Kwanini Mmarekani Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikia sauti ya Azaan?

Kwanini Mmarekani Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikia sauti ya Azaan?

Ivi kumbe Armstrong alkua mwanamke pia! Coz jana nlimuomba baby akaniambia yupo mwezini! I'm just curious
 
Wako viumbe ambao hawaonekani Wanao swali kama wanavyo sawali Waislam inawezekana huko mwezini kukawa na viumbe ambao waislama na wana adhini na kuswali ambao binadamu sio rahisi kuwaona kwa mfano viumbe Malaika wana muabudu Mwenyeezi Mungu. Je tujiulize kwenye Biblia na Qur'an malaika wapo dini gani? Na Je wanamuabudu Mwenyeezi Mungu kwa njia gani? ukipata hapo jibu ndipo unaweza kujuwa kuwa huko mwezini kuna viumbe wasionekana Aka Malaika wanao muabudu Mwenyeezi Mungu kwa Dini ya kiislam au dini ya Kikristo. Kwa leo ninakuachieni hapo nina log off.
 
Kwa kuwa mungu ndio alioumba space inawezekana bila shida! Lakini kwa hali ya kawaida huwezi sikia kitu kwenye space na sauti coz space ingekuwa inatoa sauti tusingesikilizana humu duniani
 
Wazungu bana.Nakumbuka na michael jackson alivyoenda uarabun akasema kawa muislam,jay z na wengine weeengi lakin ni pork eaters wazuri.Siwaamini kamwe.
 
yaan huyu mungu huyu anapenda sana kuadhibu watu wake hasa kwa vitu vidogo vidogo kama hivi.

Jibu:
kwanin isingekuwa ukipanda mpunga wakati wamavuno magugu ukachanyanya namchele ukayapika na ukayala!
 
Umenikumbusha ile picha ya Armstrong ikionesha bendera ikipepea ile hali mwezini hakuna upepo.Ndio maana wapo wanaoamini kuwa picha zake zilitengenezwa
 
MKUU INA MAANA WATU WAMERITHISHWA IMANI POTOFU NA UONGO KIBAO? MFANO SIKU MOJA NILINSIKIA AFISA MMOJA WA TANAPA I.T.V JINSI BONDE LA MANYARA LINAVYOONEKANA VIZURI UKIWA KWENYE MWEZI KULIKO SEHEMU NYINGINE YOYOTE DUNIANI.JE NA HUO NI UZUSHI?

Atakuwa aliongea maneno hayo akiwa kwenye kiwango kikubwa cha stress.ukizingatia hapa kazi tuu
 
Mimi ni Mkatoliki, nilikwenda Fatima Portugal, katika kufuatilia the apperation of our Lady. Wale watoto watatu Luciea, Francis na Jassinta, kabla hawajatokewa na Bikira Maria, malaika aliwafuata akawaambia wa sali kama yeye anavyo sali, hivi ndivyo Mungu anavyo penda aabudiwe, malaika alisujudu ardhi mara tatu, akisema 'Mungu wangu, nina kupenda, nanakuamini na ninakutukuza, ninawaombea msaha wale wasio kuamini wasiokupenda na wasiokutuza'.

Zakuambiwa changanya na zako. Ninafanya ibada hii kila siku.
 
Kwanza issue ya Armstrong ni fake... USA wali fabricate. Ukitaka kujua Fatilia saga ya crew iliyo facilitate hiyo move ya ku land kwenye moon wote walikuwa assassinated na CIA... Kuna ushahid wa ki geography kwamba kwenye moon hakuna upepo, bendera ilikuwa inapepea, pili you can not walk without sticks.. Gravitation force hakuna kule. Tatu kivuli cha picha . Issue ya Armstrong ni movie la kihindi.
 
Since the early 1980s, Armstrong has been the subject of a hoax saying that he converted to Islam after hearing the adhan, the Muslim call to prayer, while walking on the Moon. The Indonesian singer Suhaemi wrote a song called "Gema Suara Adzan di Bulan" ("The Resonant Sound of the Call to Prayer on the Moon") which described Armstrong's conversion; the song was discussed widely in various Jakarta news outlets in 1983.[141] Other similar hoax stories were seen in Egypt and Malaysia. In March 1983, the U.S. State Department responded by issuing a global message to Muslims saying that Armstrong "has not converted to Islam".[142]However, the hoax was not completely quieted; it surfaced occasionally for the next three decades. A part of the confusion stems from the similarity between Armstrong's American residence in Lebanon, Ohio, and the country Lebanon which has a majority population of Muslims.[142][143]
 
for your information he was never on moon hiyo timu ya watu watatu hawaknyaga ktk moon CIA WALII FAKE KUTIMIZA MATAKWA YA UNCLE SAM SO EVERY THING BASING ON THIS ITS A LIE
 
Basi hivyo ndo wanavyodanganywa, hawasikii raha mpaka wadanganywe, Na wakishadanganywa, utamsikia mmoja anasema Takbirrrr! Nao wanaitikia kwa bashasha 'Alahu akbar' .....bure kabisa Na akili zao za kukopa!

Mkuu hawa tuwasamehe bure kwasababu elimu dunia wenzetu walikataa.. Uelewa wao ni finyu sana
 
Back
Top Bottom