LGE2024 Kwanini Mkoa wa Rukwa wameshika Mkia na Kujitokeza kwa uchache kujiandikisha kupiga kura?

LGE2024 Kwanini Mkoa wa Rukwa wameshika Mkia na Kujitokeza kwa uchache kujiandikisha kupiga kura?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kumbuka mkoloni aliupanga mkoa wa Rukwa kama sehemu ya kuchukua cheap labour "Manamba". Alifeli akaanza kuchukua Tabora na Dodoma. Jamaa wa Rukwa hawakuleta shobo hata kwa viboko. 😁
 
Hao watu wa Rukwa wana technology yao ya kuwawezesha kupiga kura wala usijali mwana CCM mbona hushangai kura za maruhani zinazowapaga ushindi wa bao la mkono?
 
Wher
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeshangaa sana kuona Mkoa wa Rukwa zaidi ya 30% ya wananchi hawajajitokeza katika kujiandikisha katika daftari la mkazi kwa ajili ya kupiga kura ya kuchagua viongozi wao mwezi ujao. Hii ni kwa kuwa ni 64.58% pekee ndio waliojitokeza kujiandikisha.

Hivyo kuufanya mkoa huu kushika nafasi ya Mwisho kabisa yaani mkiani kabisa. Sijaelewa nini tatizo ya Mkoa huu kufanya vibaya kwa zoezi hili muhimu kabisa na lenye kumpa nafasi mwananchi kupaza Sauti yake katika sanduku la kura.

Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Soma Pia: Waziri Mchengerwa: Jumla ya wapiga kura milioni 31, 282,331 wamejiandikisha kupiga kura Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024

Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
E did you get your figures. Kwa sababu kuna taarifa imemkaririri huyo Waziri akisema takribani watu 26Ml. Ndio waliojiandikisha.
 
Yaani karibu nusu ya Watanzania wamejiandikisha!!?
Mimi na familia yangu ya watu wanne hatujajiandikisha, mdada msaidizi wa kazi hajajiandikisha, mkaka wa mifugo hajajiandikisha, jumla tupo 6 kwenye nyumba yangu hatujajiandikisha, hao 31 milioni wametoka wapi!!??
Kanuni ya utoaji kafara, anayewatoa wenzake kafara anajisahahu kuwa wakiisha, anayefuata ni yeye...... Zamu ya mtoaji kafara ikifika, anaogopa, anaweweseka, na anakosa amani.
 
Yaani karibu nusu ya Watanzania wamejiandikisha!!?
Mimi na familia yangu ya watu wanne hatujajiandikisha, mdada msaidizi wa kazi hajajiandikisha, mkaka wa mifugo hajajiandikisha, jumla tupo 6 kwenye nyumba yangu hatujajiandikisha, hao 31 milioni wametoka wapi!!??
Ni ngumu na haiwezekani majivu kurudi kuwa mkaa.... Kuyeyusha maji ni ngumu sababu yalishayeyuka.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeshangaa sana kuona Mkoa wa Rukwa zaidi ya 30% ya wananchi hawajajitokeza katika kujiandikisha katika daftari la mkazi kwa ajili ya kupiga kura ya kuchagua viongozi wao mwezi ujao. Hii ni kwa kuwa ni 64.58% pekee ndio waliojitokeza kujiandikisha.

Hivyo kuufanya mkoa huu kushika nafasi ya Mwisho kabisa yaani mkiani kabisa. Sijaelewa nini tatizo ya Mkoa huu kufanya vibaya kwa zoezi hili muhimu kabisa na lenye kumpa nafasi mwananchi kupaza Sauti yake katika sanduku la kura.

Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Soma Pia: Waziri Mchengerwa: Jumla ya wapiga kura milioni 31, 282,331 wamejiandikisha kupiga kura Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024

Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Viongozi wa Mkoa na Wilaya wawajibishwe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeshangaa sana kuona Mkoa wa Rukwa zaidi ya 30% ya wananchi hawajajitokeza katika kujiandikisha katika daftari la mkazi kwa ajili ya kupiga kura ya kuchagua viongozi wao mwezi ujao. Hii ni kwa kuwa ni 64.58% pekee ndio waliojitokeza kujiandikisha.

Hivyo kuufanya mkoa huu kushika nafasi ya Mwisho kabisa yaani mkiani kabisa. Sijaelewa nini tatizo ya Mkoa huu kufanya vibaya kwa zoezi hili muhimu kabisa na lenye kumpa nafasi mwananchi kupaza Sauti yake katika sanduku la kura.

Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Soma Pia: Waziri Mchengerwa: Jumla ya wapiga kura milioni 31, 282,331 wamejiandikisha kupiga kura Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024

Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watu wajinga

Watu hawajahamasishwa

Au hawaelewi umuhimu wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Bora ukosea uchaguzi Mkuu kuliko Hawa viongozi ambao ndio tunaishi nao,Rais na Mbunge huna nafasi ya kwenda kumuona kwake
 
Watu wajinga

Watu hawajahamasishwa

Au hawaelewi umuhimu wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Bora ukosea uchaguzi Mkuu kuliko Hawa viongozi ambao ndio tunaishi nao,Rais na Mbunge huna nafasi ya kwenda kumuona kwake
Kweli kabisa umenena ukweli mchungu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeshangaa sana kuona Mkoa wa Rukwa zaidi ya 30% ya wananchi hawajajitokeza katika kujiandikisha katika daftari la mkazi kwa ajili ya kupiga kura ya kuchagua viongozi wao mwezi ujao. Hii ni kwa kuwa ni 64.58% pekee ndio waliojitokeza kujiandikisha.

Hivyo kuufanya mkoa huu kushika nafasi ya Mwisho kabisa yaani mkiani kabisa. Sijaelewa nini tatizo ya Mkoa huu kufanya vibaya kwa zoezi hili muhimu kabisa na lenye kumpa nafasi mwananchi kupaza Sauti yake katika sanduku la kura.

Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Soma Pia: Waziri Mchengerwa: Jumla ya wapiga kura milioni 31, 282,331 wamejiandikisha kupiga kura Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024

Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wao ndio wamepaza sauti hivyo kwa kutojiandikisha ndugu.
 
Back
Top Bottom