Kwanini mikoa iliyotawaliwa na Mwarabu watu wake ni wavivu balaa?

Kwanini mikoa iliyotawaliwa na Mwarabu watu wake ni wavivu balaa?

Mwarabu aliwafundisha kufuga ndevu ,kutoboa pua, kuvaa kanzu hata dini yao inapenda starehe huku bikra 72 huku mito ya pombe
Wewe unaefanya kazi ngumu unamiliki nini katika mali au wewe ni tajiri wa ngapi nchi hii,mwanaume unashangaa ndevu kweli ushoga mbaya jamani yaani unajiita mwanaume unachukia ndevu?

Unajiita mwanaume unachukia mwanamke alie toboa pua hata hao wazungu unaotamani kula mavi yao mbona wanatoa pua? hii sio chuki bali ushamba unakusumbua
 
Hizo kabila asili yao ni uvivu tu usilaumu mwarabu bure. Waarabu waarabu walikubaliwa/walipenya kwa wavivu. Umasaini na ukuryani hakuna mwarabu alikanyaga huko. Hizo ndo kabila za kiume/ngangari
Mwarabu afuate nini ukuryani!?.. mwarabu alikua mfanya biashara,alifata meno ya tembo na watumwa Kongo,tabora,kigoma...huko Nako watu wavivu!?
 
Wakuu habari zenu,

Ni muda sijapita humu, leo nimeibuka na swali ambalo limekuwa likinisumbua Kwa muda sasa. Nina vi project vyangu hapo Bagamoyo na Pale Kilwa. Tangu nianze mpaka sasa napata wakati mgumu sana wa kupata vijana wachapa kazi.

Huku vijana ni wavivu mno! Mambo ya kuchimba mashimo, sijui kulima hakuna! Ukileta leo watu kesho wanakukimbia no wonder kuna umaskini wa kutupa maeneo haya ilhali kasi ya kuzaliana ni zaidi ya lile bando la 4G la Vodacom. Hali hii haina tofauti na kule Tanga, na maeneo mengi alikopita Mwarabu! Najiuliza tatizo hasa ni nini? Mwarabu aliacha nini huko au ni laana ya mwarabu?
Kwamba wachaga wanalima Sana kuliko wanyamwezi,pwani ardhi mchanga,shughuli yao uvuvi na kilimo Cha minazi,we ulitaka walime mahindi mchangani!?
 
Mwarabu afuate nini ukuryani!?.. mwarabu alikua mfanya biashara,alifata meno ya tembo na watumwa Kongo,tabora,kigoma...huko Nako watu wavivu!?
kwani wewe umeambiwa waarabu walienda wapi
huku tarime tupo tayari kufa ila siyo kwenda utumwani/kuonewa
 
Wakuu habari zenu,

Ni muda sijapita humu, leo nimeibuka na swali ambalo limekuwa likinisumbua Kwa muda sasa. Nina vi project vyangu hapo Bagamoyo na Pale Kilwa. Tangu nianze mpaka sasa napata wakati mgumu sana wa kupata vijana wachapa kazi.

Huku vijana ni wavivu mno! Mambo ya kuchimba mashimo, sijui kulima hakuna! Ukileta leo watu kesho wanakukimbia no wonder kuna umaskini wa kutupa maeneo haya ilhali kasi ya kuzaliana ni zaidi ya lile bando la 4G la Vodacom. Hali hii haina tofauti na kule Tanga, na maeneo mengi alikopita Mwarabu! Najiuliza tatizo hasa ni nini? Mwarabu aliacha nini huko au ni laana ya mwarabu?
Aina ya vyakula wanavyokula, mfano urojo, sembe badala ya dona, mlenda
 
Wewe unaefanykazi ngumu unamiliki nini katika mali au wewe ni tajiri wa ngapi nchi hii,mwanaume unashangaa ndevu kweli ushoga mbaya jamani yaani unajiita mwanaume unachukia ndevu?

Unajiita mwanaume unachukia mwanamke alie toboa pua hata hao wazungu unaotamani kula mavi yao mbona wanatoa pua? hii sio chuki bali ushamba unakusumbua
Hii imekuingia kweli kweli Adolph Jr wamesha sema tayari mambo ya ushoga
 
Wakuu habari zenu,

Ni muda sijapita humu, leo nimeibuka na swali ambalo limekuwa likinisumbua Kwa muda sasa. Nina vi project vyangu hapo Bagamoyo na Pale Kilwa. Tangu nianze mpaka sasa napata wakati mgumu sana wa kupata vijana wachapa kazi.

