Kwanini Mishahara ya Watumishi wa Taasisi za Umma inapishana?

Kwanini Mishahara ya Watumishi wa Taasisi za Umma inapishana?

Sawa mama, nisamehe bure nimekosea kukupa dozi kubwa kuliko uwezo wako.

Nikiongeza hapa Kwasababu umeshataja jinsia, itakua ni ukatili wa kijinsia...ila nimeelewa why umeshindwa kujenga hoja na kuanza kutaka kufanya personal attacks ambayo nayo umeshindwa, ni kawaida ya wanawake kutumia hisia kuliko logic.

Nisamehe mama, ngoja nikuache ache kidogo[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ujinsia unahusikaje hapo????
 
Taasisi zinazo zalisha hulipana pesa kubwa
 
Hisia nyingi kuliko logic.

Baada ya kukata pumzi unaanza kujitetea we ni mwanamke [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Ww akil auna humu atujuani jinsi umeniita mm jamaa kivipi?mbona unaleta habari za kike hapa ushajua mimi mwanamke kwahyo nini????itafuta kuwa uliomba msaada jins ya kujiunga chuo?au itaongeza mishahara kwa watumishi wa umma wenye mishahara kandamizi?
 
Ww akil auna humu atujuani jinsi umeniita mm jamaa kivipi?mbona unaleta habari za kike hapa ushajua mimi mwanamke kwahyo nini????itafuta kuwa uliomba msaada jins ya kujiunga chuo?au itaongeza mishahara kwa watumishi wa umma wenye mishahara kandamizi?

Sasa hapo umeandika nini, zaidi ya hisia za kike kike.

Kuomba kwangu chuo na mishahara kuna hisiana nini we mama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujaelewa kwasabab unaukike ndani yako ndo maana uelewi
Kumbe ukiwa na ukike haulewi[emoji23][emoji23][emoji23]

Na umejihami kabisa we ni mwanamke[emoji23][emoji23][emoji23]

Ndio maana hata huelewi unaandika nini.

Ngoja nikuache, usinipotezee muda kufanya argument na mwanamke ambaye hana anachoelewa.

Zaidi ya kutapatapa tu.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani daktari ni nani?

Kwa mujibu wa MCT (Medical Council of Tanganyika), daktari ni kuanzia level ya degree (MD au dental surgery/ sina uhakika kuhusu bachelor ya clinical medicine), hii ni katika dhana ya kutibu ndio maana nime refer MCT.

Kwa hiyo japo hujasema zamani ni ipi, lets assume miaka 100 iliyopita kwa mazingira ya Tanzania hatukua na madaktari hasa wazawa.

Kwani wanaovaa stethoscope wote ni madaktari?
Medicine ipo tangu kuumbwa kwa dunia hawa madaktari wa sasa enzi hizo walikuepo natural healers physicians matabibu na waganga hawa wote walikua wakipewa kipaumbele na jamii zao
Medicine ni noble professional take it leave it
 
sasa mkuu unataka mimi nazalisha millioni kwa mwezi halafu nilipwe jero au? Si nitachukua jukumu la kujilipa mwenyewe (kuiba)...!
 
Halaf serikalin mshahara sio ishu ishu n posho mm n afsa misitu sehem flan siitaji mshahara wa kawaida tu ila ss nna posho ambazo nkizikusanya kwa mwezi inafika mpk milion 1.7 kila mwezi na mda mwengine inazid lakin mshahara laki 5 tu ss mm utanifananisha na nani kwa mfano hufika hadi mwaka sigusi kamshara kangu
Afisa msitu unaendeleaje mkuu?
 

Attachments

  • Screenshot_20230607-114619.jpg
    Screenshot_20230607-114619.jpg
    32.7 KB · Views: 20
Medicine ipo tangu kuumbwa kwa dunia hawa madaktari wa sasa enzi hizo walikuepo natural healers physicians matabibu na waganga hawa wote walikua wakipewa kipaumbele na jamii zao
Medicine ni noble professional take it leave it

Medicine ni taaluma muhimu, hilo nalikubali.

Na ni kweli imekuwepo miaka na miaka, na ndio maana nikauliza kwani tangu na tangu tumeishi vipi, means imekuwepo tangu zamani sana.


Ninachokataa ni kusema eti madaktari ni muhimu kuliko kada nyingine.

Huu ni ugonjwa unaoaababisha hata matabibu kubagauna wao kwa wao, mara yule ni AMO au afisa tabibu sio daktari..yaani wanajiona wadogo zake Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom