Kwanini 'military takeovers' zimerudi kwa kasi Afrika?

Kwanini 'military takeovers' zimerudi kwa kasi Afrika?

Ni matokeo ya siasa za kidunia, hazina sababu za msingi za wananchi wa kawaida wa Afrika.

Mapinduzi haya, yanaratibiwa na mataifa yenye nguvu kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia.

Sio mapinduzi yanaratibiwa na kusukumwa na uhitaji wa ndani ya Afrika.

Kinachoendelea kwenye wimbi hili la sasa ni regime change na sio philosophical reforms. Falsafa inabaki ile ile, watu serikalini ndio wanaobadilika.

Mfano: Kitendo cha Marekani kulipua bomba la Urusi kutoka Urusi- Ulaya (Nord-stream) ndio sababu Kuu ya Mapinduzi ya Gabon. Usiniulize kwa namna gani, chekecha kichwa utapa jawabu.

Kwasasa, Hakuna mapinduzi yatakayo ratibiwa na wananchi wa kawaida (Afrika) wenyewe yatakayofanikiwa bila kuhusisha maslahi ya mataifa yaliyoendelea kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia.

Kwasasa wamiliki wa uchumi, jeshi na teknolojia wa ulimwengu wameshagawana vitalu vya kuvuna kama ilivyokuwa kipindi cha ukoloni mkongwe.

Hivyo, sio rahisi kwa wananchi wa kawaida kuanzisha na kufanikiwa kufanya mapinduzi.
you got it right mate, world transition from unipolar to multipolar world ndio trigger ya haya yanayoendelea kwenye regime change. ila France ana wakati mgumu aiseeh, ni kama mwanamke amekuchoka halafu hutaki kuachika
 
Fikiri kama ingelikuwq ni niger watu wanauza bandari wanauza ngorongoro na wamasai wote wanauzwa unafikiri jeshi linaweza kukaa kimya tu
naskia sasa ivi wana vikao wa kuwauza wamakonde wote pamoja na panya wao wote!!!!,,,,,,,,wakitoka hapo wahadazabe wote waauzwa wote pamoja na bange zao!!
 
Ni kuchoka tu, watu wanaamua kubadilisha mkoloni tu, Leo twende na marekani kesho tupindue nchi twende na mrusi keshokutwa tupindue twende na mfaransa au muingereza.

Hivyo ndivyo mapinduzi yanavyotokea siyo kwamba watu ni wazalendo sana Bali ni hamu tu ya kutaka kubadilisha mabwana wa kuwatumikia, tabu, majanga na hali duni ya maisha ipo pale pale.

Afrika hii watu hujali familia zao na watu wao wa karibu tu, maslahi ya tumbo kwanza...wenzetu ni wajanja sana, unatengenezewa mazingira kana kwamba kitu Fulani ulikitaka wewe, kumbe wao ndo walikitaka kitokee, linatengenezwa tatizo makusudi halafu baadaye watu lazima watapaza sauti Kwa hilo tatizo lililotengenezwa makusudi, mwisho njia za kutatua tatizo inatolewa mfano suluhisho ni mapinduzi, ni hivi (Problem-Reaction-Solution).
 
Sababu ni kwamba [emoji116]

Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele.

Waafrika, Hawawezi kujiongoza na hawatakaa waweze kujiongoza na kujitawala wenyewe, wame laanika.

Uafrika ni laana.

kaa ivo ivo na umbumbu wako ukiamini unachoaminishwa
 
kaa ivo ivo na umbumbu wako ukiamini unachoaminishwa
Nieleze ni kitu gani waafrika wameweza kufanya wenyewe katika nyanja za kiuchumi, kiafya, kielimu, kimiundombinu, kisayansi na teknolojia na katika sekta nyingine nyingi za maendeleo, Pasipo USAIDIZI wala MSAADA wa aina yeyote ile kutoka kwa wazungu au waarabu?

Nieleze ni kitu gani waafrika wameweza kugundua katika dunia hii, kika tambulika na kutumika dunia nzima?

