Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MKUU INA MAANA WATU WAMERITHISHWA IMANI POTOFU NA UONGO KIBAO? MFANO SIKU MOJA NILINSIKIA AFISA MMOJA WA TANAPA I.T.V JINSI BONDE LA MANYARA LINAVYOONEKANA VIZURI UKIWA KWENYE MWEZI KULIKO SEHEMU NYINGINE YOYOTE DUNIANI.JE NA HUO NI UZUSHI?
Upo vizuri mkuu.Wapo wengi walioenda sema kwa amsrng ilikuwa ni rusha roho kwa russia
Sun rays,Jaribu kugoogle mkuu, kifupi ni mionzi yenye joto kali kutoka kwenye corona ya jua. Kwa kuwa mwezi hauna kinga kwenye anga yake zinafika kwa kiasi kikubwa sana.
Umbu mbu mbu wa madrasati.. Kama hadithi za abunuasiMwezini hakuna atmosphere kwa hiyo hakuna sauti
Basi hivyo ndo wanavyodanganywa, hawasikii raha mpaka wadanganywe, Na wakishadanganywa, utamsikia mmoja anasema Takbirrrr! Nao wanaitikia kwa bashasha 'Alahu akbar' .....bure kabisa Na akili zao za kukopa!