Kwanini mke wako akikuta meseji ya mchepuko ukiomba msamaha na kufanya nae mapenzi anakusamehe?

Kwanini mke wako akikuta meseji ya mchepuko ukiomba msamaha na kufanya nae mapenzi anakusamehe?

Umetupiga Shigongo hapa. Haya yote yanafanyika wewe unasikiliza tu.
Mkuu kuna mazingira mkikwaruzana kidogo tu watu fasta wanashusha sauti za redio na tv wawasikilize,yaani ni hivi kama mwingine yuko chumba cha mbali au nyumba ya jirani yuko radhi akope salio chapu amwambie mmbea mwenzie ambaye vyumba vyenu vipo karibu.
Hata uingize demu saa tisa usiku umtoe saa kumi na moja kasoro lazima watu wamemuona ila unakuta hao hao wanaibiwa mchana kweupee na mwizi hawajamuona.
 
Ni hatari sana kuona mwanamke anakufumania mara kwa mara anapiga kell kisha anatulia au anakusamehe simple tu.

Hapo kwa mwenye akili timamu usijidai sana maana wengine huwa wanalipiza au wanaiga hiyo tabia ya kuchepuka, utakuta anasema kwani mimi sifatwi na watu,? ngoja na mimi niwe nabadirisha radha nje kama mwenzangu.

Hapo ndo mwanzo wa magonjwa ya ajabu ajabu ndani ya familia yanaingia, ni hatari mwanamke kuchepuk b'se jukumu la ngono salama au sio salama analibeba mwanaume. Sasa bahat mbaya akutane na me kichaa duu,
Kuchepuk kunafungua mlango wa mkeo nae ya kuchepuk halaf aje akuletee watoto wa kichina.!!
 
Back
Top Bottom