Serikali yako kila siku inakopa na kuomba misaada kutoka kwa hao hao wazungu, Halafu wewe unakuja kuandika pumba hapa kwamba waafrika mnaweza,

Mnaweza nini? Kipi mlichofanya? Pasipo USAIDIZI wa wazungu?
Zaidi ya wizi, ulevi, ngono, rushwa, uhujumu uchumi na kujilimbikizia mali...!!!

Afrika ina rasilimali za kila aina, ila kutwa kucha viongozi wake ni kuomba omba misaada na kutembeza bakuli...!!!

Wewe ndio mbumbumbu ambaye hata kufikiria huwezi kwa sababu una laana.

Nakwambia hivi 👇

Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele, ime laanika.
 
Fikiri kama ingelikuwq ni niger watu wanauza bandari wanauza ngorongoro na wamasai wote wanauzwa unafikiri jeshi linaweza kukaa kimya tu
Ni kujidanganya kuwa mapinduzi ya Niger Yana faida chanya kwa raia.yanayotokea ni tamaa tu za madaraka kwa kuwa wote wana mabwana wabepari
 
Mbona huku East Africa hayapo?
umezaliwa lini wewe? Unawajua eugene maganga, uncle tom, mohamed tamimu, vitalis mapunda, christopher kadego, zakaria hans pope, hatibu gandhi wa tanzania na hezekiah ochuka wa kenya? Uganda ni huyo baba aliyeko madarakani unajua mwanzo wake mpaka akawa rais? Military takeover zipo hata east afrika ila zinafeli na kwingine zili win
 
Kuna waliofanikisha kwa siku moja au mbili mwaka 1964, Waislam wakamsaidia Nyerere wakamtorosha Ikulu na Muislam mwengine afisa jeshini na askari zake wakapambana na maharamia mpaka lilipokuja jeshi la Muingereza kutuliza machafuko (mutiny).

Waislam hao ni Kitwana Kondo na Kanal Kashmiri.

Nashangaa kwanini historia hizi zinafichwa Tanzania.
 
Bro nikusema umelaaniwa au we ni mzungu
Mimi kuzaliwa Afrika nachukulia kama Ajali ( Accident),

Bongo bahati mbaya in ( Young Dee voice)

Kwa sababu nimesoma Historia nzima ya waafrika, Tabia zao, Maisha yao na Mienendo yao ya kila siku.

Na nime thibitisha pasi shaka kwamba [emoji116]

Waafrika wana upumbavu wa milele.

Kama umewahi fika ughaibuni na kuishi uta tambua hili.
 
Ni matokeo ya siasa za kidunia, hazina sababu za msingi za wananchi wa kawaida wa Afrika.

Mapinduzi haya, yanaratibiwa na mataifa yenye nguvu kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia.

Sio mapinduzi yanaratibiwa na kusukumwa na uhitaji wa ndani ya Afrika.

Kinachoendelea kwenye wimbi hili la sasa ni regime change na sio philosophical reforms. Falsafa inabaki ile ile, watu serikalini ndio wanaobadilika.

Mfano: Kitendo cha Marekani kulipua bomba la Urusi kutoka Urusi- Ulaya (Nord-stream) ndio sababu Kuu ya Mapinduzi ya Niger. Usiniulize kwa namna gani, chekecha kichwa utapa jawabu.

Kwasasa, Hakuna mapinduzi yatakayo ratibiwa na wananchi wa kawaida (Afrika) wenyewe yatakayofanikiwa bila kuhusisha maslahi ya mataifa yaliyoendelea kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia.

Kwasasa wamiliki wa uchumi, jeshi na teknolojia wa ulimwengu wameshagawana vitalu vya kuvuna kama ilivyokuwa kipindi cha ukoloni mkongwe.

Hivyo, sio rahisi kwa wananchi wa kawaida kuanzisha na kufanikiwa kufanya mapinduzi.
Uko mbali sana asee
 
Haya mambo yameanza tena kurudi hapa Afrika hivi sababu ni kitu gani? Mbona huko majuu hatuyasikii au kuyaona yakitokea?
Washajipata sasa mwendo wa Ambushi tu nakutaka urudishe iyo share mwenye kwa hiari yako
 
Back
Top Bottom