menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 670
Wanakula kwako?Umewasahau wapemba aisee ni wavivu balaa
Kila kabila na sifa yao sifa ya wakuria kukatana napanga na ujambazi bora ya watu wavivu kuliko wauajihizo kabila asili yao ni uvivu tu usilaumu mwarabu bure
waarabu waarabu walikubaliwa/walipenya kwa wavivu
umasaini na ukuryani hakuna mwarabu alikanyaga huko
hizo ndo kabila za kiume/ngangari
Ushaona mzungu anachimba shimo analima
Hzo kazi ni za wanyama
Kazi ngumu mpe msukuma na muha
Hivi mbona watu bado wana mentality ya kuwa kuchapa kazi ni kushinda juani unalima na jembe la mkono[emoji16]Ndio kusema wame muiga muarabu kwa uvivu?je ni kweli waarabu ni wavivu?muarabu kapita tabora Shinyanga sherui kinampanda singinda mbona watu hao mfano wanayamwezi kazi ngumu mpe myamwezi wasukuma mpaka sasa hakuna kabila lilo vunja lekodi kwa kuchapa kazi kama wasukuma haya wanyiramba wa singinda sherui ni wachapa kazi haswa hata hao waarabu ni wachapa kazi ukwasi wao tunauona hao watu wa pwani labda unawapunja ndio maana wanakukimbia unataka wakufanyie kazi ya sh 20000 kwa sh 5000 hiyo ndio tabia ya wabongo wakifika sehemu yenye watu wenye dhiki lakini watu wa kutwa ndio wanao ongoza kwa kuzalisha nazi safi hata soko la mihogo dar wamelishika wao
Tutajie kabila lako na mkoa wako hili tulinganishe
Utumwa umewaathiri, hapo bado hawajaomba kuchapwa mijelediHivi mbona watu bado wana mentality ya kuwa kuchapa kazi ni kushinda juani unalima na jembe la mkono[emoji16]