zwangandaba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 747
- 1,404
Daktari gani ana mshahara mzuri wewe?Mkuu, lazima tupime kwa unachokizalisha. Pengine panahitahi motisha ili kuleta uwajibikaji wa kiwango cha juu..
Mfano, afisa wa TRA anapaswa kulipwa kiwango kikubwa kulingana na unyeti wake na kumtoa katika hati hati za kula rushwa. Sawa, bado wanakula lakini hali ingekuwa mbaya zaidi kama mambo yangekuwa sivyo.
Unyeti wa kazi husika pamoja ni muhimu.
Unataka Mwalimu alipwe sawa na sisi Madaktari kwa kuzingatia kiwango sawa cha elimu? Kufanya hivyo utaharibu kabisa umuhimu wa sekta mbalimbali.
Hiyo kamwe haitowezekana. Si Tanzania tu, dunia nzima.
Usome miaka yote hiyo halafu mshahara 1.5 m si ujinga huo.
Mlinzi wa getini f4 wa TPA TPDC anamzidi dr aliesoma miaka 7