Kwanini Mishahara ya Watumishi wa Taasisi za Umma inapishana?

Kwanini Mishahara ya Watumishi wa Taasisi za Umma inapishana?

0036 savage

Senior Member
Joined
Apr 30, 2019
Posts
189
Reaction score
238
Tanzania kuna tatizo moja ambalo mimi silielewi kabisa, inawezekanaje watu mna elimu sawa mmoja alipwe pesa nyingiiiiii kuliko mwingine kwa sababu ambazo azieleweki?

Kwa mfano Mhasibu wa cheti wa bandarini anakuwa na mshahara mkubwaaa kuliko hata mhasibu wa diploma wa taasisi kama hospital au mashuleni. Hili linawezekanaje?

Inakuaje mlinzi wa getini bandarini analipwa pesa kubwa kuliko CO au Muuguzi au mwalimu wakati yeye ni ngazi ya cheti tu?

Kwanini mshahara upangwe kutokana na uzalishaji na sio mpangilio mzuri? Kwanini mishaara isifanane kutokana na elimu?

Hii habari ya huyu anazalisha kingi kuliko huyu ni dharau kwahyo mwalimu hana maana kwenye jamii?
 
Mkuu, lazima tupime kwa unachokizalisha. Pengine panahitahi motisha ili kuleta uwajibikaji wa kiwango cha juu..

Mfano, afisa wa TRA anapaswa kulipwa kiwango kikubwa kulingana na unyeti wake na kumtoa katika hati hati za kula rushwa. Sawa, bado wanakula lakini hali ingekuwa mbaya zaidi kama mambo yangekuwa sivyo.

Unyeti wa kazi husika pamoja ni muhimu.

Unataka Mwalimu alipwe sawa na sisi Madaktari kwa kuzingatia kiwango sawa cha elimu? Kufanya hivyo utaharibu kabisa umuhimu wa sekta mbalimbali.

Hiyo kamwe haitowezekana. Si Tanzania tu, dunia nzima.
 
Mkuu, lazima tupime kwa unachokizalisha. Pengine panahitahi motisha ili kuleta uwajibikaji wa kiwango cha juu..

Mfano, afisa wa TRA anapaswa kulipwa kiwango kikubwa kulingana na unyeti wake na kumtoa katika hati hati za kula rushwa. Sawa, bado wanakula lakini hali ingekuwa mbaya zaidi kama mambo yangekuwa sivyo.

Unyeti wa kazi husika pamoja ni muhimu.

Unataka Mwalimu alipwe sawa na sisi Madaktari kwa kuzingatia kiwango sawa cha elimu? Kufanya hivyo utaharibu kabisa umuhimu wa sekta mbalimbali.

Hiyo kamwe haitowezekana. Si Tanzania tu, dunia nzima.
Doctor anaanza kazi kwa level gan ya mshaara kama sikosei 1.4m baada ya kupambana kote mpka kuwa doctor sasa mlinzi mwenye chet tu cha form four na chet cha mgambo anaanzaje na mshaara wa 1.2m kwasabab yupo sekta ambayo inazalisha zaid ndo nauliza kuna faida gan ya kuwa mwalimu wa degree wakat ukiwa na chet tu cha D mbil na chet cha mgambo unalipwa mara mbil ya pesa yako?
 
Mbaya zaidi sehemu zote zenye mishahara mizuri wamejaa watoto wa vigogo wa chama na serikali.

Watoto wa masikini na ufaulu wao wa juu wanaishia kuwa walimu, manesi, maafisa ugani, nk. na mwisho wa siku jamii inawadharau kutokana na mishahara yao kiduchu.
 
Mbaya zaidi sehemu zote zeny mishahara mizuri wamejaa watoto wa vigogo wa chama na serikali.

Watoto wa masikini na ufaulu wao wa juu wanaishia kuwa walimu, na mwisho wa siku jamii inawadharau kutokana na mishahara yao kiduchu.
Ww umenielewa vizur kuna watu humu awana akil kila mtu unachosema kikiwagusa ni tatizo ukwel ni lazima useme hii mishaara iliwekwa kwaajil ya kuwanufaisha watoto wa vigogo wasiokuwa na elimu aiwezekan mtu mwenye certificate alipwe pesa mara tatu ya pesa anayolipwa mtu wa diploma au degree kibaya zaid nurse analipwa laki nne kwa level ya cheti lakin fundi magar mwenye chet cha veta au dereva wa bandarin alipwe 1.2 hili sio sawa kabisa tuache ngonjera za huyu anazalisha hik huyu azalishi hii sio sawa
 
Mkuu, lazima tupime kwa unachokizalisha. Pengine panahitahi motisha ili kuleta uwajibikaji wa kiwango cha juu..

Mfano, afisa wa TRA anapaswa kulipwa kiwango kikubwa kulingana na unyeti wake na kumtoa katika hati hati za kula rushwa. Sawa, bado wanakula lakini hali ingekuwa mbaya zaidi kama mambo yangekuwa sivyo.

Unyeti wa kazi husika pamoja ni muhimu.

Unataka Mwalimu alipwe sawa na sisi Madaktari kwa kuzingatia kiwango sawa cha elimu? Kufanya hivyo utaharibu kabisa umuhimu wa sekta mbalimbali.

Hiyo kamwe haitowezekana. Si Tanzania tu, dunia nzima.
Huyo mwanao asipofundishwa vizuri atakua daktari? Acheni kujipa umuhimu uliopitiliza kwa kuwaona wenzenu hawafai.
 
