Miradi ya watu hii.. I dont buy this shit no more..
Kupitia huu uzi umenifanya niende kwa doctor mwingine nimuulize kuhusu hili na nilipouliza majibu ni kuwa wao kama watu wa afya wamegundua kuna watu wanapima wanakutwa wameathirika kwakutoani anaenda sehemu tofauti hadi mara 3 na akitumia majina tofauti kote anakutwa hivyo anaanza kutumia dawa, kuna watu walidanganya kuwa walipima tena baada ya kutumia dawa wakawa hawana hivyo wengi wao wanaenda tena kupima na kukutwa nao, hivyo takwimu zinazidi kusoma wakati ni elimu ndogo sana watu wa sehemu husika wameikosa na sasa wameweka utaratibu wa kumfanya mtu aliyekwisha tambulika asipime tena ili kuepuka kumpima mtu mmoja mara tatu hadi tano...
Pemba kuna 0.3% ndo mkoa ambao maambukizi yapo chini sana yan kwa kifupi zanzibarMtoa mada naomba niunganishe na hili swali pia, Je ni mkoa gani ambao hauna waathirika wengi wa Ukimwi na nini sababu ya kutokua na idadi kubwa ya waathirika wengi kwa mkoa huo?
Hii inaingia akiliniNiliwahi kumuuliza daktari flani wa njombe hili swali nilichoambiwa ni kuwa njombe kuna hospital kubwa kama ikonda hosp, bulongwa hosp, kibena hosp, ikelu hosp lugarawa na ilembula hosp. Zote ni hosptali kubwa sana hivyo watu wengi wanafika kupata matibabu huko kutoka sehemu mbalimbali na wakipimwa vvu takwimu zinasoma njombe kwakuwa watu wengi hawatoi taarifa sahihi wanatoka wapi... Ila sijui kama ndo uhalisia wenyewe
Nakubaliana na weweTakwimu zinaonyesha maambukizi njombe ni 14.8% na ndo mkoa unaoongoza. Sababu za maambukizi ya VVU kuwa juu ni:-
Moja, Biashara ya viazi mviringo. Biashara hii huwaleta wafanyabiashara na madereva, matingo wa malory, na makuli ambao hulala vijijini wakikusanya na kupakia viazi. Watu hawa kwa kuwa na fedha hufanya sana ngono zembe na wanawake wa vijijini.
Mbili, Tohara kwa wanaume haikwepo kwa Kabila la wabena, pangwa nk.
Tatu, idadi ya wanawake mabinti ni ndogo kulinganisha na wanaume. Mkoa huu nazani ndio unaoongoza kwa kutoa house girls wengi Tanzania. Hivyo unakuta mwanamke mmoja anagombaniwa na wanaume kumi na zaidi no way out.
Nne, Ulevi hasa kwa wanawake hasa njombe vijijini, na ludewa na makete pia.
Tano, house girls hurudi kwao na VVU na kwa uchache wa wanawake basi kila mwanaume kijijini ata mlala kwa uzuri wake.
Sita, uhaba wa kondomu vijijini. Maduka mengi vijijini hayauzi kondomu. Unaweza tafuta kondomu ludende siku nzima usiipate.
Saba, biashara ya mbao nk
SawasawaMm nimefanya kazi kwenye shirika la kupima watu afya. Katika mikoa ya nyanda za juu hakuna mkoa wenye watu wenye mwamko wa juu kupima afya, kama mkoa wa Njombe na ambao ni wawazi. Mfano kila kijiji tulichokuwa tunakwenda utakuta waliojitokeza ni wengi sana. Tofauti na mikoa mingine wengi waoga kupima afya zao. Mfano utakuta kijiji kinawakazi 500, wanaojitokeza kupima afya ni 20. Wakati vijiji vya wilaya ya Makete kinawakazi 300 wanaojitokeza kupima utakuta wapo 280. Sasa kwa uwiano huo lazima itaonekana mkoa wa Njombe unamaambukizi makubwa. Na kingine kinachochangia ni kuwa na Hosptal nyingi kubwa, ambapo wagonjwa wengi wanakwenda kule kutibiwa na kumbukumbu zao zinabaki kule.
Naona unatafuta bwana hapa.... Mie sio wewe nitumie id fake hebu tizama hilo jina linatoka njombe? Acha kutafuta umaarufu boya wewe.. Unadhani kama wazazi wako walifanyiana guest mama ako akakuzaa akiwa baa nawe umekilia stand ndo kila mtu yupo hivyo? Kwanza kabla hujabishana nami unapaswa kuniamkia kwanza kenge weweMasaburi yako wewe! acha kujitetea wewe mjuaji uchwara! Mkoa wako maambukizi yako juu sababu ipo wazi, mnapukuana kavukavu tena vichakani mkiwa chakari kwa ulanzi. Kwa akili yako finyu sina shaka wewe ni matokeo ya wazazi wako kuangusana porini.
Hosp. kubwa sana? tangu lini hii? unaposema kubwa sana unalinganisha na za wapi? au kwako maana ya Hosp. kubwa sana nini?Niliwahi kumuuliza daktari flani wa njombe hili swali nilichoambiwa ni kuwa njombe kuna hospital kubwa kama ikonda hosp, bulongwa hosp, kibena hosp, ikelu hosp lugarawa na ilembula hosp. Zote ni hosptali kubwa sana hivyo watu wengi wanafika kupata matibabu huko kutoka sehemu mbalimbali na wakipimwa vvu takwimu zinasoma njombe kwakuwa watu wengi hawatoi taarifa sahihi wanatoka wapi... Ila sijui kama ndo uhalisia wenyewe
Pilipili kichaaHosp. kubwa sana? tangu lini hii? unaposema kubwa sana unalinganisha na za wapi? au kwako maana ya Hosp. kubwa sana nini?
Nani kakuambia kua Ukimwi unaambukiza kwa njia moja tuu?!Taabu tupu! Ila majibu wanayo wenyewe. No SEX No HIV