwenye viwanda!?
Kuna haja ya mamlaka ya chakula kufatilia hili, maana imekuwa kero kuanzia shida ya meno mpaka afya kiujumla.
Nawasilisha
Hahaaaaaa hahaaaaaa.Mihogo inanunuliwa!
Navyojua, mtu anang'oa shambani kwake na kuja kuchemsha.
Hili la kununua sijawahi lisikia mie!
Hiyo ndiyo mikate,siyo mamikate mengine ya hovyo,hayana hata radhamkate wa ukwel kjna azam na super loaf
Umetoka kwenye mazoezi ya mpira kisha unapitia bekari kwenye kibarua cha kukanda unga, unaosha miguu kisha unatembea mpaka kwenye bafu la kukandia unga, hapo ndipo unapobeba mchanga.Ni kweli si jambo jipya ila hapo kilicholeta mshtuko ni uhusiano wa huo mchanga na kukandia miguu...kwamba mtu anatoka kukanyaga mchanga moja kwa moja anaingia kwenye unga?
Mbona kama umekuja na povu badala ya suluhisho la alichouliza mleta mada?Mnapenda sana na kuendekeza anasa kwa kula kula mikate hovyo hovyo wakati kuna mbadala magimbi, mihogo na viazi. Endeleeni tu kuparamia iyo mikate mwishowe appendix itajaa michanga mtaingia matatizoni na gharama kwenda kutoa appendix.
Badilikeni aseeh!