Kwanini Mishahara ya Watumishi wa Taasisi za Umma inapishana?

Kwanini Mishahara ya Watumishi wa Taasisi za Umma inapishana?

Kwani ambao wamefundishwa vizuri wote ni Madaktari? Acha ufinyu wa fikra..

Ukweli ambao haupo tayari kuuridhia ni kwamba kuna kada ni muhimu mno kulinganisha na zingine na zinapaswa kupewa kipaumbele katika maslahi.
Sekta ya elimu kwako haina umuhimu?
 
Kuna majitu akil zao sjui ziko wap ukiangalia mabishano yetu linajifanya lisomiiii hali ya kuwa ajui hata mm ni nani na kwann nimehoji hivyo anadhan mm nimeamka tu asubuh na uchovu nakaandika huo walaka
 
Kuna majitu akil zao sjui ziko wap ukiangalia mabishano yetu linajifanya lisomiiii hali ya kuwa ajui hata mm ni nani na kwann nimehoji hivyo anadhan mm nimeamka tu asubuh na uchovu nakaandika huo walaka

Ukaandika huo walaka sio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwamba hawajui we ni nani?

Kifupi tunajua wewe ni kiazi mviringo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukaandika huo walaka sio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwamba hawajui we ni nani?

Kifupi tunajua wewe ni kiazi mviringo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww si ndo mwaka jana ulikuwa unaomba msaada ujiunge na chuo tena unashukur watu humu kwa kukupa mwongozo leo hii umekuwa kibri unaita watu viaz jaman jaman.
 
We si umesema hujasoma?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio sjasoma ila sjui na wala sikudharau ww kwasabab elimu yangu ninayoona ni kubwa kuna walionizid na weng mnooo ambao wanaiona ndogo kwahyo kwakuwa atujuani tusileteane dharau kwakuona umesoma kuliko mwingine unaweza ukamdharau mtu ambae elimu yake uifikii hata robo hilo liepuke sana hii ni mitandao tu nilitoa mada na wala sikujiongelea mm nimeongea kwa ujumla
 
Ndio sjasoma ila sjui na wala sikudharau ww kwasabab elimu yangu ninayoona ni kubwa kuna walionizid na weng mnooo ambao wanaiona ndogo kwahyo kwakuwa atujuani tusileteane dharau kwakuona umesoma kuliko mwingine unaweza ukamdharau mtu ambae elimu yake uifikii hata robo hilo liepuke sana hii ni mitandao tu nilitoa mada na wala sikujiongelea mm nimeongea kwa ujumla

Hauna elimu yoyote acha kujikuta.

Uandishi wako tu unakusuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hauna elimu yoyote acha kujikuta.

Uandishi wako tu unakusuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uandishi aumaanishi chochote kila ninavyotaka kukuelewesha uelewi bas tufanye hiv rud kwenye uangalie waliokupa mwongozo wa ww kujiunga na open university ni kina nan usiponikuta njoo hapa ubishane tena ujinga auwez kukuishia kama auna kumbukumbu
 
Hauna elimu yoyote acha kujikuta.

Uandishi wako tu unakusuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umepita njia zako za panya umefel form four umepambana na madiploma huko sjui ulianza na certificate saiz unaongea ujinga hapa hiyo bachelor yenyewe sijui uko mwaka wa kwanza!!!ata avielewek alf unabishana hapa watu wanakukumbuka unajichoreshq tu hapa angalau mm watu awanifahamu ila ww tunakujua uliomba msaada humu ukiwa ujui chochote kuhusu bachelor.
 
Back
Top Bottom