Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna binadamu yeyote aliyewahi kufika mwezini. Unaamini movie za Hollywood? Labda kama alifika mwezini kwa maana ile nyingine.
hahaha so unamaanisha hakuna mtu alotoka nje ya dunia bro? sion mantik ya kusema umedanganywa hahhaha that is too funnyIngia google angalia The truth about Armstrong's trip. na mengeneyo utajicheka wewe unayedanganywa.
hahaha so unamaanisha hakuna mtu alotoka nje ya dunia bro? sion mantik ya kusema umedanganywa hahhaha that is too funny
Sound can not travel on vacum!Na huko Kuna waislamu ila hawaonekani, zinasikika sauti tu.
Armstrong "HAKWENDA" mwezini.
Who did go to the moon after then? I believe u will say NO
We're discussing about Neil Armstrong.
We're discussing about Neil Armstrong.
Mkuu, watu ni wazito kusoma na kufatilia baadhi ya mambo. Marekana huandaa baadhi ya propanda ili kuonyesha superiority yake.......ila uongo uongo, jamaa wanafanya sana
Da hii imenipa rahaBaadaye alisilimu na kuwa mwislaam, Marekan ikamnyang'anya kila kitu ikaja mfunga na jela ikimshinikiza arudi kwenye din yake ya mwanzo
Ndio maana Bondia Mohamed Alli alitengwa na akfaithaika hadi kuitupa medali yake mtoni? contra,: ndo maana Raisi George Bush snr alumtuma MA Iraq kumshauri Saddam Hkabla ya kuvamia 1990?Ukitaka ukione cha mtema kuni uwe public figure USA kisha ubadili dini.