Kwanini Mmarekani Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikia sauti ya Azaan?

Kwanini Mmarekani Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikia sauti ya Azaan?

!
!
Huyu mtaalam wa mambo ya Anga hakuwahi kuweka wazi maswala ya imani yake. Kwa hiyo jamii haikuwahi kujua kama ana dini au hana, au imani yake ikoje. Moja la msingi kulitilia mkazo ni kwamba kwenye wosia wake alichagua akifa mwili wake uchomwe moto na majivu yakatupwe baharini. Kwa sababu mazishi ya aina hiyo ni haram kwa mujibu wa imani ya kiislam, basi ni wazi kwamba Armstrong hakuwa muumini wa dini au imani ya Kiislam.
 
RUSSIA mpaka leo kwenye syllabus yake imekataza kufundisha marekani ilifika kwenye mwezi. Walituma na satelite kukagua bendera na sehemu ya chombo kilichoachwa mwezini mpaka leo hakijapatikana na hakuna ushahidi. The good thing ni kuwa foot prints za kwenye mwezi huwa hazifutiki kutokana na kutokwepo kwa upepo hivyo next time watakaoenda watajua tu ukweli kuwa was it true or lies.

Kumbuka inaaminika ilikuwa ni propaganda ya Cold War. Marekani na Russia walikuwa wanashindania mpaka level ya technology.

Kwanini Marekani imekataa kuonyesha ushahidi wa Bendera iliyoachwa kwenye mwezi kama ipo?

Kwanini ile video inaonyesha bendera inapepea wakati hakuna upepo? Kwanini Area 51 imefungiwa kutopigwa picha? Au walipatumia kutengenezea ile video?

Kwanini wafanyakazi wa NASA wengi waliacha kazi baada ya ile project na walipoulizwa walisema hawajui kinachoendelea?

Kwanini walioenda kwenye mwezi walikatazwa kuelezea wala kuwa na interview bila ruhusa ya NaSA? Kwanini wengine walikufa kiajabu?

I am not saying kwamba marekani haijafika kwenye mwezi, niliposoma claims za wanasayansi wa Russia juu ya hiyo case niliacha kutomuamini yoyote. Mpaka nitakapoona ushahidi wa kutosha na kuona mabaki yaliuoachwa, nitaamini kuwa kweli Marekani ilifika kwenye mwezi.
 
Kuna watu wanaishi nje ya dunia hii

Nikusahihishe kdg. Hakuna watu wanaoishi nje ya Dunia hii. Bali kuna Melanated viumbe wanaofanana kama watu WEUSI wanaoishi nje ya hii Dunia.
 
Nikusahihishe kdg. Hakuna watu wanaoishi nje ya Dunia hii. Bali kuna Melanated viumbe wanaofanana kama watu WEUSI wanaoishi nje ya hii Dunia.
Una uhakika hakuna binadamu kama sisi wapo nje ya planet earth?
 
Only Lord Jesus Christ Massiah.I see the power of God&Superiority:
-Islam shall not live in me,also the hoax data till i land in Grave.Amen
 
NEIL ARMSTRONG NEVER CONVERTED TO ISLAM!

Neil Armstrong, 82, the first man to ever step on the moon, While many Arabic websites and media outlets covered his long and fruitful life, some still circulated the long-living rumor: Armstrong converted to Islam after hearing the Moslem call for prayer (Azan) on the moon. The rumor lived for years and was even employed in convincing Westerners to convert; a young Moslem student approached Professor Armstrong at Purdue University and asked him about the conversion story. The renowned astronaut denied. "I told him that the story was false. But obviously he did not believe it. Someone had told him that I would be lying". There a was a funny side to the story: Armstrong moved to Lebanon following his conversion.
The American Astronaut had in fact spent many years in a farm in Lebanon, Ohio (not the Middle East). He died a Christian.
 
True kwel ...alisikia adhana na inasemekana alibadili din na kuwa muislam ....