Huku vijana ni wavivu mno! Mambo ya kuchimba mashimo, sijui kulima hakuna! Ukileta leo watu kesho wanakukimbia no wonder kuna umaskini wa kutupa maeneo haya ilhali kasi ya kuzaliana ni zaidi ya lile bando la 4G la Vodacom. Hali hii haina tofauti na kule Tanga, na maeneo mengi alikopita Mwarabu! Najiuliza tatizo hasa ni nini? Mwarabu aliacha nini huko au ni laana ya mwarabu?
Nina shamba nimelitelekeza tanga baada ya kukosa wafanyakazi. Yaani nilikuwa nikitaka kulima, inanibidi nikawatafute wafanyakazi Dodoma
 
Mwarabu hausiki hapo mbona yeye sio masikini hata huko. Mikoa yote yalipofanyika matambiko ya kutambikia nchi kuikabidhi kwa mizimu moja ya matokeo ya sharti ni umasikini endelevu, huko hata kila mtu apewe milioni 100 baada ya miezi 3 watarudi kwenye umasikini tena. Huko ni ishu za Spirit zinazomiliki maeneo hayo
 
Maisha yanapokuwa rahisi ni lazima uvivu utamalaki. Kila kitu bure Kazi ya nini. Hawahitaji Kazi Ili wale. Kuni, maji bure,vyakula tele kwa bei chee, hawawazi kusomesha kwann wawaze kazi
 
Mleta hoja itafiti wako wa siku moja ndio umeamua kuuundia uzi?,

Pili uarabu umeingiaje wakati Waarabu ni matajiri na wachapakazi kuliko hata Wasukuma.
 
Ndio kusema wame muiga muarabu kwa uvivu?je ni kweli waarabu ni wavivu? Muarabu kapita tabora Shinyanga sherui kinampanda singinda mbona watu hao mfano wanayamwezi kazi ngumu mpe myamwezi wasukuma mpaka sasa hakuna kabila lilo vunja lekodi kwa kuchapa kazi kama wasukuma haya wanyiramba wa singinda sherui ni wachapa kazi haswa hata hao waarabu ni wachapa kazi ukwasi wao tunauona hao watu wa pwani labda unawapunja ndio maana wanakukimbia unataka wakufanyie kazi ya sh 20000 kwa sh 5000 hiyo ndio tabia ya wabongo wakifika sehemu yenye watu wenye dhiki lakini watu wa kutwa ndio wanao ongoza kwa kuzalisha nazi safi hata soko la mihogo dar wamelishika wao.

Tutajie kabila lako na mkoa wako hili tulinganishe.

Mwarabu gani alikaa usukumani
 
Wakuu habari zenu,

Ni muda sijapita humu, leo nimeibuka na swali ambalo limekuwa likinisumbua Kwa muda sasa. Nina vi project vyangu hapo Bagamoyo na Pale Kilwa. Tangu nianze mpaka sasa napata wakati mgumu sana wa kupata vijana wachapa kazi.

Huku vijana ni wavivu mno! Mambo ya kuchimba mashimo, sijui kulima hakuna! Ukileta leo watu kesho wanakukimbia no wonder kuna umaskini wa kutupa maeneo haya ilhali kasi ya kuzaliana ni zaidi ya lile bando la 4G la Vodacom. Hali hii haina tofauti na kule Tanga, na maeneo mengi alikopita Mwarabu! Najiuliza tatizo hasa ni nini? Mwarabu aliacha nini huko au ni laana ya mwarabu?
Yakupasa ujue jinsi wanavyoishi. Wanategemea shughuli zipi kiuchumi. Ni uvuvi au kulima?
Hata kama wanalima, ni kilimo cha aina gani kwa mazao gani.
Watu wa Pwani wanaotegemea uvuvi na kilimo cha mazao kama minazi usitegemee wakawa hodari kwenye kuchimba mashimo kitu ambacho ni rahisi sana kwa watu wa Bara bila kujali kama mi Waislam au Wakristo.
Jipe muda kujua background za watu kwa maeneo tofauti tofauti. Ni kama umlete wa Bara katoka sehemu hakuna hata mito waje Pwani kuvua samaki! Wataonekana wavivu !
 
Mtu ws Pwani kazsliwa amtumikishe mtu ws bara.
Nende i .kapalilie mikorosho, minazi,machungwa na mkawavulie dagas wakiwa wamestarehe.
Hata mimi babu yangu angepanda mikorosho ningekuwa mvuvi nakula kwa mrija.
 
Back
Top Bottom