Kwanini Mishahara ya Watumishi wa Taasisi za Umma inapishana?

Kwanini Mishahara ya Watumishi wa Taasisi za Umma inapishana?

Zinztofautiana kwa umuhimu kwenye uchumi na uzalishaji.
Ww umejibu nini hapa hayo mauchumi sijui uzalishaji umekujaje hapa mishahara inapishanaje wakat mtu umemzid elimu zaid ya mara kumi yake alf alipwe mshahara mkubwa kukupita ww mara kumi wakat wote ni watumish wa serikali
 
Hapa atuongelei wiz wa mtu hiyo ni juu yake tunaongelea mshahara uliopangwa na serikal sio wiz au posho hayo ayatuhusu sisi kama wiz pia unajumuishwa kwenye mishahara yao hapo sawa ila kama wanaiba kwa siri kama waiz wengine hilo ni juu yao sisi tupo hapa katika mpishano wa mishahara
Rudia ulichoandika

"Umeona eeee hili sio sawa hii mishahara imekuwa kimichongo michongo na sababu za upishano huu hata azielewek serikal ilipitie tena lasivyo watu wataiba sana"

Jitathmini uwezo wako wa kuelewa na kujenga hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudia ulichoandika

"Umeona eeee hili sio sawa hii mishahara imekuwa kimichongo michongo na sababu za upishano huu hata azielewek serikal ilipitie tena lasivyo watu wataiba sana"

Jitathmini uwezo wako wa kuelewa na kujenga hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimenyooka ww unataka hoja hizo hoja ndo siasa kama ni 1+1=2 hoja ili iwe nini sasa
 
Ww umejibu nini hapa hayo mauchumi sijui uzalishaji umekujaje hapa mishahara inapishanaje wakat mtu umemzid elimu zaid ya mara kumi yake alf alipwe mshahara mkubwa kukupita ww mara kumi wakat wote ni watumish wa serikali

Nani aliyekwambia vyeti vya elimu vinazalisha pesa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbaya zaidi sehemu zote zenye mishahara mizuri wamejaa watoto wa vigogo wa chama na serikali.

Watoto wa masikini na ufaulu wao wa juu wanaishia kuwa walimu, manesi, maafisa ugani, nk. na mwisho wa siku jamii inawadharau kutokana na mishahara yao kiduchu.

Hii ni theory tu, this day watoto unaowaita wa maskini wako sekta nyeti pia tena wengi tu
 
Nani aliyekwambia vyeti vya elimu vinazalisha pesa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nimegundua kwann unaandika kingereza ili utengeneze attention uonekane unaelimu au akil japo kidogo ya kuvukia barabara kama elimu aizalishi kitu serikal yako isingeongozwa na asilimia 100 ya viongoz wenye elimu bora na kusomea nchi bora ili tu kusaidia maendeleo.
 
Ww unaona ni sawa?serikal kuachia kikund cha watu kujipangia mshaara hata ukiambiwa ww ujipangie mshaara utajipangia kidogo?je serikal ailion hili huu ni wiz wa waz kabisa

Bado si wizi, maana serikali hiyo hiyo ndio ina regulate mishahara yao, tofauti ni source. Wkt wengine wanatoa hazina, hawa wanazalisha sana they dont need hazina
 
Hapa nimegundua kwann unaandika kingereza ili utengeneze attention uonekane unaelimu au akil japo kidogo ya kuvukia barabara kama elimu aizalishi kitu serikal yako isingeongozwa na asilimia 100 ya viongoz wenye elimu bora na kusomea nchi bora ili tu kusaidia maendeleo.
Kwa hiyo vyeti vya elimu vinazalisha pesa?!

Umeelewa ulichokiandika kwanza?

Unajua tofauti ya vyeti vya elimu, elimu na kuzalisha pesa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe hujasoma

Halafu unataka kujenga hoja za wanataaluma?

Ndio maana unaandika vituko tu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Basi kasome kwanza ndio urudi kwenye hii mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah bongo kwel inavichekesho sana haya bhna msomi mkuu kama nilichoandika ni kichekesho endelea kucheka
 
Tanzania kuna tatizo moja ambalo mimi silielewi kabisa, inawezekanaje watu mna elimu sawa mmoja alipwe pesa nyingiiiiii kuliko mwingine kwa sababu ambazo azieleweki?

Kwa mfano Mhasibu wa cheti wa bandarini anakuwa na mshahara mkubwaaa kuliko hata mhasibu wa diploma wa taasisi kama hospital au mashuleni. Hili linawezekanaje?

Inakuaje mlinzi wa getini bandarini analipwa pesa kubwa kuliko CO au Muuguzi au mwalimu wakati yeye ni ngazi ya cheti tu?

Kwanini mshahara upangwe kutokana na uzalishaji na sio mpangilio mzuri? Kwanini mishaara isifanane kutokana na elimu?

Hii habari ya huyu anazalisha kingi kuliko huyu ni dharau kwahyo mwalimu hana maana kwenye jamii?
Wewe lazima ni mwalimu
 
Unyeti wa kazi husika pamoja ni muhimu.

Unataka Mwalimu alipwe sawa na sisi Madaktari kwa kuzingatia kiwango sawa cha elimu?


Kufanya hivyo utaharibu kabisa umuhimu wa sekta mbalimbali.

.

Kwa hiyo, sekta ya elimu haina umuhimu?
 
Back
Top Bottom