Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka washike majembe ndio uhodari.Yakupasa ujue jinsi wanavyoishi. Wanategemea shughuli zipi kiuchumi. Ni uvuvi au kulima?
Hata kama wanalima, ni kilimo cha aina gani kwa mazao gani.
Watu wa Pwani wanaotegemea uvuvi na kilimo cha mazao kama minazi usitegemee wakawa hodari kwenye kuchimba mashimo kitu ambacho ni rahisi sana kwa watu wa Bara bila kujali kama mi Waislam au Wakristo.
Jipe muda kujua background za watu kwa maeneo tofauti tofauti. Ni kama umlete wa Bara katoka sehemu hakuna hata mito waje Pwani kuvua samaki! Wataonekana wavivu !
Mikoa yote wanawalimia watu wa pwani. Viongozi wote wanawaza kuwajengea watu wa pwani.Maisha yanapokuwa rahisi ni lazima uvivu utamalaki. Kila kitu bure Kazi ya nini. Hawahitaji Kazi Ili wale. Kuni, maji bure,vyakula tele kwa bei chee, hawawazi kusomesha kwann wawaze kazi
Magendo wanafanya wakina nani?Mlenda mlenda sana na wanapenda maisha ya short cuts success kama;
• Kupiga dili kazini.
• Kupitisha magendo.
• Kuwa punda wa unga.
• Kuwa Punga.
NB:
Kiuhalisia Me ameumbwa kiukakamavu ndiyomaana hata baadhi ya kazi huwezi kupata jinsi Ke wengi kama Ukomandoo.
Me mlaini laini kama sponchi jitafakari zaiina uchukue hatua/ubadilike.
Mwarabu keshaondoka wacha wavute pumzi kidogo warelax.
Kutumikishwa na mwarabu utadhani anaetumikishwa ni mnyama, hakuna huruma kabisa
Mikoa yote wanawalimia watu wa pwani. Viongozi wote wanawaza kuwajengea watu wa pwani.
Maji kusumbus kidogo mwaka jana mabonde yote watu wamepigwa ban kuvuta naji mashambani ili pwani wapate maji wakati bara kuna miji hawajui maji ya bomba.
Pwani iliendelea tangu karne ya 7 bara karne ya 19. Watu wanasoma elimu gani?
Mikoa yote wanawalimia watu wa pwani. Viongozi wote wanawaza kuwajengea watu wa pwani.
Maji kusumbua kidogo mwaka jana mabonde yote watu wamepigwa ban kuvuta naji mashambani ili pwani wapate maji wakati bara kuna miji hawajui maji ya bomba.
Pwani iliendelea tangu karne ya 7 bara karne ya 19. Watu wanasoma elimu gani?
Acha uongo. Nyerere,Mkapa, Magu sio waislamu ila waliwekeza kuijenga pwani.Hii ni kwasababu ya chama tawala kimejaa waislamu ndo maana huduma za kijamii wanawapelekea wao. Waislamu bila serikali msingekuwa hapo mlipo nenda kenya uone jinsi waislamu wanavyohaha
Mbona wapemba ndio matajiti wakubwa TanzaniaUmewasahau wapemba aisee ni wavivu balaa
Ni ujinga tu ndiyo unawasumbua......weee umeona wapi mtu anaamka asubuhi anakwenda kushinda msikitini au kijiweni akipiga story, hataki kufanya kazi ila anaona bora ashinde akisali mara 5 kwa siku na kujifanya mgogo (kuomba hela kila kukicha). Tabia hii ya kijinga imeshamiri sana Kigoma, Tabora, Mtwara, Lindi, Zanzibar, Pemba, na hata wakazi wa Dar na Pwani wanaowaza kwenda ngomani kila kukicha. Kwao kitu cha muhimu ni ngoma na kushinda misikitini.Wakuu habari zenu,
Ni muda sijapita humu, leo nimeibuka na swali ambalo limekuwa likinisumbua Kwa muda sasa. Nina vi project vyangu hapo Bagamoyo na Pale Kilwa. Tangu nianze mpaka sasa napata wakati mgumu sana wa kupata vijana wachapa kazi.
Huku vijana ni wavivu mno! Mambo ya kuchimba mashimo, sijui kulima hakuna! Ukileta leo watu kesho wanakukimbia no wonder kuna umaskini wa kutupa maeneo haya ilhali kasi ya kuzaliana ni zaidi ya lile bando la 4G la Vodacom. Hali hii haina tofauti na kule Tanga, na maeneo mengi alikopita Mwarabu! Najiuliza tatizo hasa ni nini? Mwarabu aliacha nini huko au ni laana ya mwarabu?
Maganzo kahama tinde nzega tabora Sekenke singida iyambi singida ujiji igunga,haya ni baadhi ya maeneo wakiishi waarabu lakini watu hawa ni wapambanaji sana sijui unapo sema unaposema mikio iliotawaliwa na waarabu heti ni wavivu maana yako nini?fafanua tukelewe pia na wewe ututajie mkoa wako tuujueWakuu habari zenu,
Ni muda sijapita humu, leo nimeibuka na swali ambalo limekuwa likinisumbua Kwa muda sasa. Nina vi project vyangu hapo Bagamoyo na Pale Kilwa. Tangu nianze mpaka sasa napata wakati mgumu sana wa kupata vijana wachapa kazi.
Huku vijana ni wavivu mno! Mambo ya kuchimba mashimo, sijui kulima hakuna! Ukileta leo watu kesho wanakukimbia no wonder kuna umaskini wa kutupa maeneo haya ilhali kasi ya kuzaliana ni zaidi ya lile bando la 4G la Vodacom. Hali hii haina tofauti na kule Tanga, na maeneo mengi alikopita Mwarabu! Najiuliza tatizo hasa ni nini? Mwarabu aliacha nini huko au ni laana ya mwarabu?
Uvivu gani unaokusudia?mbona ufafanuiUmewasahau wapemba aisee ni wavivu balaa
Mikoa yote wanawalimia watu wa pwani. Viongozi wote wanawaza kuwajengea watu wa pwani.
Maji kusumbua kidogo mwaka jana mabonde yote watu wamepigwa ban kuvuta naji mashambani ili pwani wapate maji wakati bara kuna miji hawajui maji ya bomba.
Pwani iliendelea tangu karne ya 7 bara karne ya 19. Watu wanasoma elimu gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati wanasubilia mwezi wasipokuita shoga nipo hapa nyuma ya keyboard kusubilia kuachanisha ugomvi[emoji15][emoji15][emoji15]