NEIL ARMSTRONG NEVER CONVERTED TO ISLAM!
Neil Armstrong, 82, the first man to ever step on the moon, While many Arabic websites and media outlets covered his long and fruitful life, some still circulated the long-living rumor: Armstrong converted to Islam after hearing the Moslem call for prayer (Azan) on the moon. The rumor lived for years and was even employed in convincing Westerners to convert; a young Moslem student approached Professor Armstrong at Purdue University and asked him about the conversion story. The renowned astronaut denied. "I told him that the story was false. But obviously he did not believe it. Someone had told him that I would be lying". There a was a funny side to the story: Armstrong moved to Lebanon following his conversion.
The American Astronaut had in fact spent many years in a farm in Lebanon, Ohio (not the Middle East). He died a Christian.
 
Baadaye alisilimu na kuwa mwislaam, Marekan ikamnyang'anya kila kitu ikaja mfunga na jela ikimshinikiza arudi kwenye din yake ya mwanzo

mwanaume uache uongo na uzushi isio na kichwa wala mguu....

NEIL ARMSTRONG NEVER CONVERTED TO ISLAM!
Neil Armstrong, 82, the first man to ever step on the moon, While many Arabic websites and media outlets covered his long and fruitful life, some still circulated the long-living rumor: Armstrong converted to Islam after hearing the Moslem call for prayer (Azan) on the moon. The rumor lived for years and was even employed in convincing Westerners to convert; a young Moslem student approached Professor Armstrong at Purdue University and asked him about the conversion story. The renowned astronaut denied. "I told him that the story was false. But obviously he did not believe it. Someone had told him that I would be lying". There a was a funny side to the story: Armstrong moved to Lebanon following his conversion.
The American Astronaut had in fact spent many years in a farm in Lebanon, Ohio (not the Middle East). He died a Christian.
 
USHAHIDI NILIONAO NI KWAMBA HAKUNA MTU HATA MMOJA ALIEWAI KUKANYAGA KWENYE MWEZI.

A HIGH CLASSIFIED FILE linalohusu uzushi huo lilianikwa na astronomer William Rutledge ambae alikuwa kwenye LUNAR MISSION in NASA ktk mission 2 zilizokananikiwa na zile mbili zilizokafeli za Apollo 19 na 20 mwaka 1976.

Rutledge ambae kwa sasa anaishi Afrika Rwanda. Nanukuu:
According to William, both of these missions were "CLASSIFIEDBJOINT SPACE MISSIONS" resulting from collaborations between U.S and Soviet Governments. They do not appear on any roster of NASA missions for good reasons.

The purpose of these missions was to investigate a large object on the far side of the moon in the Delporte- lzsak region allegedly discovered and photographed during Apollo 15. Mwisho wa kunuku.
Anaendelea kujuza kuwa picha iliokagundulika ni spacecraft kubwa sana ambae ilicrash na kutelekezwa mwezini miaka ya kale.

SIRI KUBWA KTK MISSION HIZI KWA MAELEZO YANWILLIAM NI KWAMBA. KTK CHOMBO HICHO KILICHOGUNDULIKA. ILIKUWA MIILI 2 YA WANAWAKE NA WALIKUWA "WEUSI". Na ndio chanzo cha bwana William kuacha kazi ktk NASA na kuja AFRIKA KUTUBU NA KUELEZA KUWA ULIMWENGU HUU NI WA VIUMBE WEUSI KILA MAHALA.

Na hivyo viumbe vipo mwezini na ndio wanaomantain order rejea kitabu cha ENOCH, "THE WATCHERS" ambao ndugu zetu wengi humu wanasema MAJINI.

WATU WANGU WANAHARIBIKA NABKUTESEK KWA KUKOSA MAARIFA. TUFANYE TAFITI......
MKUU INA MAANA WATU WAMERITHISHWA IMANI POTOFU NA UONGO KIBAO? MFANO SIKU MOJA NILINSIKIA AFISA MMOJA WA TANAPA I.T.V JINSI BONDE LA MANYARA LINAVYOONEKANA VIZURI UKIWA KWENYE MWEZI KULIKO SEHEMU NYINGINE YOYOTE DUNIANI.JE NA HUO NI UZUSHI?
 
