0036 savage
Senior Member
- Apr 30, 2019
- 189
- 238
- Thread starter
- #121
Sasa ujinsia unahusikaje hapo????Sawa mama, nisamehe bure nimekosea kukupa dozi kubwa kuliko uwezo wako.
Nikiongeza hapa Kwasababu umeshataja jinsia, itakua ni ukatili wa kijinsia...ila nimeelewa why umeshindwa kujenga hoja na kuanza kutaka kufanya personal attacks ambayo nayo umeshindwa, ni kawaida ya wanawake kutumia hisia kuliko logic.
Nisamehe mama, ngoja nikuache ache kidogo[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app