GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Uswahilini ( Uswazinyo ) bila 'Umbea' ni sawa sawa leo hii umwambie 'Mchezaji' Lionel Messi asifunge Magoli au Israeli asiondoke na Roho ya Mtu.Wacha umbea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uswahilini ( Uswazinyo ) bila 'Umbea' ni sawa sawa leo hii umwambie 'Mchezaji' Lionel Messi asifunge Magoli au Israeli asiondoke na Roho ya Mtu.Wacha umbea
Ukiendelea utavalishwa dera shauri yakoUswahilini ( Uswazinyo ) bila 'Umbea' ni sawa sawa leo hii umwambie 'Mchezaji' Lionel Messi asifunge Magoli au Israeli asiondoke na Roho ya Mtu.
Umetisha🙌Kama Magawa ( Panya ) tu akiwa anafunua 'Masufuria' Chumba cha Pili huwa nasikia nitashindwa Kusikia anachokifanya Binadamu Mwenzangu tu?
Kwanini Makalio yako kila Siku yanaongezeka tu Ukubwa na kuwa kama ya 'Mwanamke' wakati sote tu tunakujua Wewe ni Mtoto wa Kiume halisia?
OPKwanini Makalio yako kila Siku yanaongezeka tu Ukubwa na kuwa kama ya 'Mwanamke' wakati sote tu tunakujua Wewe ni Mtoto wa Kiume halisia?
'Imeshapenya' hiyo Mkuu pole sana. Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE na huwa ninampokea Mtu vile anavyokuja Kwangu. Mtanyooka tu!
OP'Imeshapenya' hiyo Mkuu pole sana. Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE na huwa ninampokea Mtu vile anavyokuja Kwangu. Mtanyooka tu.
Anzisha tu 'Mada' yako ya jinsi ulivyo na 'Makalio' makubwa japo Wewe ni 'Mtoto' wa 'Kiume' na 'nitajikita' nayo katika 'Kuichangia' kama utakavyo.
Sawa dada Genta, nitafanya hivyoAnzisha tu 'Mada' yako ya jinsi ulivyo na 'Makalio' makubwa japo Wewe ni Mtoto wa 'Kiume' na 'nitajikita' nayo katika 'Kuichangia' kama utakavyo.
Kiganda 'Lugha' ambayo naiongea vyema ( vizuri ) tu neno Dada unamaanisha 'Shupavu' au 'Shujaa' hivyo Kuniita 'Dada' naona 'unanipaisha' sana.
Mkuu kuna mazingira mkikwaruzana kidogo tu watu fasta wanashusha sauti za redio na tv wawasikilize,yaani ni hivi kama mwingine yuko chumba cha mbali au nyumba ya jirani yuko radhi akope salio chapu amwambie mmbea mwenzie ambaye vyumba vyenu vipo karibu.Umetupiga Shigongo hapa. Haya yote yanafanyika wewe unasikiliza tu.
Na ndio maana Idd Amin aliitwa Dada [emoji23]Kiganda 'Lugha' ambayo naiongea vyema ( vizuri ) tu neno Dada unamaanisha 'Shupavu' au 'Shujaa' hivyo Kuniita 'Dada' naona 'unanipaisha' sana.