Watu wanabisha bonadamu kufika mwezin na wenzenu wanapanga kwenda mars.
 
Tatizo ni kwamba Amstrong alibadili dini na kua Muislam wakati Buzz Aldrin hakubadili...so America kwa kuchukia Uislam wakaamua kumpoteza.

Mkubali mkatae ukweli ndo huo.
 
MKUU INA MAANA WATU WAMERITHISHWA IMANI POTOFU NA UONGO KIBAO? MFANO SIKU MOJA NILINSIKIA AFISA MMOJA WA TANAPA I.T.V JINSI BONDE LA MANYARA LINAVYOONEKANA VIZURI UKIWA KWENYE MWEZI KULIKO SEHEMU NYINGINE YOYOTE DUNIANI.JE NA HUO NI UZUSHI?

Sio ukiwa kwenye mwezi. ni ukiwa kwenye International Space Station. Ambayo ipo juu ya atmosphere yetu. kuna watu wanamonitor behaviour na properties za dunia yetu. Huyo Afisa anajua wanyama na mbuga tu. aliwapotosha watu kwa stori za vijiweni.
 
Kwanza jua Hakuna namna unaweza kusikia sauti mwezini sababu Hakuna atmosphere na hili halibadiliki either alifika au hakufika. Ni ajabu sana Kwa mtu aliye JF kutojua hili

Kurudi kwa swali lako, ukiniuliza mimi baada ya kuangalia madai ya pande zote mbili nitasema hakufika. Swali dogo tu toka 1969 Armstrong alipokanyaga mwezi Kama wanavyodai kwanini Hakuna attempt nyingine ya mtu kwenda mwezini ukizingatia technology ilivyokua hadi sasa
 
Tatizo ni kwamba Amstrong alibadili dini na kua Muislam wakati Buzz Aldrin hakubadili...so America kwa kuchukia Uislam wakaamua kumpoteza.

Mkubali mkatae ukweli ndo huo.
Neil Armstrong hakuwahi kuweka wazi imani yake na kabla ya kufariki aliweka wazi (wosia) mwili uchomwe moto na majivu yake yatupwe baharini na hivyo ndivyo ilivyofanywa 2012 baada ya kufariki na kuzikwa baharini. Sasa uislamu unaruhusu mwili uchomwe moto?
e3f7206843bb446232b4ab073308da50.jpg


7cfc25476f531b9d81449b3f33ac531e.jpg

Hizo ni picha za mazishi ya neil Armstrong.
Neil Armstrong aliulizwa na mtoto kuhusu imani yake alichokifanya alimchukua yule na kumpeleka kanisani na kumjibu kwamba yeye nI DEIST hii imani ambayo inakataa kwamba revealetion (ufunuo) kwa kiarabu wanaita wahyi kuwa ndio chanzo cha knowledge (maarifa). Mama yake neil alikuwa amechanganyikiwa kuhusu hii imani ya mwanae kwa maana yeye alikuwa ni MTU wa dini Sana. Kiufupi ni Armstrong hakuwai kuwa muislamu ila alizaliwa akiwa mkristo na alifariki akiwa si mfuasi wa imani ya kikristo na ndo maana aliacha wosia azikwe baharini.
 
Kumradhini wanazuoni, Hivi ni kweli Mmarekani Neil Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikikia sauti ya Azaan?

=====

When Neil Armstrong and co. walked on the moon, they heard sounds in a strange language they did not understand. ‘When Neil Armstrong went to Egypt, he heard the adhan, and said, "it was spacey something similar I heard while I was on the moon". Egyptian Friend told him that, it was the sound of Azaan (call for Muslim prayer). And Neil Armstrong immediately became Muslim because of this experience.

Source: wikipedia
Sijaelewa ni Azaan Zungu ama Azaan ipi?
 
Back
Top Bottom