Huyo mwanao asipofundishwa vizuri atakua daktari? Acheni kujipa umuhimu uliopitiliza kwa kuwaona wenzenu hawafai.
Ndo hicho akuna mwenye umuhimu watu wote ni sawa kwahyo chagua unachopenda ila mishaara ilipwe kutokana na elimu watu wapishane kwenye masaa ya ziada tu sio basic tupishane hadi nne wakat tupo level moja ya elimu
 
Huyo mwanao asipofundishwa vizuri atakua daktari? Acheni kujipa umuhimu uliopitiliza kwa kuwaona wenzenu hawafai.
Kwani ambao wamefundishwa vizuri wote ni Madaktari? Acha ufinyu wa fikra..

Ukweli ambao haupo tayari kuuridhia ni kwamba kuna kada ni muhimu mno kulinganisha na zingine na zinapaswa kupewa kipaumbele katika maslahi.
 
Tanzania kuna tatizo moja ambalo mimi silielewi kabisa, inawezekanaje watu mna elimu sawa mmoja alipwe pesa nyingiiiiii kuliko mwingine kwa sababu ambazo azieleweki?

Kwa mfano Mhasibu wa cheti wa bandarini anakuwa na mshahara mkubwaaa kuliko hata mhasibu wa diploma wa taasisi kama hospital au mashuleni. Hili linawezekanaje?

Inakuaje mlinzi wa getini bandarini analipwa pesa kubwa kuliko CO au Muuguzi au mwalimu wakati yeye ni ngazi ya cheti tu?

Kwanini mshahara upangwe kutokana na uzalishaji na sio mpangilio mzuri? Kwanini mishaara isifanane kutokana na elimu?

Hii habari ya huyu anazalisha kingi kuliko huyu ni dharau kwahyo mwalimu hana maana kwenye jamii?
Naomba nikujibu kwa namna ninavyoelewa...

Hiyo Taasisi uliyoitaja hapo na nyingine baadhi...

Mishahara yao wanajilipa wenyewe hawalipwa na hazina...hivyo basi wana maamuzi ya kupanga Mshahara kulingana na cheo vile watakavyoamua wao..
 
Kwani ambao wamefundishwa vizuri wote ni Madaktari? Acha ufinyu wa fikra..

Ukweli ambao haupo tayari kuuridhia ni kwamba kuna kada ni muhimu mno kulinganisha na zingine na zinapaswa kupewa kipaumbele katika maslahi.
Kama ipi ww ambae ni daktar mbona unapitwa mshaara na watu liofel form four wapo kwenye kakitengo kadogo tu kwa ubaharia bandarin na ni certificate tu tena inasomewa wiki nne hiyo certificate wanaanza kaz na mshaara wa 1.6 kwahyo hao ni muhimu kuliko daktar kama kwel ww ni daktar najua unajua ugumu wake kuanzia kaz mpka kuupata huo udakitar sasa inakuaje unaanza na 1.4 unazidiwa na baharia wa bandarin ?au fundi umeme tu wa bandarin umgusi kwa mshaara kwahyo ww auna umuhimu kuliko hao niliokutajia?
 
Naomba nikujibu kwa namna ninavyoelewa...

Hiyo Taasisi uliyoitaja hapo na nyingine baadhi...

Mishahara yao wanajilipa wenyewe hawalipwa na hazina...hivyo basi wana maamuzi ya kupanga Mshahara kulingana na cheo vile watakavyoamua wao..
Ww unaona ni sawa?serikal kuachia kikund cha watu kujipangia mshaara hata ukiambiwa ww ujipangie mshaara utajipangia kidogo?je serikal ailion hili huu ni wiz wa waz kabisa
 
Kama ipi ww ambae ni daktar mbona unapitwa mshaara na watu liofel form four wapo kwenye kakitengo kadogo tu kwa ubaharia bandarin na ni certificate tu tena inasomewa wiki nne hiyo certificate wanaanza kaz na mshaara wa 1.6 kwahyo hao ni muhimu kuliko daktar kama kwel ww ni daktar najua unajua ugumu wake kuanzia kaz mpka kuupata huo udakitar sasa inakuaje unaanza na 1.4 unazidiwa na baharia wa bandarin ?au fundi umeme tu wa bandarin umgusi kwa mshaara kwahyo ww auna umuhimu kuliko hao niliokutajia?
Umuhimu unautafsiri vipi?

Kwa wao ni muhimu kwa sababu wanazalisha zaidi. Hao kama wanaingizia nchi Mabillion ya fedha, basi wanapaswa kulipwa vizuri.

Wewe unachoona ni kikubwa, wao wanaona ni kidogo kulinganisha na uzalishaji wao.
 
Umuhimu unautafsiri vipi?

Kwa wao ni muhimu kwa sababu wanazalisha zaidi. Hao kama wanaingizia nchi Mabillion ya fedha, basi wanapaswa kulipwa vizuri.

Wewe unachoona ni kikubwa, wao wanaona ni kidogo kulinganisha na uzalishaji wao.
Kwa hivi unavyosema akuna umuhimu wa kukaza ubongo kinachotakiwa ni kulenga tu zile sekta zinazolipa mamishaara makubwa tu basi kwa mm sjui wenzangu najua mateso na ugumu wa kusoma kupitwa mshaara na mtu ambae alishindwa mm nikaweza aina maana kabisa elimu hii ya kijinga na kama mnavyojua elimu yetu sio kwaajil ya kuongeza maarifa bali ajira kwahyo ni ngumu sana aisee.
 
Back
Top Bottom